mie sisemi,
maana mi nachanganyikiwa,
nimeamua kuitambua jinsia yangu tu....
siku hizi wanaume wanajifanya wanawake na wanawake wanajifanya wanaume
wanaume wanavaa hereni, wanajifanya mahandisamu, wanaolewa, kwa nchi zilizoendelea mpaka jinsia wanabadilisha
ukija kwa wanawake nao full headache.....
Hii dunia aliumbiwa mwanaume na wanawake waliletwa tu kama wasaidizi. We jiulize kwa nini mwanamke alipoumbwa tu akatenda dhambi kitu ambacho Adamu hakukiwaza hata siku moja. Ndo maana mwanamke haruhusiwi hata kusogea madhabahuni pa Bwana
Wanawake ndio hawaheshimu tofauti zao na wanaume....
Na huyo Adamu alokuwa muerevu sana akashindwa kumzuwia msaidizi wake tu ambae ni so weak kutenda dhambi wakaangamia pamoja!
Unajua mwanamke shetani! sometimes we come to know that shetani alitudanganya at the moment tumeshafanya dhambi. Men are so sorry for that
Kwa sababu mmeacha kuwa wanaume! Ona sasa mwaolewa mwaweka ndani na kulishwa, badala ya kuwa wasaidizi wenu tumekuwa mabosi wenu! Tumefill ombwe liliochwa nanyi kwa kujifanya si wanaume tena so tukadai na haki sawa! Period. Badala ya kutuhandle with care mmetufanya tuwe majasiri kushinda nyie, yaani kila nikiwaangalia wakaka wa siku hizi naumia kichwa, namuambia my mdogo mwanaume plzzzz no matter ulivyo be a man.
Unatoka out na mkaka bill ikija anakuangalia...! Yu guys u stop being providers na sijui mko nn nowday! Dah... niishie hapo mnatia hasira
Wanawake wameainishwa mata nyingi kama njia ya shetani kupitia wako karibu na shetani kwa ufupi most ya wanawake na shetani ni washikaji long kitamboKwa hiyo na dini yako inakufunza kuwa mwanamke ni shetani.
Kama ni hivyo anafaa kupigwa mawe na kujiweka mbali nae
Na ikiwa mwanamke ni shetani, naye ni sehemu tu ya mwanamme, basi mwanamme ni shetani kamili
Dini yangu haisemi kwamba mwanamke shetani.
Ila ukitaka kutambua kwamba mwanamke shetani, tazama matendo.
Binafsi i love women hasa hasa wale light skinned tena sana tu hawa viumbe bana acha tu....Kwa hiyo umeamua kuchukua hatua gani baada ya kujua kuwa mwanamke ni shetani?
Binafsi i love women hasa hasa wale light skinned tena sana tu hawa viumbe bana acha tu....
women watamu sana aiseehahha kwa hiyo mkuu licha ya kujua ushetani wao wewe umeamua kuwapenda zaidi eee :]
ubarikiwe
Binafsi i love women hasa hasa wale light skinned tena sana tu hawa viumbe bana acha tu....
Hi,Lakini kwa nini dini kama nyingi kama si zote zina mfumo dume? Nimejaribu kufanya kautafiti kadogo na kugundua kwamba viongozi wa juu kabisa katika dini nyingi huwa ni wanaume.
Kwa mfano sijawahi kuona mahala popote pale kama kuliwahi kuwepo na papa wa kike....na hata siku moja sijawahi sikia eti kuna shehe wa kike. Hivi ni kwa nini hii?
Ndo kusema kwamba dini nazo zinashiriki katika kukandamiza jinsia ya kike? Halafu sasa utakuta waumini wengi kweli ni wanawake...
What do you have against women buddy? bila mwanamke ungezaliwa? kwa hiyo mamayo ni shetani? huitaji ku put anyone down for you to feel superior, and am not a feminist by the way!Unajua mwanamke shetani! sometimes we come to know that shetani alitudanganya at the moment tumeshafanya dhambi. Men are so sorry for that
Lakini kwa nini dini kama nyingi kama si zote zina mfumo dume? Nimejaribu kufanya kautafiti kadogo na kugundua kwamba viongozi wa juu kabisa katika dini nyingi huwa ni wanaume..
Totozi iwe imejaa jaa mapaja arifu na awe muoga sio unakuwa na shori mjasiri yaani shori wako hata akiona mjusi hashtuki anamkamata na kumtupa nje! ahhh huyo hafai arifu...Unapenda wembamba au wanene?
Halafu ariiifu kuna kimod flani flani naona kinafuatilia sana baadhi ya watu hadi huku....pay attention utakiona tu. Nadhani unakijua pia