BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Hapa hakuimba Dulaayo kweli? We jamaa muongo muongoHapo kuna verse ya joslin anakwambia "Kuna time narushaga mawe kwao juu ya bati ili mtoto atoke nimwone yuko vipi"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa hakuimba Dulaayo kweli? We jamaa muongo muongoHapo kuna verse ya joslin anakwambia "Kuna time narushaga mawe kwao juu ya bati ili mtoto atoke nimwone yuko vipi"
Tatizo linaanza hapo unaseposema huna mzuka"" unatatizo ambalo litafutie ufumbuziAisee kwamba manzi akija ni kutiana tuuuuuuuuuuuuuuu hizo ilikuwa wakati tunabalehe siku hizi manz anaweza kuja geto na huna mzuka ukamchana tu makavu flani bila kumgonga
Hahahaha mambo mengine ni kujitakiaMda wakuchek channel uliutoa wapi mkuu
kuwa serious kidogo, hao wanakujaga kwa ajili ya jambo moja tu! sio umeona amekununiaAisee kwamba manzi akija ni kutiana tuuuuuuuuuuuuuuu hizo ilikuwa wakati tunabalehe siku hizi manz anaweza kuja geto na huna mzuka ukamchana tu makavu flani bila kumgonga
Au sababu ana komwe?kuwa serious kidogo, hao wanakujaga kwa ajili ya jambo moja tu! sio umeona amekununia
Au sababu ana komwe
Au sababu ana komwe
Ni Joslin Kaka na si Dullayooo!!Hapa hakuimba Dulaayo kweli? We jamaa muongo muongo
Beki tatu na Tv ni mapachaUnamuitaje demu alafu unaangalia nae TV kwani kwao hamna TV?
Si wananyanyaswa mtu akiwa na beki 3 hataki hata akute amekaa chini anakunywa majiBeki tatu na Tv ni mapacha
Wee jamaa kavu Sana 😂Wasalaaaaaam wazeee...
Juzi jumapili nilitembelewa na mpenzii wangu ambaye tuna miezi tatribani minne toka uhusiani wetu ulipoanza.
Sasa tumekaa sitting room kwenye channel flani ikawa inapigwa ili nyimbo ya Abubakar ft joslin ngoma inaitwa samahani dada naomba nikwaguze mpaka kwenye nyumba ile.
Hapo kuna verse ya joslin anakwambia "Kuna time narushaga mawe kwao juu ya bati ili mtoto atoke nimwone yuko vipi"
Nikamwambia mpenzii wangu huyu kuwya enzi hizo ilikuwa mpaka urushe mawe juu ya bati la kina manzi ndiyo atoke muonane.
Mpenzi akadakia kwamba lakini mlikuwa mnarusha mawe juu ya bati Kwa ajili yetu sisi watoto wa kishua tu. Mimi nikamwambia kiutani tu "Ulikuwa mtoto wa kishua au ulukuwa bekitatu kwenye nyumba ya watoto wa kishua!!?"
Sasa manzi kakasirika mpaka leo nikipiga hapikei na mesej haujibu.. Eti kosa liko wapi hapo wakati ni utani tu.
Nimejua huyu alikuwa hanipendi alikuwa ananitafutia sababu tu.
Wachache wanaishi nao poa kama ndugu zaoSi wananyanyaswa mtu akiwa na beki 3 hataki hata akute amekaa chini anakunywa maji