Wolper wa Congo vs wolper wa makonde

Ni maisha yake na wala hayatuhusu, hivi umewahi kujifwatilia una mtu mzuri/mbaya kiasi gani. Mwacheni amechagua ujinga wake, hayo ni maisha binafsi.....
 
Huyo amechacha baada ya kuhamia CCM.
 
Hivi ana umri gani? Tangu niko MSINGI namskia!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani jamani!
Wolper kaingia mjini hapa kama sikosei 2009/10.
Umaarufu kaanza kuupata 2011...
Sio mkubwa sana,labda ana 29 kwa sasa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani jamani!
Wolper kaingia mjini hapa kama sikosei 2009/10.
Umaarufu kaanza kuupata 2011...
Sio mkubwa sana,labda ana 29 kwa sasa.
Wewee!!! Yule bila 34 sijui....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…