World Bank estimates Tz economy to grow by 2.5%, while CCM campaign gimmick states 5.5%

World Bank estimates Tz economy to grow by 2.5%, while CCM campaign gimmick states 5.5%

Afdb wamechukua kutoa kwenu wakaweka tu[emoji23][emoji23]

Msupuu acha kujitoa akili utokosa mume, ile dream yako ya kuolewa na mtzed itapotea.

Sasa kama AfDB walitoa data CCM kwamba uchumi wa Bongo unakuwa kwa 5.2%, na je data za uchumi wa kenya kukuwa kwa 1.4% wamezitoa jubilee au wapi?
 
Msupuu acha kujitoa akili utokosa mume, ile dream yako ya kuolewa na mtzed itapotea.

Sasa kama AfDB walitoa data CCM kwamba uchumi wa Bongo unakuwa kwa 5.2%, na je data za uchumi wa kenya kukuwa kwa 1.4% wamezitoa jubilee au wapi?
Wametoa world bank
 
Festo..nyie govt yenu..ime predict sawa na WB au iko juu kidogo?..mar nying est za nchi ziko juu ya wB

What did GOK predict?
 
Mabeberu wakiwaita "uchumi wa kati" mnawasifia, wakitoa taarifa za hali ilivyo mbaya mnasema ni waongo.
Walizusha ugonjwa hapa tz sijui zika tukawaminya pumbu sasa wakaja na korona wameumbuka hao mabeberu tasa
 
Mlikuwa mnaumia sana siku hizi naona mshapata a little confidence.
Haaa wapi toka watz tujue sababu za nyinyi mkija tz tunawakalibisha hadi majumbani kwetu ila sisi tukija Kenya mnatukimbia hamtaki kutupeleka mnapo ishi ! Zamani tulikuwa hatujui sababu tulidhani sababu ni kutokupendana kati yenu kumbe ni umasikini mnaishi kwa slum
 
Wametoa world bank
Wewe mkenya mwenye IQ kubwa kuliko Wakenya wote hapa JF VP na wewe umekimbia UZI wa dar vs naii kumbe na wewe mdebwedo, nimecheka sana kukuona hadi wewe umetimka[emoji125][emoji125]
 
Haaa wapi toka watz tujue sababu za nyinyi mkija tz tunawakalibisha hadi majumbani kwetu ila sisi tukija Kenya mnatukimbia hamtaki kutupeleka mnapo ishi ! Zamani tulikuwa hatujui sababu tulidhani sababu ni kutokupendana kati yenu kumbe ni umasikini mnaishi kwa slum
Ulifika pande gani Kenya?
 
Yosef Festo,
Ajabu ni wewe unayepinga bila ya data zako na badala yake unatumia za wengine. Hipo wapi research yako? weka hapa nayo tuione. Kwani, world bank ndio mwisho? wakisema lazima litokee?
 
Wewe mkenya mwenye IQ kubwa kuliko Wakenya wote hapa JF VP na wewe umekimbia UZI wa dar vs naii kumbe na wewe mdebwedo, nimecheka sana kukuona hadi wewe umetimka[emoji125][emoji125]
Hizi ishu ndio bado mnazijadili hko..so siwezi jirudia
 
Hizi ishu ndio bado mnazijadili hko..so siwezi jirudia
@mwaswast njoo tukokote hii mbuzi imekimbia Uzi wa naii vs dar imewaacheni pekeyenu inakuwa pumbavu kama KDF ikiona al shababu wanakimbia wenzao, na kusababisha wenzao kuuwawa kwa kuzidiwa
 
@mwaswast njoo tukokote hii mbuzi imekimbia Uzi wa naii vs dar imewaacheni pekeyenu inakuwa pumbavu kama KDF ikiona al shababu wanakimbia wenzao, na kusababisha wenzao kuuwawa kwa kuzidiwa
Bwahaha!!we ni jobless[emoji23][emoji23][emoji23]
Manake nakushangaa
 
Back
Top Bottom