Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutaandamana!!!!!! This is the abuse of men's rights!
Kwa kweli mie pia nimeshangaa sana, watu wana attack utadhani kuna tunzo mweeeee, i hope ameelewa mwenyewe , ndio magreat thinker sasa tutafanyeje,pole gaga na ashadiiGaga ni mpole... hivo hata techniques zake za attack ni hafifu... Gaijin ni attacker (tena kiintelligensia) hivo ana technique zoote za attacking... Sina maana kua yey ni bora kuliko Gaga... ila nina maana yeye (Gaijini ) ni bora kuliko Gaga katika sector hio ya Ubishani... naona nimekua misinterpreted... mbona hio iko wazi... Au ndo ile niseme tu kuonekana na ponda moja kwa moja?? Sababu tu niko upande wa Gaga na siku zoote iko hivo...
Anawapotosha huyo hakuna analolijuwa kuhusu wanaume huyo, yote aliyoandika hapo ni sifuri.
1. heshima
2. Ufundi kunako 6 kwa 6
3. Mapishi
4. economy, ujuwe jinsi ya kusave matumizi na sio kufuja pesa
5. usafi wa nguo na mwili na nyumba kwa ujumla.
6. uvumilivu wakati wa misukosuko ya kimaisha, hasa kipindi uchumi unapoyumba.
Nb: wanawake wenye mvuto sana machoni pa wengi si chaguo la wanaume walio wengi kuwa wake zao wa maisha ila kwa ajili ya mitoko tu na kuspend hii ndio sabau hata mamiss unaona hawaolewi. huyo Gaga anawapotosha vibaya mno.
asante kwa tangazo la kazi, tutaleta maombiDuhhhh
Kazi ipo..
asante kwa tangazo la kazi, tutaleta maombi
...............Nimekusoma ila kwa habari nyepesi nyepesi nilizonazo Rev Masa ndio co coordinator wa church leadership summit Tanzania ambao utafanyika hapa nchini na amepewa fungu la kutosha kufanikisha maandalizi, nadhani huu ndio utakuwa mwisho wake wa kuendesha Ki Nissan March, ndio maana hata JF anaona itamcheleweshewa ngawila.Nipo sema tangu umeacha kuniSIGNATURE yako nimekosa msukumo wa kuingia humu!!LOLZZ
Haahahahha......hamna cha behind wala infront of the screen....Rev nadhani atakua anapumzika baada ya pilikapilika za Eid!!
Alafu sasa we na ujanja wako wote unadhani kuliweka store ndo unakua umesave?Kalichukue kesho lipige mnada alafu ufanya mpango wa kununua solar panels ili badala ya kulalamika jua kali uombe liendelee kuwa kali!!
Missed you too!!:A S 109:
Tutaandamana!!!!!! This is the abuse of men's rights!
Are u serious? mpaka umri huo unapanga foleni kwenye vicafe? nione nikupatie latop utanilipa kwa instalment 4.
hehehe Rais wa wabeba maboksi kwa mikwala bana!Mi ntamsaidia down payment ya asilimia 10...
Dinnah unamsingizia mtakatifu! Muumba anaweza akakasirika ukajikuta umesahau password yako ya JF gaflaAna wengi huyo, kumuonea wivu huyo ni sawa kuwonea wvu king mswati kazi bure, lazima mwaka ufatao aoe tu
Hakyababu hautojutia.aaaaah klorokwini, ok ngoja nianze kukuonea wivu mpaka ukome
Are u serious? mpaka leo hii bado unategemea umeme wa Ngeleja? nione nikupatie genereta utanilipa kwa instalment 4.
asante kwa tangazo la kazi, tutaleta maombi
Naona umejisahau kama upo jukwaa gani, muone Lizzy hapo Garden akufungulie geti utoke uende kule jukwaa la lugha. Nyani Ngabu amejitolea kuchangia 10 percent wewe wampa cheo cha Rais wa wabeba box!, kwahiyo Mzee Mwanakijiji ndio Waziri mkuu wa Wabeba Box?Mkuu spelling ya laptop umeikosea hiyo
hehehe Rais wa wabeba maboksi kwa mikwala bana!
Dinnah unamsingizia mtakatifu! Muumba anaweza akakasirika ukajikuta umesahau password yako ya JF gafla
Hakyababu hautojutia.
Halaf wewe! sawa bana! acha tusmwage rice kwenye chicken.
Nekst time tuwekee na deadline bana!umesha chelewa...
Naona umejisahau kama upo jukwaa gani, muone Lizzy hapo Garden akufungulie geti utoke uende kule jukwaa la lugha. Nyani Ngabu amejitolea kuchangia 10 percent wewe wampa cheo cha Rais wa wabeba box!, kwahiyo Mzee Mwanakijiji ndio Waziri mkuu wa Wabeba Box?
Nekst time tuwekee na deadline bana!
haya
bana mi nasoma tu watu kwenyee hii poster ..
nai hifadhi hii post for future useHahahaha mkuu unanichekesha na kuandamana, mie hii kitu ya wanandoa kurushana roho nimeishuhudia kwa jirani yangu ambae mumewe alipoteza interest sijui ndo tuite waliishiwa ubunifu wa kuendeleza malavidavi mana yale malavidavi kama zamani yalipungua mke akawa ni kupiga simu kila saa na kulia kutwa baada ya kupewa tetesi kuwa mumewe ana kimada na mbaya zaidi yule bwana alimwambia mkewe asitie dawa nywele anapenda kumuona akiwa natural.
Kilichotokea mke akapata mashosti wakamfunda jinsi ya kumrusha roho mume na strategy aliyotumia ni kujifanya ana mitoko isiyokuwa rasmi, akawa anajipamba kweli kweli haswa wikiendi yaani mume kila akirudi anamkuta mkewe as if ndo katoka kwenye mtoko few minutes ago mana anakuta nguo imetundikwa lipstic zimeshamiri usiseme na wigi liko hapo. Mume akashangazwa sana na mabadiliko ya mkewe mana zile simu za ugomvi zikaisha ikawa anapata simu za "nakutakia kazi njema", pia mkewe akawa hakauki saluni na weaving & mawigi.
Jamaa akaanza kibarua cha kumchunguza mkewe anatoka na nani,ilimtesa sana mwishowe akaona bora aanzishe ratiba ya kumtoa out mkewe ili amkomoe mwizi wake kwa kuwa benet na mkewe , na kumbe hakukuwa na mwizi wala nini...jamaa akarudishwa kwenye reli kwa staili hiyo.
...............Nimekusoma ila kwa habari nyepesi nyepesi nilizonazo Rev Masa ndio co coordinator wa church leadership summit Tanzania ambao utafanyika hapa nchini na amepewa fungu la kutosha kufanikisha maandalizi, nadhani huu ndio utakuwa mwisho wake wa kuendesha Ki Nissan March, ndio maana hata JF anaona itamcheleweshewa ngawila.
Kuhusu Generator sikununuwa ili liwe linafanya kazi masaa 12, Generator ni kwa ajili ya dharura ya 1 hour tu 3 hours na isiwe ndio mchezo wa kila siku lakini kwa Bongo sasa imekuwa useless nadhani wenye Biashara ndio zinawafaa hizo Generetor, hayo magari yenyewe tukifika mjini tunayapaki na tunaanza misele kwa mguu ndio sembuse nipate hasara ya mafuta kila siku kwa ajili ya generetor? BIG NO.