Women are trouble makers

Women are trouble makers
 
Jamaa umewakomalia mwezi mzima unabandika nyuzi za kuwapona.

Women- including you Mother and Your Sisters are trouble makers
 
Kwamba mwenye tatizo sio wewe ambae ulikua na tatizo ila mwenye tatizo ni ambae alitumia approach ambayo haikuondoa tatizo lako, ridiculous.!
Bro shida ni pale tunapogundua ufikiri wa hawa viumbe kuwa uko kinyume na vile inavyotakiwa kuwa.
Si unaona mindset yake huyu? Ndivyo wanawake wengi walivyo hapa usiache hata mmoja.
Hata akimpiga teke mbwa akang'atwa ataamini tu kuwa yule mbwa ndie mwenye hatia kwamba ilipaswa yule mbwa aondoke bila kureact pamoja na yeye mwanamke kumpiga teke.
 
Jamaa umewakomalia mwezi mzima unabandika nyuzi za kuwapona.

Women- including you Mother and Your Sisters are trouble makers
Kwamba ukitaja hao uliotaja hapo ndio inabadilisha hoja au
Mbona uko very weak kwenye kuattack hoja ya mtu
Badala yake unataka ushind kwa kulazimisha kumuattack yeye?
Kwan wewe hao uliowataja huna?
Je ni nini kinakuvuta kuattack wa wengine?
Nitakujibu kuwa yes maana hata mimi ninaemuita Mama ni mke wa mtu ambae ni Baba na sister angu ni mke pia kwa broo mwingine in the name of inlaw.
Baba na huyo In-law ni wanaume katika umoja wetu.
So wewe au mimi au Natafuta Ajira kuwa na vinasaba na wanawake hakuondoi uthabiti wa kuyakemea yale tunayoyaona hayapo sawa na kuwaweka sawa Mamen wengine.
Au wewe unadhan akiwa mama yako au sister ako basi anakuwa na tiketi ya kudiserve male and female milleage at once?
 
Au Mama yako sio Women? She is also a trouble maker.
 
Mim ndo binadamu wa pili kufukuzwa eden kwasababu ya hawa viumbe

Nilipomaliza chuo nilikuwa na malengo ya kupambana nitengeneze pesa account zangu zinone na niwe na miradi kibao tu,swala la kuoa sikuwa nalo kabisa maana kias fulani wanawake nilkuwa nawajua walivyopasua kichwa,lakin kuna mjinga mmoja alijipenyeza kiajabu mpaka akaingia kwenye maisha yangu pamoja na kumwambia mim sina mpango wa kuoa kwa muda huo

Nilikuwa naishi nyumban wakat huo,naishi na mzee,na mzee aliniamin akanikabidhi biashara zake zote zikawa zinaenda poa,tatzo huyu pimbi nilipomleta nyumban akataka kuwa mtawala na baba angu hapendag unyanyasaji au uonevu hata kwa mfanyakaz

Huyu pimbi alipofika ni ugomvi na kila mtu kwenye familia ambayo mzee alikuwa nayo,kulikuwa na wajukuu na wafanyakaz,mara awachukie tu bila sababu mara wananitafutia wanawake wengine,mwisho wa siku mzee akaona hapana,akatutimua na nilikuwa sijaweka mambo vzur
 
Apply trouble shooting utakuja kunishukuru 😁😁
 
K
Kwasababu mnaishi jirani. Kaeni mbali umbali wa kupanda dala dala mbili
 
Ndugu yangu, wewe akili zako zipo juu mno kuliko hao unaobishana nao, ndomaana hawakuelewi, ona utumbo wanaoongea. Very ridiculous
Kwamba mwenye tatizo sio wewe ambae ulikua na tatizo ila mwenye tatizo ni ambae alitumia approach ambayo haikuondoa tatizo lako, ridiculous.!
 
Na ukiwafungilia watu izo code utashambuliwa kinoma. Mimi kila siku nawaelekeza wanaume namna ambavyo mifumo inatunyonya na wanawake wanaitumia kujinufaisha cha kushangaza kuna wanaume wenzangu wananipinga. Utumwa wa fikra ni mbaya sana.
Hao wanaume ni mashoga hao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…