World Bank estimates Tz economy to grow by 2.5%, while CCM campaign gimmick states 5.5%

World Bank estimates Tz economy to grow by 2.5%, while CCM campaign gimmick states 5.5%

Alafu hao hao Word Bank wameshusha 'estimates' za ukuaji wa uchumi wa Kenya mwaka huu, kutoka 6% ya hapo awali Januari hadi 1.5%, baseline. Tukitumia takwimu zao za GDP mwaka jana 2019, Kenya @ $99B na Tz @ $62B ukuaji wa uchumi wa Kenya @1.5% utakuwa sawa tu na wa Tz @2.5%, maanake sote tutakuwa tumeongeza approx. $1.5B kwenye uchumi. [emoji1] Alafu tayari uchumi wa Kenya umekua kwa 4.9%, Q1 2020. Yaani kwa ufupi hawa majirani tunawapiga chenga, chobo na mabao, wao wakiwa uwanjani wameloa jasho hadi kwenye kwato na sisi tukiwa kitandani tukivuta blanketi, huku tukikoroma na kumwaga ute.
 
AFDB picked from your only available source; ccm govt's controlled statistics body. World bank are more accurate. In several reports after indicating 5.5% wanasema ni estimation za |Tz govt.

Where did the world bank pick their so called "accurate" statistics from?
 
AFDB picked from your only available source; ccm govt's controlled statistics body. World bank are more accurate. In several reports after indicating 5.5% wanasema ni estimation za |Tz govt.
Kwaiyo unajitoa ufaham cyo....unatak WB ili kuprove iyo nonsense apo juu ...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116]
Screenshot_20200710-111704.jpg
 
s

So your limited reasoning inakuambia AFDB wako accurate? AGDB give projections as par available data from specific governments. World bank, ambao waliwa declare eti nyie mko lower middle income na mkakubali, at least based on their previous estimates which they had factored in several economic activities without considering covid19, they can revise and give projection according to prevailing circumstances and how they have affected the various sections of the economy, which was giving a previous projection. So if they project 2.5% they are somewhat correct, may not be 100% accurate but their estimation is reasonable, and can easily be substantiated. If you accepted their estimation eti mko lower middle income mbona mkane hii a 2.5% growth? wanafiki ninyi![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Acha kuleta upimbi ww..km ni maswala ya middle income Tz ilingia tangu 2017 so ndio ujue ....makadirio yao hayako sahihi unadhani uchumi wa Tz ni uchumi unao tegemea sector moja[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787] wakati tourism ameathiriwa kule mjomba Gold akachukua kiti[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji382][emoji382][emoji382]mambo ni mpelampela akuna kulala....this country have a diversify economy
 
Hatujasema tunawapinga, we are putting the facts straight. Hao wanapata data/info/report from specific government or other media outlets. Mimi nimeweka mtazamo wa World Bank, wewe observe and make your personal judgment, hapa hakuna mjadala, ni observation tu.
Kwaiyo ww ndio unaweza weka fact straight than AFDB acha kunywa gither na kumwaga ujinga ako hapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji382][emoji382]
 
Yosef Festo,

Gold export iliingiza $2.5B mbele ya tourism ilioingiza $2.3B ,Kwani umesikia serikali ikikataa?serikali inaviashiria vyake na WB nao wanavyao. So mwisho wa siku itafahamika tu
 
QUOTE="tuusan, post: 35999476, member: 373150"]
Yosef Festo,

Gold export iliingiza $2.5B mbele ya tourism ilioingiza $2.3B ,Kwani umesikia serikali ikikataa?serikali inaviashiria vyake na WB nao wanavyao. So mwisho wa siku itafahamika tu.
[/QUOTE]

A worthy reasoning; Tz has it's own viashiria and world bank has it's own viashiria too. This opens up a keen brain to do an objective analysis, si ushabiki. NB: it is just estimation, it may be realized or fail to be realized. World Bank said Kenya will grow at 1.5% as opposed to earlier projection ya 6.5% due to covid19, juzi Kenya's govt projects a 5% growth, I am watching closely to see what indicators are Kenya's govt banking on for the next half year growth.

So 5.5% which AFDB picked is Tz govt projection, coz in their report they also quote the 2.5% world bank's projection, with the world bank's reasons. Unfortunately most of your countrymen kazi ni kupinga without giving an objective view or analysis of the report. I cant argue with several here. Inachosha.😂😃
 
QUOTE="tuusan, post: 35999476, member: 373150"]
Yosef Festo,

Gold export iliingiza $2.5B mbele ya tourism ilioingiza $2.3B ,Kwani umesikia serikali ikikataa?serikali inaviashiria vyake na WB nao wanavyao. So mwisho wa siku itafahamika tu
A worthy reasoning; Tz has it's own viashiria and world bank has it's own viashiria too. This opens up a keen brain to do an objective analysis, si ushabiki. NB: it is just estimation, it may be realized or fail to be realized. World Bank said Kenya will grow at 1.5% as opposed to earlier projection ya 6.5% due to covid19, juzi Kenya's govt projects a 5% growth, I am watching closely to see what indicators are Kenya's govt banking on for the next half year growth. So 5.5% which AFDB picked is Tz govt projection, coz in their report they also quote the 2.5% world bank's projection, with the world bank's reasons. Unfortunately most of your countrymen kazi ni kupinga without giving an objective view or analysis of the report. I cant argue with several here. Inachosha.[emoji23][emoji2][/QUOTE]

Ww ndio unachosha na pumba zako, mana ya AFDB ku mension 2.5 ya WB ni km kuapreciate kile wamepredict world bank, lakini bada ya kuangalia vigezi vya wb n vile vya Tz plus vyao ndio mana wao wakaja na kile wanacho amini wao bada ya analysis sasa pimbi moja unakuja na porojo zako na kuanza kutengeneza hadithi. Sijui wamechukua info za Tz km walichukua inaman kwa vigezo vyao wameridhia...acha upimbi, pambaneni na iyo 1.4 yenu
 
Alafu hao hao Word Bank wameshusha 'estimates' za ukuaji wa uchumi wa Kenya mwaka huu, kutoka 6% ya hapo awali Januari hadi 1.5%, baseline. Tukitumia takwimu zao za GDP mwaka jana 2019, Kenya @ $99B na Tz @ $62B ukuaji wa uchumi wa Kenya @1.5% utakuwa sawa tu na wa Tz @2.5%, maanake sote tutakuwa tumeongeza approx. $1.5B kwenye uchumi. [emoji1] Alafu tayari uchumi wa Kenya umekua kwa 4.9%, Q1 2020. Yaani kwa ufupi hawa majirani tunawapiga chenga, chobo na mabao, wao wakiwa uwanjani wameloa jasho hadi kwenye kwato na sisi tukiwa kitandani tukivuta blanketi, huku tukikoroma na kumwaga ute.
Just use your common sense, Everything has returned to normality in Tanzania while In Kenya more than 300,000 teachers are jobless, Almost a million people have lost their jobs due to collapse of the tourism sector etc.
 
Back
Top Bottom