Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Sasa kwanini umeuchelewesha?AaaarrrggghhhTangia nimeupata mikono ilikuwa inawasha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kwanini umeuchelewesha?AaaarrrggghhhTangia nimeupata mikono ilikuwa inawasha.
Naungana na weweHili la uchaguzi ni uongo mweupe kwakuwa uchaguzi ulishafanyika tangu last week
Jamani wambea wenzangu, ninsikia habari ya mjini ni kuwa kuna bwana Mcongo anampunga balaa, anamwaga madolali, sasa bwana alimtumika Steve Nyerere kumpata Wema. Ninavyosikia share ya Steve ilikuwa $500, akafikisha ujumbe na mambo yaliandaliwa date iwe ile siku Wema alikuwa na show akachukua ukumbi wa King Solomon. Mzee alishukua hoteli moja mjini na bidada aliambiwa aende.
Idris alinusa mchezo mchafu, kwani bidada alitaka akavalie nguo kwenye hiyo hoteli, Idriss alimwambia bibie leo tunakwenda wote, wamefika hotelini ilibidi Wema achukue chumba cha pili na danga likalipia, sasa wakati wanatoka Idriss aliona sivyo ndivyo danga likiwa linasubiri kwenye corridor Idriss alimpiga denda bibie ndio hapo negative ilipoungua, akadai "we Idriss acha uchokozi ndio nini". Danga kuona vile akamwaga manyanga na kurudi nyumbani Idriss aliona isiwe shida. Ndio sababu ya Miss Tanzania 2006 kuugua ghafla juzi.
Danga liliishia kujiopolea Wolper, nae kumbe alikuwa amejiegesha tu kwa dogo. Sasa miss anaumeia madolali yanakwenda kwa Wolper.
Unamaanisha ukimwi? Mbona wako vizuri tu.dah madem wa bongo movie mbna magonjwa hayafiki tu!!? mana hii michezo wanacheza tangu kitambo.
Hii ni Snapchat ya Wolper?