Wonders.....! Most overloaded vehicles in china! Kumbe sisi wanatuchezea kwa vifaa feki!


ahsante sana mkuu life is Short, kwa tz hii ilivyo..!!!!!!!!!!!!!! mmmhhh!! mambo motomoto kweli!! viongozi ndio wanatula vichwa!!!

labda watokee tena akina nyerere sita ndio watuletee mabadiliko!! something that cnt be possible!!
 
Last edited by a moderator:
ahsante sana mkuu life is Short, kwa tz hii ilivyo..!!!!!!!!!!!!!! mmmhhh!! mambo motomoto kweli!! viongozi ndio wanatula vichwa!!!

labda watokee tena akina nyerere sita ndio watuletee mabadiliko!! something that cnt be possible!!
Mpendwa Nakuamini, Yes we can...Lakini ya nini kungoja atoke Mwl. Time yako imepita... Ngoma tuicheze sisi wenyewe... Tatizo kuwa waTz hatuna uzalendo na Utaifa siye tuptupo!1 Lakini tutajirekebisha wenyewe tutakapopata BIG blow (fundisho kubwa) Sisi shamba la bibi lipo ndo tunalemaa!! Still me and you we can start "step by step"Blessings
 
its a point mkuu!
but remember this is a free market..

and, viongozi wenyewe ndio hawa akina 'baba rizi'!

si majanga kabisa haya!!!
Nahisi uko sahihi mkuu unanikumbusha kitabu flani nilikisoma form3 miaka hiyoooo " a beautiful one is not yet born"
 
Chocs utakula na vya freemason hii ofa ngoja aanze kuagiza watu8 then nifate mimi, nyinyi wanawake muwe wa mwisho


bwana Msamiati usimtishe bi mdogo! hebu ngoja nijaribu kum-m-pesa kidogo ya chai!!!!
 
Last edited by a moderator:
Chocs utakula na vya freemason hii ofa ngoja aanze kuagiza watu8 then nifate mimi, nyinyi wanawake muwe wa mwisho


bwana Msamiati usimtishe bi mdogo! hebu ngoja nijaribu kum-m-pesa kidogo ya chai!!!!
 
Last edited by a moderator:
Chocs utakula na vya freemason hii ofa ngoja aanze kuagiza watu8 then nifate mimi, nyinyi wanawake muwe wa mwisho


bwana Msamiati usimtishe bi mdogo! hebu ngoja nijaribu kum-m-pesa kidogo ya chai!!!!
 
Last edited by a moderator:
Karibu kwenye jukwaa la siasa kujipima stress na pia jukwaa la mapenzi kujiondoa stress!
 
mbona kitufe cha like hakuna?? na mbona hakuna aliyelike huu uzi??

ila emperor unataka kuvunja ndoa za watu humu?? hiyo combination yako itafanya wengine tuachike humu
 
Last edited by a moderator:
mbona kitufe cha like hakuna?? na mbona hakuna aliyelike huu uzi??

ila emperor unataka kuvunja ndoa za watu humu?? hiyo combination yako itafanya wengine tuachike humu

kweli mkuu???

sasa mie nilie single humu ndo kusema, 'IT'S TOO LATE'?

manake mi niko kwenye kuangalia-angalia!
 
kweli mkuu???

sasa mie nilie single humu ndo kusema, 'IT'S TOO LATE'?

manake mi niko kwenye kuangalia-angalia!

kwanza wewe umekuja na kuondoa kitufe cha like ama umemuonga Paw na Invisible wakakificha??
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…