Women, God is watching you. Hili ndiyo kosa la kununuwa kweli?

Aisee kwamba manzi akija ni kutiana tuuuuuuuuuuuuuuu hizo ilikuwa wakati tunabalehe siku hizi manz anaweza kuja geto na huna mzuka ukamchana tu makavu flani bila kumgonga
Tatizo linaanza hapo unaseposema huna mzuka"" unatatizo ambalo litafutie ufumbuzi
 
Ukikua utang'ata meno ukikutana na haya machicha uliyoyaandika
 
😂😂😂😂😂😂 utoto mwingi

Mashangazi hawanaga mda wa kukaa na kupiga story...
Mda ambao mtaongea ni mda wa kula tu au wakati upo nae kwa gari basi.
 
Aisee kwamba manzi akija ni kutiana tuuuuuuuuuuuuuuu hizo ilikuwa wakati tunabalehe siku hizi manz anaweza kuja geto na huna mzuka ukamchana tu makavu flani bila kumgonga
kuwa serious kidogo, hao wanakujaga kwa ajili ya jambo moja tu! sio umeona amekununia
 
Wee jamaa kavu Sana 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…