Wolper ni Mjamzito: Rich Mitindo aweka picha zao za "maternity photoshoot" mtandaoni

Heheheheh kumekuchaaaaah, watu na ujauzito wao uwiiiiiih.
Ila huyo mwanaume nimemuelewa kiukweli, najuta kuolewa mapema [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Kwani wameshakuchua?[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15] Ayaaa ! Nilikua nataka kuleta barua aiseee[emoji15][emoji15][emoji124]
 
Heheheheh kumekuchaaaaah, watu na ujauzito wao uwiiiiiih.
Ila huyo mwanaume nimemuelewa kiukweli, najuta kuolewa mapema [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]
 
KAMA PICHA ZILIVYO KOSA UHALISIA, MAISHA YAO YAMEKOSA UHALISIA HIVYO HIVYO
 
Education is better than money.

Hii mada haijawafungua wengi
 
Dada zetu hawa hawana kitu kingine Cha kuonyesha kwenye jamii sio kazi au biashara,sio Elimu ya juu waliyofikia,au mkataba mnono wa kazi kutoka nje,wao wanaonyesha na kutangaza wakipata ka boyfriend,au wakiolewa,kupata mimba basi.
 
Heheheheh kumekuchaaaaah, watu na ujauzito wao uwiiiiiih.
Ila huyo mwanaume nimemuelewa kiukweli, najuta kuolewa mapema [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Hivi kumbe tayari ushapigwa pingu za ma life 😎
 
Nimechukuliwa ndiyo, ila sio kivileeeeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapa ndio nilikuwa napataka 😝😝😝 huenda uko chama moja na “pisi kali”
 
Hivi wee aunt ulipotea wapi? Mwenzio nilkua nakutafuta San, Tar 21/12 nimefunga pingu za maisha, napambana na maisha ya ndoa now.
Ss ww utabebaje mimba au ndio mwendo wa kupekechwa tuu?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…