Women Only..... Namna ya kumfanya Mume/Partner wako awe na wivu

Tutapitwaje na habari motomoto Kama hizo unazozirusha Klorokwin!

Tujuze ya Mtogile
 
<br />
<br />
unajitakia kibuti kwa maisha ya maigizo.kuwa halisia
 
Tutapitwaje na habari motomoto Kama hizo unazozirusha Klorokwin!

Tujuze ya Mtogile
Mtogole mpaka tunakwenda hewani ni kwamba kuna mheshimiwa mmoja (jina la chama tunalo) amekutwa kaacha kazi zake anaangalia kuku wanasex......... (chanzo chetu kimeomba jina lake lisichapishwe)
 
Mtogole mpaka tunakwenda hewani ni kwamba kuna mheshimiwa mmoja (jina la chama tunalo) amekutwa kaacha kazi zake anaangalia kuku wanasex......... (chanzo chetu kimeomba jina lake lisichapishwe)
Atakuwa ni Hashycool huyo au Uporoto si wametoka kwa dhamana juzi hawa
 
Mtogole mpaka tunakwenda hewani ni kwamba kuna mheshimiwa mmoja (jina la chama tunalo) amekutwa kaacha kazi zake anaangalia kuku wanasex......... (chanzo chetu kimeomba jina lake lisichapishwe)

Ha ha ha hebu mie!

Kwa vile jina la chama mnalo naamini si cha Dovutwa manake Yule anajuulikana yeye tu chama chake holla
 
Atakuwa ni Hashycool huyo au Uporoto si wametoka kwa dhamana juzi hawa
heheeh Ankal hao jamaa kesi yao ni nzito, nazani nilikutonya last time, walikuwa wanafanya magendo ya vitabu vitakatifu. Wanahitaji loya wa maiko jakson ndio washinde kesi.
 
Gaga unaonaje tukiifanyia kazi hio ya 3?? Nimetoka kwenye mfungo hivo kulikua hamna kabisa outings...lol
Hiyo bomba sana maana tunakutana tunapeana michapo ya mwezi mzima vitu ulivovi miss mtaani, hakuna raha kama kwenda out na rafiki zako then unjua kabisa ukirudi hme mzee anakusubiria, kuolewa raha sana
 
heheeh Ankal hao jamaa kesi yao ni nzito, nazani nilikutonya last time, walikuwa wanafanya magendo ya vitabu vitakatifu. Wanahitaji loya wa maiko jakson ndio washinde kesi.
Ankal kweli banaa hebu mwambie huyu Husninyo asijihusishe na Uporoto kabisa maana jamaa bado ni mtuhumiwa
 
Hiyo bomba sana maana tunakutana tunapeana michapo ya mwezi mzima vitu ulivovi miss mtaani, hakuna raha kama kwenda out na rafiki zako then unjua kabisa ukirudi hme mzee anakusubiria, kuolewa raha sana


Acha kabisa!.... sasa itabidi tuchague launch tutapita wapi ili walau nijue nivae nguo gani... (take note.. hakikisha kua ni sehem inatakiwa nipendeze ili nikirudi jamaa aone wivu wapi nilikua...lol)
 
Ankal kweli banaa hebu mwambie huyu Husninyo asijihusishe na Uporoto kabisa maana jamaa bado ni mtuhumiwa


Mie huwa nawashangaa kwanini mwawaingilia saana... Husny ujanja wake woote kwa Upototo hanaga ujanja... Dont you want her to be happy?? lol
 
Mie huwa nawashangaa kwanini mwawaingilia saana... Husny ujanja wake woote kwa Upototo hanaga ujanja... Dont you want her to be happy?? lol
Hahaha!!! Husny banaaa hafai kabisa wewe muulize Klorokwin alitufanya nini siku ya Idd
 
Ankal kweli banaa hebu mwambie huyu Husninyo asijihusishe na Uporoto kabisa maana jamaa bado ni mtuhumiwa
Ankal usishtuke, Husninyo anampotezea muda tu Uporoto! moyo wa Husninyo wote uko kwangu, majuzi tu alitaka kujiuwa kwasababu aliskia nimemPM Lizzy, wasamaria wema wakawahi eneo la tukio na sasa anaendelea vyema na dripu. Nimemuwekea sapraiz akipona, nimenunulia ka hendbag unafungua zipu kwa remote. Ana bahati kweli kupendwa na mimi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…