Women Only..... Namna ya kumfanya Mume/Partner wako awe na wivu

Women Only..... Namna ya kumfanya Mume/Partner wako awe na wivu

Sorry 4 interrupting but very interesting!
Sasa mimi naondoka saa 12:30 am narudi saa 21:00 hadi 00:30am kwa sababu za kikazi, je hayo utaweza kunifanyia?
Pole kwa kazi na wewe, nitafanya coz nakupenda
 
The whole concept is void. Huwezi kuwa mwanamke wa 21 century lakini uka-go out of your way to please or make a man jealous

21 century woman live for herself and do not get in an act for a man

Nakubaliana na wewe,

Mawazo ya mtoa mada yanajadilika ila siyo practical...Nimejaribu kuipitia list yake ila sioni (may be only No.1) mambo ambayo wadogo zangu wanaopigika kijiji wanaweza kuyatekeleza.

Hata hivyo utandawazi na mfumo wetu umetufanya tusahau kwamba kuna watu wanafanya kazi kutwa kwa malipo ya Tshs 1,500.00 au pungufu ya hapo...Hao nao wanaweza kwenda shopping???


Babu DC!
 
Gaga,

Hakuna He bila She na vice versa....Kama nimewakosea naomba msamaha mapema kabisaaaa!!!!

Hayo mambo unayoyasema naomba muyaache kwenye nadharia tu! Vitu vingine ni hatari sana kuvijaribu tena kwa mwanamume, mume wako wa ndoa...ndoa halali na si ndoa ya mkeka!!!

Hii dossier naona ni toxic kwa baadhi ya mambo (4-6) na mendine hayatakelezeki kwa wanawake walio wengi na ukizingatia ugumu wa maisha unaowakabili Watanzania!!
Hizo ni tips tu, na ni kweli imekaa kimagharibi ,ila navojua dunia inabadilika kwa haraka sana kwa hiyo unaweza ambulia mbili tatu,au ushindwe kabisa kufanya hayo
 
Tuzowee watu kupinga mawazo yetu. Hakuna haja ya kukasirika kwa comment yoyote utakayopewa
Haaa sijakasirika hata kidogo we jimwae tu, ila siwezi kuta watu wanachangia miziki ya kiwestern ukachangia nikakwambia unajua lini hii miziki wewe ni taarab tu, na kusema mchango wako not worthwhile hii na wewe utaipenda? wakati dunia ni pana na tunajifunza
 
Jamani naona this thread has turned on Serious na niliona iko very safe!

Genuinely speaking hio umechotwa zaidi ki magharibi.. kwa most ambao maisha ni ya Kiswahili ni machache ambayo mtu anaweza dhubutu fanya hapo... Bahati nzuri saana Gaga katoa na option 'last phrase' ya ku share mawazo.... Hivo DC Uloongea katika hii post yako naunga mkono...

ADii,

Ndo hayo mawazo hata sie tumetoa.

Nasikitika sana kwamba mara nyingi katika mijadala na maongezi yetu tunawasahau mama/dada wanaopigika......Hao wako dunia tofauti na nyie.

Labda ila bado naamini ushauri wa Gai ni mzuri saaana.....

Pamoja na kwamba mimi ni muumini wa usanii katika mapenzi ila kuna mambo mengine hayahitaji majaribio ya kisanii...Mambo hayo ni pamoja na ku-test feelings za wenzetu!!

Hapa naongelea wanaume ...tena wale wa pre-dot com!
 
Nimekwambia nilitaka ujisikie vizuri , siko mbaya kivile moyoni naeza jisikia vibaya baada ya kusema neno fulani juu ya mtu ambalo najua limtamkwaza, najua neno she limekukwaza kama mie ulivonikwanza nimegundua ndio maana nimekuita nzagamba

Wala sijakwazika kwa sababu (1) najua hiyo ni hallucination ya baadhi yenu humu na (2) haijawahi kuwa, haiko hivyo, na haitokuja iwe hivyo kamwe.

Kwa hiyo unaweza ukaniita mimi mwanamke all day and all night long but that won't change a damn thing in me.
 
Kwangu mimi wivu ni kero; na natafuta njia ya kupunguza wivu wa hubby si kuongeza.
Mfano kwa sasa niko mbali naweza mtaharifu nimealikwa kwenye bible fellowship na family fulani ananambia usiende. Mimi sipendi kuwa over controlled; na si mara zote nakubali amri though nina limit uhuru wangu mfano japo niko mbali siendi disco wala kwenye sherehe kwa kuwa najua itamsumbua sana hubby akilini.



Wivu ukizidi ndio inafika siku unapata official trip abroad jamaa anakwambia hakuna kwenda kisa unaenda na boss wa kiume. Inahu! Napenda sana kuaminiwa na kujua kuwa bado nina mvuto kwa jamaa that's all. Na sidhani kama ni busara ku pretend kuwa na affair au kuwa attracted to other man ili ku mkeep your man. It is the worst strategy.
 
Haaa sijakasirika hata kidogo we jimwae tu, ila siwezi kuta watu wanachangia miziki ya kiwestern ukachangia nikakwambia unajua lini hii miziki wewe ni taarab tu, na kusema mchango wako not worthwhile hii na wewe utaipenda? wakati dunia ni pana na tunajifunza


Ikiwa umeandika post kwa ajili ya kujifunza sote, opinions zinazodharau post yako nazo zinatakiwa zikufunze.

Kuwa wewe umeona mawazo yako deal wengine wanaona ovyo...pia hilo ni funzo
 
DC,
Wakumbushe kuwa Na atakaefata ushauri wa kujifanya amekuwa attracted na fundi bomba....akaachika au akakosa kuaminiwa maishani mwake asijekulia na JF tu
 
Maadam umezamia party si vibaya kunywa hata soda na kutoa mawili matatu

Mimi labda nitume salam tu kwa Gaga akiwa kwenye hii sred, Gaijin akiwa huko mjane hatolewi mahari, bila kumsahau Husninyo akiwa maeneo ya umbeya ni starehe, Matola ambae pia yupo katika sredi hii, Dark City ambae jina lake limetimiza unabii wa bongo kukosa umeme, naona leo niishie hapa, wengine nitaendelea baadae.

Glory to God (Source: Miss Judith)
 
Hahaha Klorokwin!

Mie nipo S'taki Shari bwana! Lol

Na umesahau kuirusha Salam moja nje ya mipaka ya nchi
 
ADii,

Ndo hayo mawazo hata sie tumetoa.

Nasikitika sana kwamba mara nyingi katika mijadala na maongezi yetu tunawasahau mama/dada wanaopigika......Hao wako dunia tofauti na nyie.

Labda ila bado naamini ushauri wa Gai ni mzuri saaana.....

Pamoja na kwamba mimi ni muumini wa usanii katika mapenzi ila kuna mambo mengine hayahitaji majaribio ya kisanii...Mambo hayo ni pamoja na ku-test feelings za wenzetu!!

Hapa naongelea wanaume ...tena wale wa pre-dot com!


DC kuwepo kwa watu ambao ni wa hali ya chini (ambao ni majority) haina maana kua wale ambao wapo katika advantage hawatazungumzia jinsi ya kutumia advantage walizo nazo kuweza kufurahi... Ni mada nyingi saana hapa MMU ambazo zinahusisha watu wote no matter wako katika kundi gani... Hata hivo kuna utofauti wa utoaji mawazo.... (na upokeleaji pia)... Mtu usiwe ni bingwa wa kutoa mawazo pale mtu tu anapokosea, kana kwamba ni furaha kwako... penye sifa mtu mpe sifa zake na penye makosa vivo hivo... Unapokua a type of person ambae daima post zako wewe ni ku Criticise/kukejeli ama kumuweka mtu at a disadvantage... your comments thou mara nyiingi zaweza kua za msingi zaweza kua Misintepreted na mhusika... Kwamba you are so perfect wewe huwezi ona mazuri ila yalo mabaya tu??

Back to the topic at hand... Hio post ya Gaga ina content ambayo in reality wachache wanaweza ku practice... But it is a way ya kuonesha kuna watu wanafanya hivo na waweza fanya hivo tegemea na choice ya mtu na hasa mazingira,... maana in most cases yalo mengi hapo huwezi mtu ukapractice... to sum up; kama your first post ilivoelezea nafikiri inajitosheleza...
 
Kwangu mimi wivu ni kero; na natafuta njia ya kupunguza wivu wa hubby si kuongeza.
Mfano kwa sasa niko mbali naweza mtaharifu nimealikwa kwenye bible fellowship na family fulani ananambia usiende. Mimi sipendi kuwa over controlled; na si mara zote nakubali amri though nina limit uhuru wangu mfano japo niko mbali siendi disco wala kwenye sherehe kwa kuwa najua itamsumbua sana hubby akilini.



Wivu ukizidi ndio inafika siku unapata official trip abroad jamaa anakwambia hakuna kwenda kisa unaenda na boss wa kiume. Inahu! Napenda sana kuaminiwa na kujua kuwa bado nina mvuto kwa jamaa that's all. Na sidhani kama ni busara ku pretend kuwa na affair au kuwa attracted to other man ili ku mkeep your man. It is the worst strategy.
Poa the worst strategy kwa mwingine inaweza kuwa the best kwa others in one way or onother
 
DC,
Wakumbushe kuwa Na atakaefata ushauri wa kujifanya amekuwa attracted na fundi bomba....akaachika au akakosa kuaminiwa maishani mwake asijekulia na JF tu
Yote maisha ndio maana neno talaka likawekwa kwenye kamusi au sio gaijin
 
Hahaha Klorokwin!

Mie nipo S'taki Shari bwana! Lol

Na umesahau kuirusha Salam moja nje ya mipaka ya nchi
Heri nusu shari kuliko.......... mbona walazimisha shari
 
Back
Top Bottom