Women are trouble makers

Women are trouble makers

Kila mmoja awajibike na ajirekebishe kwa matendo yake, wewe ni mtu mzima una akili timamu unajua jema na baya kwaiyo utakaopoona unakosea sehemu jirekebishe wala hauna haja ya kumuangalia mwanaume kama kioo, usitumie kauli ya kuishi nanyi kwa akili kutaka kuhalalisha misbehaves zako kwa kufikiri kwamba mwanaume ndie anatakiwa kukulekebisha.
Nyumba bora inajengwa na wote wawili mume na mke.!!
Kila mtu ana tabia zake, wewe ukiona za mwenzio mbaya kwanza chunguza zako ziko vizuri.??
Je, yy kuna tabia zako anazipenda au naye anakuvumilia??
Mapenzi matamu mkikutana mliochaguana kuaminiana.!!
 
Nyumba bora inajengwa na wote wawili mume na mke.!!
Kila mtu ana tabia zake, wewe ukiona za mwenzio mbaya kwanza chunguza zako ziko vizuri.??
Je, yy kuna tabia zako anazipenda au naye anakuvumilia??
Mapenzi matamu mkikutana mliochaguana kuaminiana.!!
Ndio maana nikaikataa kauli uliyoitumia kwamba tuishi na nyie kwa akili. Ninachotaka kusema kwamba wote muwajibike ku-apply akili zenu, shida ni kwamba mnahalalisha misbehaves zenu kwa kisingizio kwamba mwanaume ameshindwa kuku-handle
 
Mimi na ndugu zangu tulikua tunaishi poa sana, hatujawahi kuwa na ugomvi wala mfarakano wowote.

Nina ma bro wawili na dada wawili. Shughuli ilianza huyo bro wangu wapili alipooa.

Mke wake akaanzisha ugomvi usio na kichwa wala miguu na mke wa bro mkubwa. Ugomvi ukaenda mbali mpaka kuna siku wameshikiana mapanga wanataka kukatana! Tukawaamulia, wakapatanishwa.

Kumbe kichinichini ugomvi ukawa unaendelea. Huku na huku waume zao nao wakatumbukia kwenye hilo sakata, ikafika mahali sasa ma bro wote wawili na wake zao hakuna anaeongea na mwenzake!

Haikuishia hapo, huyu mke wa bro mdogo kuna siku akapiga simu kwa dada yangu na kumueleza ishu fulani nzito kuhusu bro (mumewe). Dada zangu wawili ikabidi waende kuongea na bro kuhusu hilo tatizo. Kufika kule, yule mama kawaruka kasema yeye hajawahi kuwaambia kitu kama icho, wanamsingizia.! Bro nae kamaindi, anawaona dada zake kama ma snichi wanataka kumharibia ndoa yake!

Hapa tulipo sasa hivi hakuna anaeongea na mwenzake familia nzima.
Siku hizi wanaume wanaokota wanawake barabarani, anaona miguu mizuri,kiuno kipo, mapaja mazuri anatangaza kuowa, zamani background check ilisaidia sana. Watu waliishi kwa adabu na heshima. Pia kukaa mbalimbali inasaidia family bond.
 
Haya sasa nimerudi,
Hiko hivi yule mwanaume naweza kusema ndiye “MWANAUME PEKEE” niliyewahi kumpenda kwa akili zangu toka nimefika duniani.!!
Tatizo lake kubwa “HAJIAMINI”
Yani ni mtu ambaye always ana mashaka, visirani na gubu.!!
Anahubiri vitu ambavyo yeye haviishi.!!
Sipendi kuingia sana deep ila ni mwanaume hajui anachokitaka.

Unaweza ukaongea na mtu kawaida ila yy akajipa tafsiri tofauti, amejaa malalamiko km Gen z wa Kenya.!!
Lakini upande wake ni mshenzi nikianza kuweka mitabia yake ntajaza saver.!!
Wanawake mnayo hiyo tabia ambayo wewe umeionesha.

Yani mwanamke kama unamrekebisha juu ya jambo fulani,yeye mwanamke anaweza akaacha kukubali kurekebishika kwa kisingizio tu cha kwamba mbona yeye mwenyewe ana hili,ana lil na lile,yaani wanawake mna million of excuses pale ambapo mnapewa oda ya kubadilika.

Sasa kama yeye ana madhaifu yake basi yanakuzuia nini wewe kubadilika kama kweli umejiona una matatizo hayo unayoambiwa ?

Wanawake ni wengi akili ni fupi sana,ndio maana the best way ya kuishi na mwanamke ni kuwa wewe mfalme na yeye awe kama mtumishi,mwaamke lazima aendeshwe kimfumo dume.

Hatakiwi akuzowee to the extent mpaka tena anaanza kujudge oda za mume,lazima awe na mipaka,lazima ajue misimamo yako.

ALways mwanamke anatakiwa afuate utaratibu wa mumewe na sio aje na utaratibu wake.

AKili kwa tafsiri nyingine ni Nguvu,ukiwa na akili basi una nguvu,hivyo tunapoambiwa tuishi na mwanamke kwa akili basi tujue nguvu nayo ni sehemu ya akili.
 
Siku hizi wanaume wanaokota wanawake barabarani, anaona miguu mizuri,kiuno kipo, mapaja mazuri anatangaza kuowa, zamani background check ilisaidia sana. Watu waliishi kwa adabu na heshima. Pia kukaa mbalimbali inasaidia family bond.
Ni tatizo kubwa sana hili, vijana wanaoa kwa kuangalia sura na tako ili watambiane nani ana mke mzuri. Vigezo vya maana kama bikira, body count, utiifu na past ya mwanamke vinapuuzwa. Mbaya zaidi mpaka tunaojaribu kuwasanua vijana wenzetu tunaambiwa "tafuta hela"
 
Ni tatizo kubwa sana hili, vijana wanaoa kwa kuangalia sura na tako ili watambiane nani ana mke mzuri. Vigezo vya maana kama bikira, body count, utiifu na past ya mwanamke vinapuuzwa. Mbaya zaidi mpaka tunaojaribu kuwasanua vijana wenzetu tunaambiwa "tafuta hela"
Matokeo yake heshima inaondoka.

Mtu anataka kuoa lazima we spy,ajue huyo demu ana hadhi gani mtaani kama ni adabu ama mshenzi.

Ila vijana wa sasa hatutaki,tunasema kuoa ni kuweka mkono gizani,wakati huo kuna tochi ila hatuzitaki tochi bado tunang'ng'ana na usemi kuoa ni kutia mkono gizani.

Ambaye atachunguza wapi anaoa basi anapunguza kero nyingi sana kwemye ndoa yake.
 
Mimi na ndugu zangu tulikua tunaishi poa sana, hatujawahi kuwa na ugomvi wala mfarakano wowote.

Nina ma bro wawili na dada wawili. Shughuli ilianza huyo bro wangu wapili alipooa.

Mke wake akaanzisha ugomvi usio na kichwa wala miguu na mke wa bro mkubwa. Ugomvi ukaenda mbali mpaka kuna siku wameshikiana mapanga wanataka kukatana! Tukawaamulia, wakapatanishwa.

Kumbe kichinichini ugomvi ukawa unaendelea. Huku na huku waume zao nao wakatumbukia kwenye hilo sakata, ikafika mahali sasa ma bro wote wawili na wake zao hakuna anaeongea na mwenzake!

Haikuishia hapo, huyu mke wa bro mdogo kuna siku akapiga simu kwa dada yangu na kumueleza ishu fulani nzito kuhusu bro (mumewe). Dada zangu wawili ikabidi waende kuongea na bro kuhusu hilo tatizo. Kufika kule, yule mama kawaruka kasema yeye hajawahi kuwaambia kitu kama icho, wanamsingizia.! Bro nae kamaindi, anawaona dada zake kama ma snichi wanataka kumharibia ndoa yake!

Hapa tulipo sasa hivi hakuna anaeongea na mwenzake familia nzima.
So true, wanawake naturally sio viumbe wa kushirikishwa kwenye sensitive matters... they don't have logic wanayumbishwa sana na emotions so hujakaa sawa anakutoa mchezoni. Kikubwa kuishi nao kwa akili
 
Mwanaume lazima utambue kwamba mwanamke ni taswira ya matatizo, from the first place a woman existed on the earth all she brought along is troubles.

Angalia majanga aliyosababisha Hawa bustanini pale Eden, angalia msala aliokutana nao Samson baada ya kukutana na Delila.

Hauwezi kusikia mume kuwa chanzo cha utengano upande wa familia ya mke, mara zote mke ndie anakua chanzo cha mifarakano upande wa familia ya mume.

Familia itakua na mshikamano, biashara itaenda vizuri, amani itatamalaki lakini akishaingia mwanamke tu katikati kila kitu kinavulugika.

Role inayowafaa wanawake ni kuwa mama wa nyumbani tu, wabakie kuzaa, kulea na kuangalia nyumba. Mwanamke akijumuishwa kwenye mambo mengine kama ufanyaji maamuzi, biashara, uongozi n.k lazima asababishe majanga.

Mwanamke hawezi kuja na solution mezani, women always brings problems, wewe mwenyewe linganisha kipindi ambacho haukua na mahusiano na kipindi ulikua katika mahusiano ni kipindi gani ulikua unaishi bila stress.

Women are trouble maker specialists, they always look for loopholes to cause problems, don't take them seriuos. If you decide to marry her then marry at your own risk.
Marry at your own risk [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mwanaume lazima utambue kwamba mwanamke ni taswira ya matatizo, from the first place a woman existed on the earth all she brought along is troubles.

Angalia majanga aliyosababisha Hawa bustanini pale Eden, angalia msala aliokutana nao Samson baada ya kukutana na Delila.

Hauwezi kusikia mume kuwa chanzo cha utengano upande wa familia ya mke, mara zote mke ndie anakua chanzo cha mifarakano upande wa familia ya mume.

Familia itakua na mshikamano, biashara itaenda vizuri, amani itatamalaki lakini akishaingia mwanamke tu katikati kila kitu kinavulugika.

Role inayowafaa wanawake ni kuwa mama wa nyumbani tu, wabakie kuzaa, kulea na kuangalia nyumba. Mwanamke akijumuishwa kwenye mambo mengine kama ufanyaji maamuzi, biashara, uongozi n.k lazima asababishe majanga.

Mwanamke hawezi kuja na solution mezani, women always brings problems, wewe mwenyewe linganisha kipindi ambacho haukua na mahusiano na kipindi ulikua katika mahusiano ni kipindi gani ulikua unaishi bila stress.

Women are trouble maker specialists, they always look for loopholes to cause problems, don't take them seriuos. If you decide to marry her then marry at your own risk.
Nimeipenda hii mkuu just give simps their dose
 
Sijui kwanini nimesoma comments zote halafu nimeona kati yenu wanaume wote mliocomment hamna mwenye moral authority ya kukosoa “tabia za wanawake” kwasababu naona tunafanana tabia. 😀😀

Most of you ni cry babies, emotional little men, and what not!

Wanawake tuna matatizo kweli, so y’all guys! hebu jikosoeni basi!

Kuna wanaume nawafahamu, wakikosoa tabia za wanawake sitakuwa na tatizo nao…..

I said what i said, niko makumbusho mje mnipigie.
 
Sijui kwanini nimesoma comments zote halafu nimeona kati yenu wanaume wote mliocomment hamna mwenye moral authority ya kukosoa “tabia za wanawake” kwasababu naona tunafanana tabia. 😀😀

Most of you ni cry babies, emotional little men, and what not!

Wanawake tuna matatizo kweli, so y’all guys! hebu jikosoeni basi!

Kuna wanaume nawafahamu, wakikosoa tabia za wanawake sitakuwa na tatizo nao…..

I said what i said, niko makumbusho mje mnipigie.
Kuna aina flani ya kitu umetumia sio bure
 
Back
Top Bottom