Wolper: Wazazi Wangu ni Matajari Hawahitaji Msaada Wangu

kumbe ndio maana wakiumwa hata malaria tunatangaziwa kuwachangia hela za matibabu...
 
mbona huyu demu kwao ni mwendapole kibaha?kijumba kimechoka,anayetaka nimpeleke.
 
Huyu nae tumuwache kama alivyo,mwenye nacho hajisifu,MASKINI NI YAKE NA MATEMBELE.:tape:
 
Huyo wolper wa ekenywa tulikula mtungo wazee wa umenyeni kwenye shamba la mahindi
 
[Q UOTE=duanzi;8958140]msaranga sehem gani mkuu. karibu na maghorofani?[/QUOTE]
Kwa kina wolper ni Msaranga ni karibu na kigango cha kanisa katoliki mtaa unaitwa Msaranga Msaranga karibu sana na msituni kuelekea shule ya msingi msandaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…