BlackBerry
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 1,839
- 958
Haaaa bora kutamka na kubadilika au kukaa kimya nionekane mtu mzuri, any way nimesahau kwamba ww ni she mwenye ID ya he, na sio kila unachosoma ukichukue mpendwa
1. Hakikisha unakuwa na good look
Tumia kioo chako kujiangalia ukoje , usijiache muda wote uko rafu, new haircut itasaidia pia kukuonyesha upo tofauti na jana, si mnajua wanaume wanapenda upya wa mambo kila siku? basi tumia kioo chako kujifanya mupya kila siku.huwezi kumfanya mume awe na wivu kama unajiacha na kuwa kama golila kila siku,add some hair colour, look young, clean and healthy kila siku.
2.Fanya shopping kidogo
Save pesa kidogo hata kama ulitaka kumnunulia kitu, hairisha, nenda kanunue lingerie and get something strappy kiasi, colour zisiwe kali sana, ila zile zenye mvuto kwa rangi mnazozipenda, ukifika home, fungua kiduchu hata lesi tu ionekane iache,usimwambie na usivae kabisa, hii itamfanya awe na shauku kwa nini ununue kitu ambacho hujaplan kukivaa hivi karibuni?
3. Nenda out...girls day out
Epuka kukaa ndani tu kila saa upo kwenye simu, ukwapi, na nani, unafanya nini, kuwa huru,kuwa na hobby to keep you occupied,tafuta marafiki ambao sio common kwake, weka plans for the evening na hao marafiki zako.unataka ajue kwamba wewe ni mwanamke wa 21 century.if he doesnt have time for you, your not sitting down waiting for him to come around forever.
4.Jiunge na gym
Hakikisha ni ya Unisex, ujifanye unaelezea names za member wa gym na how wanajitahidi na mazoezi, na pia huwa wanakusaidia mazoezi mengine coz wewe ni new member, usisahau kuelezea six pacs zao kwa chati.
5. Zawadi zenye maswali
Hakikisha umejipanga na marafiki zako kwenye sikukuu kama valentine kuleteana zawadi, hasa red roses ambazo hazina note yeyote, ikifika jifanye kumuuliza kama ni yeye kaleta, pika cakula vaa vizuri mle chakula, utashangaa anakwambia chakula ni kizuri hata kama ni maharage ya chumvi na ugai wenye mabuja
6.Mtumie jirani yako
kama una jirani kijana mwenye mvuto ambaye huwa anafix au kuzibua mabomba au chochote ambacho anaweza kukusaidia mwite mwombe msaada na uhakikishe wakati anarudi anamkuta anamalizia kazi yake.then mpe ahsante mkaribishe siku ingine
7.Muhakikishie Upendo na uimara wa penzi lenu
Kama unampenda kwa ukweli mwanaume wako huna haja ya kumuumiza kabisa,tunataka tu kuwaweka kwenye right drection, wakati mwingine maongezi yanasaidia, ongea nae mwambie yeye ni mapenzi wa maisha yako na hakuna kitu kinachoweza kuwa between you two,wanaume pia wanapenda kuona kwamba wanahitajika na wake zao, kama wewe uko emotionally strong,sexy, entertaining,loving woman lazima tu atataka kuwa around you muda wote
Tushee mawazo wapenzi
Thanks for the useful post gaga, nina imani itasaidia kwa wengine na wengine kwao sio useful, nachojua kila mtu ana mtu wake na lifestyle yao kwa hiyo anachukua kinachomhusu, NN kila mtu ana haki ya kuwa na second chance being a cheate haimfanyi muhusika kutokuwa na mawazo ya busara, wengine huwa tunamchukulia gaga kama mfano wa kuigwa sababu ametoa mengi yanayomuhusu na kuwapa wengine mwangaza wa kupambana nayo yakiwakuta,kama wewe hupendi michango yake just keep for yourself na wala usitulazimishe sie kumkubali au kutomkubali gaga
Thanx for the expensive shot of yours....cause your alwayz perfect nzagambaMimi ni she? If people's hallucinations were to turn into my reality I would have been a lot of things already. Too bad for them that ain't the case. But thanx for the cheap shot.
Nadhani sababu kubwa za mwanaume kuwa nawivu nishakujibu, ila kama unaulizia zile sifa 6 nilizozisema mwanzoni zile zinazidisha upendo kutoka kwa mwanamke, kuna rafiki ameshawahi kunitamkia mke wake akianza kufa kabla yake yeye hawezi kuoa tena, u can imagine huyu mtu anampenda mke wake kiasi gani? na huyu ni mmoja kati ya Rafiki zangu wachache wenye mkwanja na hajawai kutoka nje ya ndoa yake I can bet on that.Kwa maneno mengine... Mwanamkea akiwa na qualities zote ulizo mention ndio mwanaume ataona wivu?
1. Hakikisha unakuwa na good look
Tumia kioo chako kujiangalia ukoje , usijiache muda wote uko rafu, new haircut itasaidia pia kukuonyesha upo tofauti na jana, si mnajua wanaume wanapenda upya wa mambo kila siku? basi tumia kioo chako kujifanya mupya kila siku.huwezi kumfanya mume awe na wivu kama unajiacha na kuwa kama golila kila siku,add some hair colour, look young, clean and healthy kila siku.
2.Fanya shopping kidogo
Save pesa kidogo hata kama ulitaka kumnunulia kitu, hairisha, nenda kanunue lingerie and get something strappy kiasi, colour zisiwe kali sana, ila zile zenye mvuto kwa rangi mnazozipenda, ukifika home, fungua kiduchu hata lesi tu ionekane iache,usimwambie na usivae kabisa, hii itamfanya awe na shauku kwa nini ununue kitu ambacho hujaplan kukivaa hivi karibuni?
3. Nenda out...girls day out
Epuka kukaa ndani tu kila saa upo kwenye simu, ukwapi, na nani, unafanya nini, kuwa huru,kuwa na hobby to keep you occupied,tafuta marafiki ambao sio common kwake, weka plans for the evening na hao marafiki zako.unataka ajue kwamba wewe ni mwanamke wa 21 century.if he doesnt have time for you, your not sitting down waiting for him to come around forever.
4.Jiunge na gym
Hakikisha ni ya Unisex, ujifanye unaelezea names za member wa gym na how wanajitahidi na mazoezi, na pia huwa wanakusaidia mazoezi mengine coz wewe ni new member, usisahau kuelezea six pacs zao kwa chati.
5. Zawadi zenye maswali
Hakikisha umejipanga na marafiki zako kwenye sikukuu kama valentine kuleteana zawadi, hasa red roses ambazo hazina note yeyote, ikifika jifanye kumuuliza kama ni yeye kaleta, pika cakula vaa vizuri mle chakula, utashangaa anakwambia chakula ni kizuri hata kama ni maharage ya chumvi na ugai wenye mabuja
6.Mtumie jirani yako
kama una jirani kijana mwenye mvuto ambaye huwa anafix au kuzibua mabomba au chochote ambacho anaweza kukusaidia mwite mwombe msaada na uhakikishe wakati anarudi anamkuta anamalizia kazi yake.then mpe ahsante mkaribishe siku ingine
7.Muhakikishie Upendo na uimara wa penzi lenu
Kama unampenda kwa ukweli mwanaume wako huna haja ya kumuumiza kabisa,tunataka tu kuwaweka kwenye right drection, wakati mwingine maongezi yanasaidia, ongea nae mwambie yeye ni mapenzi wa maisha yako na hakuna kitu kinachoweza kuwa between you two,wanaume pia wanapenda kuona kwamba wanahitajika na wake zao, kama wewe uko emotionally strong,sexy, entertaining,loving woman lazima tu atataka kuwa around you muda wote
Tushee mawazo wapenzi
Thanx for the expensive shot of yours....cause your alwayz perfect nzagamba
Nadhani sababu kubwa za mwanaume kuwa nawivu nishakujibu, ila kama unaulizia zile sifa 6 nilizozisema mwanzoni zile zinazidisha upendo kutoka kwa mwanamke, kuna rafiki ameshawahi kunitamkia mke wake akianza kufa kabla yake yeye hawezi kuoa tena, u can imagine huyu mtu anampenda mke wake kiasi gani? na huyu ni mmoja kati ya Rafiki zangu wachache wenye mkwanja na hajawai kutoka nje ya ndoa yake I can bet on that.
Najuwa wapo watakaohoji unaojuwaje, jibu ni matendo tu. Unajuwa kama mwanaumehajaathiriwa na malezi ya utotoni na mwanamke ukiwa mjanja hakuna mtu mjinga kama mwanaume huu ndio ukweli mnaopaswa kuufahamu.
Kumdhibiti mwanaume ni kazi ndogo sana lakini nashangaa sijui ni kwa nini wanawake wamekosa maono haya.
nafikiri dinnah alimaanisha hapa uliposema nisiwachuuze watu, hivi kwani vitu vyote vinavyoandikwa humu mtu anatakiwa kuvifanyia kazi?na ukamalizia, wa take it from you as if unanijua na mwanza tumetoka kijiji kimoja, ok my advice may not worthwhile sababu nilicheat but nahisi nina sense of hmn ambayo still ipo inside meBwahahahahaaa....nyie wadada msichuzwe na Gaga. Kwanza huyu si keshawahi kutamka wazi hapa kuwa alimchiti mwenzake? Take it from me, her advice is not worthwhile.
nafikiri dinnah alimaanisha hapa uliposema nisiwachuuze watu, hivi kwani vitu vyote vinavyoandikwa humu mtu anatakiwa kuvifanyia kazi?na ukamalizia, wa take it from you as if unanijua na mwanza tumetoka kijiji kimoja, ok my advice may not worthwhile sababu nilicheat but nahisi nina sense of hmn ambayo still ipo inside me
That name will makes you feel better, na nilipenda ujisikie hivyo
Na wewe unawezaje comment kwamba mtu aliye cheat hawezi kuwa na maoni yoyote mazuri, kuna wahubiri wakubwa duniani walikuwa majambazi, wauwaji na leo wanahubiri neno na watu wanaokoka na kuwakubali sana, hapo ndio naweza kujaji ufahamu wako kwenye mambo mengineMimi sijajidai kukujua kama wewe ulivyodai kuhusu mimi. Lakini hakuna matata.
Gaga,
Hakuna He bila She na vice versa....Kama nimewakosea naomba msamaha mapema kabisaaaa!!!!
Hayo mambo unayoyasema naomba muyaache kwenye nadharia tu! Vitu vingine ni hatari sana kuvijaribu tena kwa mwanamume, mume wako wa ndoa...ndoa halali na si ndoa ya mkeka!!!
Hii dossier naona ni toxic kwa baadhi ya mambo (4-6) na mendine hayatakelezeki kwa wanawake walio wengi na ukizingatia ugumu wa maisha unaowakabili Watanzania!!
Nimekwambia nilitaka ujisikie vizuri , siko mbaya kivile moyoni naeza jisikia vibaya baada ya kusema neno fulani juu ya mtu ambalo najua limtamkwaza, najua neno she limekukwaza kama mie ulivonikwanza nimegundua ndio maana nimekuita nzagambaMwanamke atakuwaje nzagamba?