Women Only..... Namna ya kumfanya Mume/Partner wako awe na wivu

Women Only..... Namna ya kumfanya Mume/Partner wako awe na wivu

Tutapitwaje na habari motomoto Kama hizo unazozirusha Klorokwin!

Tujuze ya Mtogile
 
1. Hakikisha unakuwa na good look<br />
<br />
Tumia kioo chako kujiangalia ukoje , usijiache muda wote uko rafu, new haircut itasaidia pia kukuonyesha upo tofauti na jana, si mnajua wanaume wanapenda upya wa mambo kila siku? basi tumia kioo chako kujifanya mupya kila siku.huwezi kumfanya mume awe na wivu kama unajiacha na kuwa kama golila kila siku,add some hair colour, look young, clean and healthy kila siku.<br />
<br />
2.Fanya shopping kidogo<br />
<br />
Save pesa kidogo hata kama ulitaka kumnunulia kitu, hairisha, nenda kanunue lingerie and get something strappy kiasi, colour zisiwe kali sana, ila zile zenye mvuto kwa rangi mnazozipenda, ukifika home, fungua kiduchu hata lesi tu ionekane iache,usimwambie na usivae kabisa, hii itamfanya awe na shauku kwa nini ununue kitu ambacho hujaplan kukivaa hivi karibuni?<br />
<br />
3. Nenda out...girls day out<br />
<br />
Epuka kukaa ndani tu kila saa upo kwenye simu, ukwapi, na nani, unafanya nini, kuwa huru,kuwa na hobby to keep you occupied,tafuta marafiki ambao sio common kwake, weka plans for the evening na hao marafiki zako.unataka ajue kwamba wewe ni mwanamke wa 21 century.if he doesnt have time for you, your not sitting down waiting for him to come around forever.<br />
<br />
4.Jiunge na gym<br />
<br />
Hakikisha ni ya Unisex, ujifanye unaelezea names za member wa gym na how wanajitahidi na mazoezi, na pia huwa wanakusaidia mazoezi mengine coz wewe ni new member, usisahau kuelezea six pacs zao kwa chati.<br />
<br />
5. Zawadi zenye maswali<br />
<br />
Hakikisha umejipanga na marafiki zako kwenye sikukuu kama valentine kuleteana zawadi, hasa red roses ambazo hazina note yeyote, ikifika jifanye kumuuliza kama ni yeye kaleta, pika cakula vaa vizuri mle chakula, utashangaa anakwambia chakula ni kizuri hata kama ni maharage ya chumvi na ugai wenye mabuja<br />
<br />
6.Mtumie jirani yako<br />
<br />
kama una jirani kijana mwenye mvuto ambaye huwa anafix au kuzibua mabomba au chochote ambacho anaweza kukusaidia mwite mwombe msaada na uhakikishe wakati anarudi anamkuta anamalizia kazi yake.then mpe ahsante mkaribishe siku ingine<br />
<br />
7.Muhakikishie Upendo na uimara wa penzi lenu<br />
<br />
Kama unampenda kwa ukweli mwanaume wako huna haja ya kumuumiza kabisa,tunataka tu kuwaweka kwenye right drection, wakati mwingine maongezi yanasaidia, ongea nae mwambie yeye ni mapenzi wa maisha yako na hakuna kitu kinachoweza kuwa between you two,wanaume pia wanapenda kuona kwamba wanahitajika na wake zao, kama wewe uko emotionally strong,sexy, entertaining,loving woman lazima tu atataka kuwa around you muda wote<br />
<br />
<br />
Tushee mawazo wapenzi
<br />
<br />
unajitakia kibuti kwa maisha ya maigizo.kuwa halisia
 
Tutapitwaje na habari motomoto Kama hizo unazozirusha Klorokwin!

Tujuze ya Mtogile
Mtogole mpaka tunakwenda hewani ni kwamba kuna mheshimiwa mmoja (jina la chama tunalo) amekutwa kaacha kazi zake anaangalia kuku wanasex......... (chanzo chetu kimeomba jina lake lisichapishwe)
 
Mtogole mpaka tunakwenda hewani ni kwamba kuna mheshimiwa mmoja (jina la chama tunalo) amekutwa kaacha kazi zake anaangalia kuku wanasex......... (chanzo chetu kimeomba jina lake lisichapishwe)
Atakuwa ni Hashycool huyo au Uporoto si wametoka kwa dhamana juzi hawa
 
Mtogole mpaka tunakwenda hewani ni kwamba kuna mheshimiwa mmoja (jina la chama tunalo) amekutwa kaacha kazi zake anaangalia kuku wanasex......... (chanzo chetu kimeomba jina lake lisichapishwe)

Ha ha ha hebu mie!

Kwa vile jina la chama mnalo naamini si cha Dovutwa manake Yule anajuulikana yeye tu chama chake holla
 
Atakuwa ni Hashycool huyo au Uporoto si wametoka kwa dhamana juzi hawa
heheeh Ankal hao jamaa kesi yao ni nzito, nazani nilikutonya last time, walikuwa wanafanya magendo ya vitabu vitakatifu. Wanahitaji loya wa maiko jakson ndio washinde kesi.
 
Gaga unaonaje tukiifanyia kazi hio ya 3?? Nimetoka kwenye mfungo hivo kulikua hamna kabisa outings...lol
Hiyo bomba sana maana tunakutana tunapeana michapo ya mwezi mzima vitu ulivovi miss mtaani, hakuna raha kama kwenda out na rafiki zako then unjua kabisa ukirudi hme mzee anakusubiria, kuolewa raha sana
 
heheeh Ankal hao jamaa kesi yao ni nzito, nazani nilikutonya last time, walikuwa wanafanya magendo ya vitabu vitakatifu. Wanahitaji loya wa maiko jakson ndio washinde kesi.
Ankal kweli banaa hebu mwambie huyu Husninyo asijihusishe na Uporoto kabisa maana jamaa bado ni mtuhumiwa
 
Hiyo bomba sana maana tunakutana tunapeana michapo ya mwezi mzima vitu ulivovi miss mtaani, hakuna raha kama kwenda out na rafiki zako then unjua kabisa ukirudi hme mzee anakusubiria, kuolewa raha sana


Acha kabisa!.... sasa itabidi tuchague launch tutapita wapi ili walau nijue nivae nguo gani... (take note.. hakikisha kua ni sehem inatakiwa nipendeze ili nikirudi jamaa aone wivu wapi nilikua...lol)
 
Ankal kweli banaa hebu mwambie huyu Husninyo asijihusishe na Uporoto kabisa maana jamaa bado ni mtuhumiwa


Mie huwa nawashangaa kwanini mwawaingilia saana... Husny ujanja wake woote kwa Upototo hanaga ujanja... Dont you want her to be happy?? lol
 
Mie huwa nawashangaa kwanini mwawaingilia saana... Husny ujanja wake woote kwa Upototo hanaga ujanja... Dont you want her to be happy?? lol
Hahaha!!! Husny banaaa hafai kabisa wewe muulize Klorokwin alitufanya nini siku ya Idd
 
Ankal kweli banaa hebu mwambie huyu Husninyo asijihusishe na Uporoto kabisa maana jamaa bado ni mtuhumiwa
Ankal usishtuke, Husninyo anampotezea muda tu Uporoto! moyo wa Husninyo wote uko kwangu, majuzi tu alitaka kujiuwa kwasababu aliskia nimemPM Lizzy, wasamaria wema wakawahi eneo la tukio na sasa anaendelea vyema na dripu. Nimemuwekea sapraiz akipona, nimenunulia ka hendbag unafungua zipu kwa remote. Ana bahati kweli kupendwa na mimi.
 
Back
Top Bottom