Women Only..... Namna ya kumfanya Mume/Partner wako awe na wivu

Women Only..... Namna ya kumfanya Mume/Partner wako awe na wivu

1. Hakikisha unakuwa na good look

Tumia kioo chako kujiangalia ukoje , usijiache muda wote uko rafu, new haircut itasaidia pia kukuonyesha upo tofauti na jana, si mnajua wanaume wanapenda upya wa mambo kila siku? basi tumia kioo chako kujifanya mupya kila siku.huwezi kumfanya mume awe na wivu kama unajiacha na kuwa kama golila kila siku,add some hair colour, look young, clean and healthy kila siku.

2.Fanya shopping kidogo

Save pesa kidogo hata kama ulitaka kumnunulia kitu, hairisha, nenda kanunue lingerie and get something strappy kiasi, colour zisiwe kali sana, ila zile zenye mvuto kwa rangi mnazozipenda, ukifika home, fungua kiduchu hata lesi tu ionekane iache,usimwambie na usivae kabisa, hii itamfanya awe na shauku kwa nini ununue kitu ambacho hujaplan kukivaa hivi karibuni?

3. Nenda out...girls day out

Epuka kukaa ndani tu kila saa upo kwenye simu, ukwapi, na nani, unafanya nini, kuwa huru,kuwa na hobby to keep you occupied,tafuta marafiki ambao sio common kwake, weka plans for the evening na hao marafiki zako.unataka ajue kwamba wewe ni mwanamke wa 21 century.if he doesnt have time for you, your not sitting down waiting for him to come around forever.

4.Jiunge na gym

Hakikisha ni ya Unisex, ujifanye unaelezea names za member wa gym na how wanajitahidi na mazoezi, na pia huwa wanakusaidia mazoezi mengine coz wewe ni new member, usisahau kuelezea six pacs zao kwa chati.

5. Zawadi zenye maswali

Hakikisha umejipanga na marafiki zako kwenye sikukuu kama valentine kuleteana zawadi, hasa red roses ambazo hazina note yeyote, ikifika jifanye kumuuliza kama ni yeye kaleta, pika cakula vaa vizuri mle chakula, utashangaa anakwambia chakula ni kizuri hata kama ni maharage ya chumvi na ugai wenye mabuja

6.Mtumie jirani yako

kama una jirani kijana mwenye mvuto ambaye huwa anafix au kuzibua mabomba au chochote ambacho anaweza kukusaidia mwite mwombe msaada na uhakikishe wakati anarudi anamkuta anamalizia kazi yake.then mpe ahsante mkaribishe siku ingine

7.Muhakikishie Upendo na uimara wa penzi lenu

Kama unampenda kwa ukweli mwanaume wako huna haja ya kumuumiza kabisa,tunataka tu kuwaweka kwenye right drection, wakati mwingine maongezi yanasaidia, ongea nae mwambie yeye ni mapenzi wa maisha yako na hakuna kitu kinachoweza kuwa between you two,wanaume pia wanapenda kuona kwamba wanahitajika na wake zao, kama wewe uko emotionally strong,sexy, entertaining,loving woman lazima tu atataka kuwa around you muda wote


Tushee mawazo wapenzi

Gaga hizi tips kwa mtazamo dume baadhi yao zina athari mbaya sana kama kiberiti dume kitakuwa kimejaa. hivyo washauri jamaa wamsome mtuhumiwa kwanza kabla kuapply hizi tips! zinaweza zikawork kwa some lakini zinaweza zikawa hurricane Irene kwa wengine.
 
Mimi wala sijamlazimisha mtu kumkubali au kutokumkubali. Na nilikuwa sijui kuwa yeye "ananifahamu na kunijua". Ila sijui "kanifahamu na kunijulia" wapi.

Lakini yote mema tu. Kila mtu ana haki na uhuru wa kutoa maoni yake, kusoma na kuamini kile asomacho, kusoma na kukitolea maoni kile akisomacho, na mengineyo yaliyo ndani ya sheria za JF.
Umesema tuachane na ushauri wake not worthwhile, wewe unaweza ona hivo ila wenzio ikawa vingine, na kama wewe ni perfect sana uwe wa kwanza kumtupia jiwe, hii hata mungu hapendi, kuangalia vibanzi vya wenzako....mazuri mangapia ametuambia hapa wewe umebaki na cheating ya miaka nenda rudi wao wenyewe wameshafunga chapter hiyo,wanaendelea na maisha
 
gaga,heri umetukumbusha. ila hiyo namba 5, hapo kwenye red roses unataka kesi ya jinai eeh? ila yote inafanya kazi aisee, hapo utaona digidigi anamfukuzia simba mwenyeewe,lol!
 
Kwa jinsi navyowajua mafundi bomba walivyo hodari wa kupinda mgongo siwezi kuruhusu huo upuuzi
wee nenda kamfanyie bwanako uliyemzidi umri
 
She's escalating things herself...


One thing for certain is i was so glad you let go maana sio kawaida
yako to let go that easily.... Mtu yeyote aweza panick for ilikua kama
mmemvamia; and she is soo mild and peaciful katika hali ya kawaida...
Thus the inevitable escalation....
 
Mimi labda nitume salam tu kwa Gaga akiwa kwenye hii sred, Gaijin akiwa huko mjane hatolewi mahari, bila kumsahau Husninyo akiwa maeneo ya umbeya ni starehe, Matola ambae pia yupo katika sredi hii, Dark City ambae jina lake limetimiza unabii wa bongo kukosa umeme, naona leo niishie hapa, wengine nitaendelea baadae.

Glory to God (Source: Miss Judith)

Brother CQ.....Ahsante sana kwa hii useful post.....Umenipa kicheko ambacho sikumbuki nimekipata lini...Ukweli umenipa dawa ya maana sana ingawa wewe mwenyewe ulizikwa siku nyingi!!!!
 
Umesema tuachane na ushauri wake not worthwhile, wewe unaweza ona hivo ila wenzio ikawa vingine, na kama wewe ni perfect sana uwe wa kwanza kumtupia jiwe, hii hata mungu hapendi, kuangalia vibanzi vya wenzako....mazuri mangapia ametuambia hapa wewe umebaki na cheating ya miaka nenda rudi wao wenyewe wameshafunga chapter hiyo,wanaendelea na maisha

My opinions are my opinions. I give them as I see fit. They are not the gospel truth and should not be taken as such. No one is obliged to take them nor did I force anyone to accept them.

So what is your beef madam?
 
One thing for certain is i was so glad you let go maana sio kawaida
yako to let go that easily.... Mtu yeyote aweza panick for ilikua kama
mmemvamia; and she is soo mild and peaciful katika hali ya kawaida...
Thus the inevitable escalation....

Kavamiwa na nani?

Hivi hamtaki mpingwe hoja zenu ee?

Hayo ya mild and peaceful sisi hapa kwenye thread hii yametuhusu na kitu gani?

Ukiweka hoja mezani tarajia kupata upinzani kwa hoja zako, yeye ndio amegeuza personal.

Mimi sihusiki na personal life yake na nime judge kile kilichoandikwa hapa tu.
 
kwani shopping ni mlimani city tu? kwenye magulio huko kuna viwalo vya sh 300!nenda arusha tengeru unapata ki-tracksuit cha buku huwezi amini! na imeongelewa saving,mwanamke kubana matumizi babu wewe!
point moja gaga amesahau: financial independence! hiyo inaleta heshima and keeps the man on their toes. japo kupika maandazi,kulima bustani, kufuga kuku japo 2!
Nakubaliana na wewe,<br />
<br />
Mawazo ya mtoa mada yanajadilika ila siyo practical...Nimejaribu kuipitia list yake ila sioni (may be only No.1) mambo ambayo wadogo zangu wanaopigika kijiji wanaweza kuyatekeleza.<br />
<br />
Hata hivyo utandawazi na mfumo wetu umetufanya tusahau kwamba kuna watu wanafanya kazi kutwa kwa malipo ya Tshs 1,500.00 au pungufu ya hapo...Hao nao wanaweza kwenda shopping???<br />
<br />
<br />
Babu DC!
<br />
<br />
 
One thing for certain is i was so glad you let go maana sio kawaida
yako to let go that easily.... Mtu yeyote aweza panick for ilikua kama
mmemvamia; and she is soo mild and peaciful katika hali ya kawaida...
Thus the inevitable escalation....
Yaani sipati picha
 
kwani shopping ni mlimani city tu? kwenye magulio huko kuna viwalo vya sh 300!nenda arusha tengeru unapata ki-tracksuit cha buku huwezi amini! na imeongelewa saving,mwanamke kubana matumizi babu wewe!
point moja gaga amesahau: financial independence! hiyo inaleta heshima and keeps the man on their toes. japo kupika maandazi,kulima bustani, kufuga kuku japo 2!
<br />
<br />
Kweli kabisa king'asti na chakula pia nimesema ugali na maharage , kuna the cheapest zaidi!
 
Back
Top Bottom