God knows
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 276
- 173
- Thread starter
- #41
mie sisemi,
maana mi nachanganyikiwa,
nimeamua kuitambua jinsia yangu tu....
siku hizi wanaume wanajifanya wanawake na wanawake wanajifanya wanaume
wanaume wanavaa hereni, wanajifanya mahandisamu, wanaolewa, kwa nchi zilizoendelea mpaka jinsia wanabadilisha
ukija kwa wanawake nao full headache.....
Ila wanawake wamezidi.

