World Bank: Kampala could become a mega slum in 10 years

World Bank: Kampala could become a mega slum in 10 years

Naomba basi nenda kwanza mmalize tatizo la UKabila Kenya na Tatizo la ALSHABAB halafu uje tuongelee mambo ya uchumi hapa ukiwa umetulia huweweseki ukabila na kuota ALSHABAB

Unaongea na kutubeza ni kama Tanzania kumetulia tuli
- Amboni movie
- Watoto wa Panya road wanababaisha nchi
- Albino mnawang'ata karibu kila siku
- Mafisadi wanaodai Milioni 10 ni hela ya mboga tu
- Udini
- Tegeta, Richmond, Uswizi etc
Yaani usitake nirodheshe uchafu mlionao wakati mnacheka cheka na ustaarabu.
 
Hatutegemei mje kutuomba ardhi, ila tatizo ni kuwa mna ardhi kubwa yenye rotuba lakini kila siku umaskini unawamaliza, hamna jinsi ya kujiboresha, uvivu na uzembe ndio zenu. Nyie ndio mfano kuwa Afrika tumelaaniwa kiaina, mna kila kitu lakini bado mpo mpo tu. Hadi mmefikia kujazana pembeni mwa barabara za Kenya mkiomba omba.




Mvivu na mzembe ni yule naekufa kwa njaa, umeshawai kusikia watanzania wakiomba chakula kenya? Kama sisi wavivu chakula tunachowauzia ili msife njaa kinalimwa na nani?
 
Last edited by a moderator:
Mvivu na mzembe ni yule naekufa kwa njaa, umeshawai kusikia watanzania wakiomba chakula kenya? Kama sisi wavivu chakula tunachowauzia ili msife njaa kinalimwa na nani?

Kwa nchi yenye nusu yake ni kame tupu, na kiangazi muda mwingi, hilo ni jambo la kawaida. Kama nchi tunajaribu pakubwa maana tumewahifadhi hadi wakimbizi mamilioni kutoka nchi kadhaa na pamoja na ukame wa nchi yetu, tunajitahidi kuwalea.
Halafu ikija mambo ya life expectancy, sio kwamba mmetushinda, nyie ni wale wale Waswahili tu. Kwanza baina ya nchi zetu, watu wanaokufa kutokana na mambo ya aibu kama malnutrition, Tanzania ina idadi kubwa ambapo ni 10.81 wakati Kenya ni 3.92 ndani ya watu laki moja. Twende kimasomo wacha hadithi za vijiweni, fuatilia takwimu zilizopo hapa chini

HEALTH PROFILE TANZANIA
HEALTH PROFILE KENYA
 
Kwa nchi yenye nusu yake ni kame tupu, na kiangazi muda mwingi, hilo ni jambo la kawaida. Kama nchi tunajaribu pakubwa maana tumewahifadhi hadi wakimbizi mamilioni kutoka nchi kadhaa na pamoja na ukame wa nchi yetu, tunajitahidi kuwalea.
Halafu ikija mambo ya life expectancy, sio kwamba mmetushinda, nyie ni wale wale Waswahili tu. Kwanza baina ya nchi zetu, watu wanaokufa kutokana na mambo ya aibu kama malnutrition, Tanzania ina idadi kubwa ambapo ni 10.81 wakati Kenya ni 3.92 ndani ya watu laki moja. Twende kimasomo wacha hadithi za vijiweni, fuatilia takwimu zilizopo hapa chini

HEALTH PROFILE TANZANIA
HEALTH PROFILE KENYA

Mkuu ulituita wavivu mimi nikakwambia tungekua wavivu tusingekuuzia chakula. Kiustaarabu mtu anaekulisha chakula huwezi kumuita mvivu. Nyinyi mnajisifia kua mmeendelea hata katika technology lakini njaa kwenu imekua kama donda ndugu.
 
tumewahifadhi hadi wakimbizi mamilioni kutoka nchi kadhaa na pamoja na ukame wa nchi yetu, tunajitahidi kuwalea.

Wakimbizi mnawalea nyie au Shirika la wakimbizi la umoja wa mataifa?

Kenya ndio nchi pekee Afrika mashariki iliyozalisha wakimbizi wa ndani wakati wa machafuko ya ukabila mlio ufuga na kuuendekeza.Ajabu Kenya haikuwa na uwezo wa kuwalisha wakimbizi wake wenyewe wa ndani wakawa wanalishwa na Shirika la wakimbizi la Umoja wa mataifa chakula kikiwa kinatoka Tanzania!!!
 
Mkuu ulituita wavivu mimi nikakwambia tungekua wavivu tusingekuuzia chakula. Kiustaarabu mtu anaekulisha chakula huwezi kumuita mvivu. Nyinyi mnajisifia kua mmeendelea hata katika technology lakini njaa kwenu imekua kama donda ndugu.

Kwa ninyi kutuuzia chakula haijaonyesha tofauti yoyote kwa jinsi mlivyo wavivu. Hiyo ni biashara, kama jinsi mnatuuzia machungwa halafu tunatengeneza juice na kuwaletea.
Ninachosema isingekua uvivu wenu, nchi hiyo kwa mazuri na baraka ilizo nazo, mngekua mbali sana. Kuuza mahindi ni jambo ndogo sana ukilinganisha na mengi ambayo mngelifanya kwenye hiyo nchi kubwa yenye rotuba kila sehemu. Amkeni na mjitume.
 
Ugomvi wa Kenya tulipatanishwa na viongozi wengi duniani, rais Kikwete akiwa mmoja wao. Hilo ni jambo la kawaida ndugu wanapokosana na kupatanishwa na watu wenye nia njema. Hivyo hivyo tunajaribu kuhusika katika kuwapatanisha Wasudan. Hilo huwezi linganisha na omba omba.

Tatizo la kuomba omba litaeleweka kama nchi imekumbwa na majanga, lakini Tanzania
- Amani tele
- Ardhi yenye rotuba tele
- Watu tele
- Madini tele
- Utalii tele
- Bandari tele
Yaani naweza nikajaza kurasa kadhaa nikiorodhesha mazuri mlionayo, lakini sasa inakua hamueleweki tatizo huwa nini, laana ya aina gani mlilaaniwa, umaskini tele. Omba omba hao wamejaa pembeni mwa barabara za Kenya. Rasi wenu dunia anazunguka na kibakuli, yaani uvivu wa kutupwa unawamaliza. Afrika kuna laana tu.


Yaani baadhi ya Wakenya huwa wananifurahisha sana kutokana na kujifariji kupitia mgongo eti wa kufanya kazi kwa bidii na kuendeleza nchi yao licha ya scarce resources. Kwa uvivu wa kusoma na kutafiti baadhi ya watu hata wabongo huwa wanaingia kingi

Lakini ukitafiti kwa makini pengo la maendeleo kati ya Kenya na Tanganyika lipo tangu kipindi cha ukoloni miaka ya 1940s kutokana na Waingereza kujenga Kenya kupitia raslimali za Tanganyika na kidogo Uganda. Huwa nawashangaa sana Wakenya wa namna yako wanaojiona kuwa wameendelea baadhi ya wapambe wao wa hapa nchini.

Tangu miaka hiyo, Tanganyika ndio imekuwa ikiendelea kupunguza 'gap' la maendeleo ambalo si kuwa lilitokana na juhudi za Wakenya, ila ni la kihistoria kwa Kenya kupendelewa na Waingereza kuwa centre ya kila kitu ktk eneo hili la Afrika. Kama kuna nchi ambayo kidogo ilifaidika na ukoloni basi Kenya kwa eneo hili ilipatapata angalau miundombinu, viwanda na elimu huku nchi nyingine hasa Tanganyika ikidumazwa na Waingereza kwa takribani miaka 70!!

Kwa kuwa Kenya haijatengeneza gap baada ya uhuru, ila Tanganyika ndio imekuwa ikipunguza gap, sioni kwa nini watu wanajifanya ni bora kuliko wengine. Ni sawa na mtoto aliyerithi mali ya fuso 100 za baba kumcheka yule ambaye amerithi maguta 100 lakini baada ya miaka 10 huyu wa guta unamkuta ana guta 150 na fuso 50, wakati yule wa kwanza kaongeza guta hadi 110 tu!!!
 
Hatutegemei mje kutuomba ardhi, ila tatizo ni kuwa mna ardhi kubwa yenye rotuba lakini kila siku umaskini unawamaliza, hamna jinsi ya kujiboresha, uvivu na uzembe ndio zenu. Nyie ndio mfano kuwa Afrika tumelaaniwa kiaina, mna kila kitu lakini bado mpo mpo tu. Hadi mmefikia kujazana pembeni mwa barabara za Kenya mkiomba omba.



Ardhi tunayo tena inarutuba. Kwahyo unatakaje? Tuwape? Tuwakaribishe?
 
Last edited by a moderator:
Ugomvi wa Kenya tulipatanishwa na viongozi wengi duniani, rais Kikwete akiwa mmoja wao. Hilo ni jambo la kawaida ndugu wanapokosana na kupatanishwa na watu wenye nia njema. Hivyo hivyo tunajaribu kuhusika katika kuwapatanisha Wasudan. Hilo huwezi linganisha na omba omba.

Tatizo la kuomba omba litaeleweka kama nchi imekumbwa na majanga, lakini Tanzania
- Amani tele
- Ardhi yenye rotuba tele
- Watu tele
- Madini tele
- Utalii tele
- Bandari tele
Yaani naweza nikajaza kurasa kadhaa nikiorodhesha mazuri mlionayo, lakini sasa inakua hamueleweki tatizo huwa nini, laana ya aina gani mlilaaniwa, umaskini tele. Omba omba hao wamejaa pembeni mwa barabara za Kenya. Rasi wenu dunia anazunguka na kibakuli, yaani uvivu wa kutupwa unawamaliza. Afrika kuna laana tu.

Huna lolote mnafiki wewe. Hatuna haraka ya kukimbizana na rasilimali wakati tunajiandaa na teknolojia. Tusipofanya sisi watakuja kizazi kijacho kufanya mambo. Wakenya ni wabinafsi ndo maana asilimia 70 ya Kenya ipo chini ya Kenyatta and family. Nyie wavaa suti zenu mtaishia Kibera
 
wakiambiwa waige land laws zetu wanabisha.....
The whole EAC should adopt Tanzania's land laws!

80% I do agree with you but City plans are compulsory and not an option to any country regardless of Land laws.

Land laws it's not an issue. We have those laws but we have a lot conflicts throughout the Country.e.g. Kilosa (Morogoro), meru (Manyara), Nyamongo (Mara-Tarime), Kisesa (Mwanza- where CCM representative was killed), just to mention a few.

In Tz also we do experience the same problems as evidenced by Dar es salaam congestions, every where. The same to Mwanza where the Main road is one, and the City is growing rapidly while City planners just sitted in Offices.
 
Yaani baadhi ya Wakenya huwa wananifurahisha sana kutokana na kujifariji kupitia mgongo eti wa kufanya kazi kwa bidii na kuendeleza nchi yao licha ya scarce resources. Kwa uvivu wa kusoma na kutafiti baadhi ya watu hata wabongo huwa wanaingia kingi

Lakini ukitafiti kwa makini pengo la maendeleo kati ya Kenya na Tanganyika lipo tangu kipindi cha ukoloni miaka ya 1940s kutokana na Waingereza kujenga Kenya kupitia raslimali za Tanganyika na kidogo Uganda. Huwa nawashangaa sana Wakenya wa namna yako wanaojiona kuwa wameendelea baadhi ya wapambe wao wa hapa nchini.

Tangu miaka hiyo, Tanganyika ndio imekuwa ikiendelea kupunguza 'gap' la maendeleo ambalo si kuwa lilitokana na juhudi za Wakenya, ila ni la kihistoria kwa Kenya kupendelewa na Waingereza kuwa centre ya kila kitu ktk eneo hili la Afrika. Kama kuna nchi ambayo kidogo ilifaidika na ukoloni basi Kenya kwa eneo hili ilipatapata angalau miundombinu, viwanda na elimu huku nchi nyingine hasa Tanganyika ikidumazwa na Waingereza kwa takribani miaka 70!!

Kwa kuwa Kenya haijatengeneza gap baada ya uhuru, ila Tanganyika ndio imekuwa ikipunguza gap, sioni kwa nini watu wanajifanya ni bora kuliko wengine. Ni sawa na mtoto aliyerithi mali ya fuso 100 za baba kumcheka yule ambaye amerithi maguta 100 lakini baada ya miaka 10 huyu wa guta unamkuta ana guta 150 na fuso 50, wakati yule wa kwanza kaongeza guta hadi 110 tu!!!

Huu ndio uwongo viongozi wazembe wamekua wakiwadanganya Watanzania, eti Uingereza ilisaidia Kenya. Ukiangalia takwimu za uchumi, tofauti ilikua kidogo sana mnamo mwaka wa 2006, lakini kwa uongozi wa Kibaki, tulijituma hadi tukapaa, hamna siri yoyote nyingine, ni kujituma tu.

ke_gdp.gif



tz_gdp.gif
 
Unaongea na kutubeza ni kama Tanzania kumetulia tuli
- Amboni movie
- Watoto wa Panya road wanababaisha nchi
- Albino mnawang'ata karibu kila siku
- Mafisadi wanaodai Milioni 10 ni hela ya mboga tu
- Udini
- Tegeta, Richmond, Uswizi etc
Yaani usitake nirodheshe uchafu mlionao wakati mnacheka cheka na ustaarabu.

Mi mtanzania but umeongea ukweli mtupu mkuu, muambie na mapigano ya wafugaji na wakulima kila siku
 
Naomba basi nenda kwanza mmalize tatizo la UKabila Kenya na Tatizo la ALSHABAB halafu uje tuongelee mambo ya uchumi hapa ukiwa umetulia huweweseki ukabila na kuota ALSHABAB

Toa boriti jichoni kwako kwanza ndo uangalie kibanzi jichoni kwa mwenzanko, tz tuna lipi la kujivunia mpaka uwaseme wakenya? Binafs najiskia aibu kuwa mtanzania
 
Ndio zipi hizo maana hata Dar ndio unplanned kishenzi. Nilisoma kuwa tume yenu ya ardhi imekata tamaa baada ya kushindwa kubuni sera itakayotumika kwa ajili ya kutatua masuala ya ardhi.
Juzi tu nyumba 38 zimechomwa kwa ajili ya matatizo ya ardhi Tanzania https://www.jamiiforums.com/habari-...-tanzania-kwa-ajili-ya-matatizo-ya-ardhi.html

Heri sisi Wakenya tulikumbwa na haya matatizo na tuko mbioni kuyarekebisha, tumeona madhara yake, tumepigana hadi sasa kimeeleweka, tayari tumeandika katiba inayogusia ardhi pakubwa. Nyie bado mpo mpo tu.


4184037651_0e03a629fc_b.jpg
T

Tuwekee picha za kibera na nyingineze za Nairobi
 
Hizo mbio ni lini mtazifikia? muda mrefu umepita toka katiba iandike jambo hilo.Lini familia ya Kenyatta itaachia maeneo mazuri makubwa na yenye rutuba wanayomiliki na kuyakabidhi kwa watu wasio na ardhi?

Kwanza kwenu Kenya ni wakenya wangapi wa kawaida wanamiliki ardhi..?

Kweli Kampala mpangilio wa mji ni mbovu...., ni kama mkusanyiko wa vi-slums fulani hivi! Hovyo kabisa na ule udongo mwekundu utadhani uko kijijini kumbe jijini!!
 
Mi mtanzania but umeongea ukweli mtupu mkuu, muambie na mapigano ya wafugaji na wakulima kila siku


Kenya kuna ufisadi wa anglo gold (mnaweza mkaongeza nyingine mnazozijua) tena ni juzi tu ndio wamepewa hukumu.
Sidhani kama kuna nchi yeyote Africa iko immune na ufisadi! Inawezekana zikazidiaana ila haimaanishi kuwa Kenya hakuna mafisadi!!
 
Kwa ninyi kutuuzia chakula haijaonyesha tofauti yoyote kwa jinsi mlivyo wavivu. Hiyo ni biashara, kama jinsi mnatuuzia machungwa halafu tunatengeneza juice na kuwaletea.
Ninachosema isingekua uvivu wenu, nchi hiyo kwa mazuri na baraka ilizo nazo, mngekua mbali sana. Kuuza mahindi ni jambo ndogo sana ukilinganisha na mengi ambayo mngelifanya kwenye hiyo nchi kubwa yenye rotuba kila sehemu. Amkeni na mjitume.

Hahaaa eti kuwauzia mahindi ni jambo dogo! Kama Tz ingekuwa haizalishi mahindi ya kututosheleza na ziada ya kuwauzia si mngekufa njaa wote? Hivi ni wananchi wangapi huko Kenya wanakufa njaa kila mwaka!?
 
Back
Top Bottom