World Bank: 50% of Tanzanians live in extreme poverty

World Bank: 50% of Tanzanians live in extreme poverty

Wengi wa Waafrika tuna ujinga wa ajabu sana

Hawa WB na IMF
Ni majizi makubwa na wanyonyaji wa Bara letu la Afrika

wanatuibia
wanatupangia
wanatuletea takwimu watakavyo wao

Sisi tunabaki kuchekana na kubezana
Hakika alie turoga amekufa

Upuuzi mtupu
Lakini wakisema nyinyi ni uchumi wa kati mnakenua karibu meno ianguke. Mabeberu wanamuonea, wanataka kuiba Tanzania.
 
TZ hatuwezi kula mawe jomba! Sisi ndiyo taifa lililo na uchumi mzuri kwa sasa EA hicho kipeperushi chenu peleka huko Kunyaland nasikia Turkana wananchi wanakufa kwa njaa!
Mwambie bwana! Sisi sio wa mchezo mchezo. Anazijua V8 huyo?

 
Kila mtu anafamu kuwa ndivo ukweli ulivyo huku tunapiga kelele ya kujenga sijui vitu gani wananchi wetu wanazidi kuwa masikitini Nyerere alishasema msingi wa maendeleo ni uhuru ukishawanyima watu uhuru umeshawafanya masikini.

Na watanzania ndicho wamefanyiwa kunyimwa uhuru na hii awamu ya 5. Kama hatuwezi kuondokana na huu udikiteta 2025 asilimia 60 ya watanzania watakuwa masikini wakutupwa ili kutwaliwa kwa urahisi zaidi.
 
I will always say Magufuli is not good for Tanzania.Na akiendelea uchumi itazidi kuporomoka zaidi jamaa yaani mshamba kupitiliza mambo ya uchumi haelewi kabisa
 
Sasa mbona walitudanganya wakatuambia eti sisi tupo uchumi wa kati! [emoji22][emoji22]
 
Tanzania is the poorest nation in East Africa and among the poorest nations on planet earth.

IMF walidhibitisha juzi sasa World bank wameweka sahihiView attachment 1605690
Kwa hiyo Kenya na Zimbabwe hazipokei misaada? Mbona sisi kwa mara ya kwanza tunaendesha kampeni zetu za uchaguzi kwa pesa yetu? Na tunafanya vizuri?

Hayo ni malengo yao ya kutu intimidate sisi kama kwenye hii clip inavyoonyesha:




Kusema ule ukweli, wameshindwa. Hawatatupata sisi. Asante lugha yetu ya kiswahili. Hawana ujuzi wa kutuingia sisi na kutuvuruga. Kiswahili hawaju. Sisi tuko imara. Watahangaika na haohao wakina Uhuru Kenyata wanao dhani kuwa wao ni wazungu, lakini kwenye kupiga kampeni za kura wanazungumza kiswahili ili watu wao wawaelewe. It is a ridicule thing!
 
Yaani tukifunga mpaka kenya chali.
TZ hatuwezi kula mawe jomba! Sisi ndiyo taifa lililo na uchumi mzuri kwa sasa EA hicho kipeperushi chenu peleka huko Kunyaland nasikia Turkana wananchi wanakufa kwa njaa!
 
Tutegemee m
JPM ata waita kwa barozi kama alivyofanya kwa barozi wa MAREKANI na mwishowe wafute kauli yao.Trust me anaweza.
 
Extreme poverty,,... Inamaana idadi ya masikini huko bongo ni zaidi ya 80% sababu waliotajwa hapa ni walalahoi....yani kuweka chakula mezani kila Siku ni taabu
Somebody Membe alisema watu wanashindia mihogo na madafu wanasinzia sinzia hovyo 😆😆😆😆 Ila aliyetufikisha hapa ni Jiwe,kitu kinachosaidia ni kwamba vyakula vinapatikana kwa bei nafuu na nchi haina majanga mengi ya asili Kama Ethiopia
 
Kwa hiyo Kenya na Zimbabwe hazipokei misaada? Mbona sisi kwa mara ya kwanza tunaendesha kampeni zetu za uchaguzi kwa pesa yetu? Na tunafanya vizuri?

Hayo ni malengo yao ya kutu intimidate sisi kama kwenye hii clip inavyoonyesha:

Kusema ule ukweli, wameshindwa. Hawatatupata sisi. Asante lugha yetu ya kiswahili. Hawana ujuzi wa kutuingia sisi na kutuvuruga. Kiswahili hawaju. Sisi tuko imara. Watahangaika na haohao wakina Uhuru Kenyata wanao dhani kuwa wao ni wazungu, lakini kwenye kupiga kampeni za kura wanazungumza kiswahili ili watu wao wawaelewe. It is a ridicule thing!
Kabishane na benki kuu ya dunia sio mimi
JamiiForums679651582.jpg
 
Tanzania has been in austerity (kubana matumizi) since 2017, economies that do well do not engage in such measures.
Also austerity measures do more harm than good to the economy.

To most Tanzanians they think austerity is good (in fact they are proud of austerity), they do not know that government being the largest customer has enough spending power to kickstart all economic activities by purchasing products and services from the market.

IMF caught them in their lies and raised an alarm, you can not have an economy growing as fast as they claimed and yet the consumer spending power is no different than that of Rwanda.

The contradiction of being a low middle income country but still a member of the least developed countries.
 
Watu wa uchumi wa kati, what happened? 🤣 🤣 🤣
View attachment 1605646


Ngoja wajisifu vile wako na mabilionea wengi, ilhali asilimia 70% ya nchi ni maskini. Hiyo 28 million (~46%) ni wale maskini wa kutupwa, ongeza wale wanaoishi chini ya $1.90 kwa siku inafika asilimia 70% ya Watanzania.

Vile nawajua hawa watu, ni uvivu wa kutegemea serikali ifanye kila kitu ndiyo imewafikisha hapa. Mtanzania wa kawaida siyo mtu wa kujituma ama mwenye bidii. Yeye ni angoje apate muhogo na maharage tosha.
 
Back
Top Bottom