Chief Kumbyambya
JF-Expert Member
- Jun 16, 2022
- 719
- 2,408
Wasalaaaaaam wazeee...
Juzi jumapili nilitembelewa na mpenzii wangu ambaye tuna miezi tatribani minne toka uhusiani wetu ulipoanza.
Sasa tumekaa sitting room kwenye channel flani ikawa inapigwa ili nyimbo ya Abubakar ft joslin ngoma inaitwa samahani dada naomba nikwaguze mpaka kwenye nyumba ile.
Hapo kuna verse ya joslin anakwambia "Kuna time narushaga mawe kwao juu ya bati ili mtoto atoke nimwone yuko vipi"
Nikamwambia mpenzii wangu huyu kuwya enzi hizo ilikuwa mpaka urushe mawe juu ya bati la kina manzi ndiyo atoke muonane.
Mpenzi akadakia kwamba lakini mlikuwa mnarusha mawe juu ya bati Kwa ajili yetu sisi watoto wa kishua tu. Mimi nikamwambia kiutani tu "Ulikuwa mtoto wa kishua au ulukuwa bekitatu kwenye nyumba ya watoto wa kishua!!?"
Sasa manzi kakasirika mpaka leo nikipiga hapikei na mesej haujibu.. Eti kosa liko wapi hapo wakati ni utani tu.
Nimejua huyu alikuwa hanipendi alikuwa ananitafutia sababu tu.
Juzi jumapili nilitembelewa na mpenzii wangu ambaye tuna miezi tatribani minne toka uhusiani wetu ulipoanza.
Sasa tumekaa sitting room kwenye channel flani ikawa inapigwa ili nyimbo ya Abubakar ft joslin ngoma inaitwa samahani dada naomba nikwaguze mpaka kwenye nyumba ile.
Hapo kuna verse ya joslin anakwambia "Kuna time narushaga mawe kwao juu ya bati ili mtoto atoke nimwone yuko vipi"
Nikamwambia mpenzii wangu huyu kuwya enzi hizo ilikuwa mpaka urushe mawe juu ya bati la kina manzi ndiyo atoke muonane.
Mpenzi akadakia kwamba lakini mlikuwa mnarusha mawe juu ya bati Kwa ajili yetu sisi watoto wa kishua tu. Mimi nikamwambia kiutani tu "Ulikuwa mtoto wa kishua au ulukuwa bekitatu kwenye nyumba ya watoto wa kishua!!?"
Sasa manzi kakasirika mpaka leo nikipiga hapikei na mesej haujibu.. Eti kosa liko wapi hapo wakati ni utani tu.
Nimejua huyu alikuwa hanipendi alikuwa ananitafutia sababu tu.