Wolper wa Congo vs wolper wa makonde

Wolper wa Congo vs wolper wa makonde

Akaa, mbona kawa bonge ivo?
Me mwanzoni nikajua ni mtu mwengine wamefanana tu.
Lol
 
Wabongo wana roho mbaya sana,hata shetani akasome. Sasa Wolper akinenepa au akikonda wewe inakuhusu nini ...............???

Si mlisema wanatafuta kiki,leo mmeona wanaendelea na wanazidi kupendana roho zinawauma ??
 
Duh[emoji23][emoji23][emoji23] [emoji114][emoji114] ngoja niizooom
1472997186676.jpg
huyu hapa
 
Back
Top Bottom