Ata vichaa huongea kiingereza[emoji44][emoji23]
Hawa ni mafukara sana hawa, ukitembea nchi yao ndio utajua, ila wanajua English.
Hizo zote ni tabia za fukara.
Siwezi bishana na kichaa kama wewe.Kubali tu hali yakoHizo zote ni tabia za fukara.
Wewe ni fukara.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji44][emoji23]
Hawa ni mafukara sana hawa, ukitembea nchi yao ndio utajua, ila wanajua English.
Huwezi kubishana huku unabisha. Huu ni ufukaraSi
Siwezi bishana na kichaa kama wewe.Kubali tu hali yako
This is what ufukara isHuwezi kubishana huku unabisha. Huu ni ufukara
English ni lugha tu Kama lugha zingine like kikuyu kikisii kijaluo kimeru ama kimasai sema chenyewe kisa tu anaongea mweupe[emoji44][emoji23]
Hawa ni mafukara sana hawa, ukitembea nchi yao ndio utajua, ila wanajua English.
Bado unadandia hii propaganda😂😂😂😂😂, pole pambana na hali yenyu bro., Hapa mtachukua mda kutoka, your brains ziko slow sana!Report mpya ya world bank inasema Kenya yaongoza katika nchi zenye ufukara wa kutisha, huku ikibainisha kwamba zaidi ya 50% ya wakenya wote wanaishi kwenye umaskini wa kutosha.
Report inaenda mbele zaidi na kudai hata Zimbabwe ina hafueni ukilinganisha na aina ya ufukara unaopatikana Kenya, wakati huo huo Newport kutoka WB hiyo hiyo inadadavua katika kipindi cha corona zaidi ya wakenya million 4 wametupwa kwenye ufukara ambao awali hawakuwepo.
View attachment 1764693View attachment 1764694