World Bank: Kampala could become a mega slum in 10 years

World Bank: Kampala could become a mega slum in 10 years

Huu ndio uwongo viongozi wazembe wamekua wakiwadanganya Watanzania, eti Uingereza ilisaidia Kenya. Ukiangalia takwimu za uchumi, tofauti ilikua kidogo sana mnamo mwaka wa 2006, lakini kwa uongozi wa Kibaki, tulijituma hadi tukapaa, hamna siri yoyote nyingine, ni kujituma tu.

ke_gdp.gif



tz_gdp.gif


Wewe rafiki una matatizo sana. Ina maana mpaka sasa hujui maana ye neno ''forecast''? Unatuletea forecast data ili iliweje. Wenzako tunazungumzia tofauti ya uchumi wa nchi hizi tangu ukoloni sio kutokana na uhodari wenu, wewe unakuja na forecast za kuanzia mwaka 2004!!!!!

Anyway, sina cha kubishana zaidi na wewe wenye akili wameona wenyewe.
 
Wewe rafiki una matatizo sana. Ina maana mpaka sasa hujui maana ye neno ''forecast''? Unatuletea forecast data ili iliweje. Wenzako tunazungumzia tofauti ya uchumi wa nchi hizi tangu ukoloni sio kutokana na uhodari wenu, wewe unakuja na forecast za kuanzia mwaka 2004!!!!!

Anyway, sina cha kubishana zaidi na wewe wenye akili wameona wenyewe.
Baba Kiki
Wewe ni punju kweli, aisei unatia huruma, halafu inawezekana upo na cheo fulani muhimu Tanzania pamoja na jinsi ulivyo kilaza, ndio maana nchi inabaki nyuma wakati wote. Nilicho post hapo ni actual data, hilo neno "Forecast" ni link uki-click inakupa "Forecast" ya nchi husika. Jifunze kudadavua data za TRADING ECONOMICS | 300.000 INDICATORS FROM 196 COUNTRIES

Hizi hapa data zote mbili

Actual Data
kenya-gdp.png



Forecast
kenya-gdp-forecast.png
 
Last edited by a moderator:
Baba Kiki
Wewe ni punju kweli, aisei unatia huruma, halafu inawezekana upo na cheo fulani muhimu Tanzania pamoja na jinsi ulivyo kilaza, ndio maana nchi inabaki nyuma wakati wote. Nilicho post hapo ni actual data, hilo neno "Forecast" ni link uki-click inakupa "Forecast" ya nchi husika. Jifunze kudadavua data za TRADING ECONOMICS | 300.000 INDICATORS FROM 196 COUNTRIES

Hizo exports unazoongelea wala si za waswahili wakenya ni za matajiri wa kihindi na wazungu walioko kenya.Sehemu kubwa ya uchumi wa Kenya uko mikononi mwa wazungu na wahindi tofauti na Tanzania.Wakenya waswahili ni vibarua tu kwenye makampuni,mashamba na viwanda vya wahindi na wazungu.Wazungu waliipa kenya uhuru wa ikulu lakjini uchumi uko bado mikononi mwao.

Tanzania exports hizo uzionazo ni za waswahili kabisa wazawa wa Tanzania.Pesa imeingia kwa watanzania na si kwa wazungu au wahindi walioko India,uingereza au kanada kama ilivyo kenya.
 
Hizo exports unazoongelea wala si za waswahili wakenya ni za matajiri wa kihindi na wazungu walioko kenya.Sehemu kubwa ya uchumi wa Kenya uko mikononi mwa wazungu na wahindi tofauti na Tanzania.Wakenya waswahili ni vibarua tu kwenye makampuni,mashamba na viwanda vya wahindi na wazungu.Wazungu waliipa kenya uhuru wa ikulu lakjini uchumi uko bado mikononi mwao.

Tanzania exports hizo uzionazo ni za waswahili kabisa wazawa wa Tanzania.Pesa imeingia kwa watanzania na si kwa wazungu au wahindi walioko India,uingereza au kanada kama ilivyo kenya.

Unaongea kuhusu Tanzania nyingine ama ni ile tunaijua sote, wacha ubwe.ge, kwanza jambo kubwa linaloifanya Tanzania ibaki nyuma kiuchumi ni kwa ajili raslimali zake zinaliwa na wageni zaidi ya wazawa. Hebu fanya utafiti kidogo tu kwa mfano nchi zinazofahamika ku-export Tanzanite ambayo inatoka Tanzania. Utashangaa sana kuwa Tanzania haitajwi wakati ndio yenyewe.
Unatia huruma aisei. Fuatilia huu mjadala https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...the-fourth-largest-exporter-of-tanzanite.html
 
Unaongea kuhusu Tanzania nyingine ama ni ile tunaijua sote, wacha ubwe.ge, kwanza jambo kubwa linaloifanya Tanzania ibaki nyuma kiuchumi ni kwa ajili raslimali zake zinaliwa na wageni zaidi ya wazawa. Hebu fanya utafiti kidogo tu kwa mfano nchi zinazofahamika ku-export Tanzanite ambayo inatoka Tanzania. Utashangaa sana kuwa Tanzania haitajwi wakati ndio yenyewe.
Unatia huruma aisei. Fuatilia huu mjadala https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...the-fourth-largest-exporter-of-tanzanite.html

Hizo nchi zote unazozitaja kuwa zinaongoza kuuza zinanunua Tanzanite kwa watanzania kwa bei mbaya mbali na mfumo rasmi wa kibiashara.Hela ya mauzo inaingia moja kwa moja kwenye mfuko wa mtu binafsi bila kodi wala nini.Zikifika kwenye hizo nchi wanaingiza kwenye mfumo rasmi.nenda arusha,moshi n.k kakutane na wafanyabiashara waswahili wa tanzanite uone walivyo matajiri wanamiliki hadi ndege

Hizo ni official data za kwenye makaratasi ya wazungu biashara ya tanzanite ni kubwa kuliko hiyo official data.Nyingi zinauzwa kinyemela ila hakuna mtanzania anayedhulumika kwa biashara hiyo ya kinyemela.Serikali inakuwa haifaidiki moja kwa moja na biashara hiyo kwa watu wanakwepa kodi lakini si tatizo kubwa kwani anayeingiza hela ni mtanzania na anafaidi mtanzania.Swala la data zipo au hazipo au kidogo siyo kitu kikubwa ili mradi watu wetu wanapata hela iwe kwa kuuza kwa mfumo halali au wa njia za panya.

Hizo data za wazungu zisikusumbue.Watanzania wanaingiza hela nyingi sana kwenye hiyo biashara ila haziwekwi kwenye hivyo vikaratasi na viwebsite na vi-kompyuta vya maruhuni wazungu.
 
Hizo nchi zote unazozitaja kuwa zinaongoza kuuza zinanunua Tanzanite kwa watanzania kwa bei mbaya mbali na mfumo rasmi wa kibiashara.Hela ya mauzo inaingia moja kwa moja kwenye mfuko wa mtu binafsi bila kodi wala nini.Zikifika kwenye hizo nchi wanaingiza kwenye mfumo rasmi.nenda arusha,moshi n.k kakutane na wafanyabiashara waswahili wa tanzanite uone walivyo matajiri wanamiliki hadi ndege

Hizo ni official data za kwenye makaratasi ya wazungu biashara ya tanzanite ni kubwa kuliko hiyo official data.Nyingi zinauzwa kinyemela ila hakuna mtanzania anayedhulumika kwa biashara hiyo ya kinyemela.Serikali inakuwa haifaidiki moja kwa moja na biashara hiyo kwa watu wanakwepa kodi lakini si tatizo kubwa kwani anayeingiza hela ni mtanzania na anafaidi mtanzania.Swala la data zipo au hazipo au kidogo siyo kitu kikubwa ili mradi watu wetu wanapata hela iwe kwa kuuza kwa mfumo halali au wa njia za panya.

Hizo data za wazungu zisikusumbue.Watanzania wanaingiza hela nyingi sana kwenye hiyo biashara ila haziwekwi kwenye hivyo vikaratasi na viwebsite na vi-kompyuta vya maruhuni wazungu.

Hizo ni hadithi za vijiweni, ungekua na habari jinsi hiyo nchi inavyotafunwa na wageni ungeaibika na kujificha chini ya kitanda.
Mwalimu Nyerere alikua na nia nzuri kuzuia madini kipindi kile ili Watanzania wa kesho wenye elimu waje kunufaika, sasa eti ndio ninyi, nchi imejaa umaskini, kwanza ukienda sehemu zenye madini watu wakazi wanaishi maisha magumu sana.

364274525.JPG
 
Baba Kiki
Wewe ni punju kweli, aisei unatia huruma, halafu inawezekana upo na cheo fulani muhimu Tanzania pamoja na jinsi ulivyo kilaza, ndio maana nchi inabaki nyuma wakati wote. Nilicho post hapo ni actual data, hilo neno "Forecast" ni link uki-click inakupa "Forecast" ya nchi husika. Jifunze kudadavua data za TRADING ECONOMICS | 300.000 INDICATORS FROM 196 COUNTRIES



Hizi hapa data zote mbili

Actual Data
kenya-gdp.png



Forecast
kenya-gdp-forecast.png


Wewe ndio pongo kweli kweli. Unachoonesha hapa ni nini hasa? Hizo data zinaanzia miaka ya 1940s? Au hujui msingi wa hoja yangu ni nini? Halafu mimi sina cheo chochote,na niko kimyume sana na uongozi uliopo madarakani, lakini nakuhakikishia TanzaNIA sio ya viongozi pekee. Mimi ni mkulima tu wa mahindi yanayokufanya wewe na nyang'au wenzio mwende choo. Unaposema mimi ni mvivu wakati mchana kutwa niko shamba nalima ili wewe na wenzio msife njaa, sikuelewi!!!

Kutokana na data ulizoziweka mwenyewe hapo, summary fupi kabisa ya baadhi ya viashiria vya hali ya uchumi ni hii:

[TABLE="width: 643"]
[TR]
[TD] [/TD]
[TD]GDP (usd)[/TD]
[TD]Annual Growth Rate[/TD]
[TD]Unemployment Rate[/TD]
[TD]Inflation[/TD]
[TD]Population Below Poverty Line[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]KENYA[/TD]
[TD]55[/TD]
[TD]5.50%[/TD]
[TD]40%[/TD]
[TD]5.60%[/TD]
[TD]43.40%[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TANZANIA[/TD]
[TD]33[/TD]
[TD]6.80%[/TD]
[TD]10.70%[/TD]
[TD]4,2%[/TD]
[TD]36%[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


Hapa ni nani anayeendelea kwa kasi zaidi? Labda kwa lugha rahisi thibitisha kwamba Kenya inaendelea kwa kasi kutokana na uhodari wakati Tanzania inabaki nyuma kutokana na uvivu.
 
Wewe ndio pongo kweli kweli. Unachoonesha hapa ni nini hasa? Hizo data zinaanzia miaka ya 1940s? Au huji msingi wa hoja yangu ni nini? Halafu mimi sina cheo chochote, ni mkulima tu wa mahindi yanayokufanya wewe na nyang'au wenzio mwende choo.

Kutokana na data ulizoziweka mwenyewe hapo, summary fupi kabisa ya baadhi ya viashiria vya hali ya uchumi ni hii:

GDP Ukuaji wa uchumi Unemployment Rate Inflation Rate Population Below Poverty Line
Kenya 55 5.5% 40% 5.6 43.4%
Tanzania 33 6.8% 10.7% 4.2 36%


Hapa ni nani anayeendelea kwa kasi zaidi? Labda kwa lugha rahisi thibitisha kwamba Kenya inaendelea kwa kasi kutokana na uhodari wakati Tanzania inabaki nyuma kutokana na uvivu.

Mimi nimeweka data kuanzia mahali sote tulikua karibu sawa, yaani hapakua na tofauti kubwa ya GDP, na sio miaka ya mbali. Hivyo uache uwongo eti wazungu ndio walisaidia uchumi wetu wakati tumeanza kuwaacha majuzi tu.

Halafu hilo la un-employement na mengine inafamika Kenya ni kainchi kadogo kenye ukame, hivyo hatuna ardhi kubwa ya kuwaandika kazi vijana wetu. Ukiangalia data zenu asilimia zaidi ya 80% wameandikwa kazi kutokana na ukulima maana ardhi yenu ni kubwa na yenye rotuba. Mungekua na bidii, hiyo ardhi ingewanufaisha pakubwa.
 
Hizo ni hadithi za vijiweni, ungekua na habari jinsi hiyo nchi inavyotafunwa na wageni ungeaibika na kujificha chini ya kitanda.
Mwalimu Nyerere alikua na nia nzuri kuzuia madini kipindi kile ili Watanzania wa kesho wenye elimu waje kunufaika, sasa eti ndio ninyi, nchi imejaa umaskini, kwanza ukienda sehemu zenye madini watu wakazi wanaishi maisha magumu sana.

364274525.JPG

Kwa hiyo unatumia katuni kuwa ndio source ya hoja zako? Japo ni kweli bado hatufaidiki sana na malighafi tulizonazo lkn ni kweli kuwa Kenya ni mfano mzuri kwetu? Kenya? Labda kwa wasioijua. Kenya hali ni mbaya sana na hicho unachokiita maendeleo ni ya wazungu na wahindi tu tena tangu ukoloni wakati nchi yetu ilipokuwa inabemendwa na Waingereza.

Sasa hivi tulishaamka tunakuja kwa kasi ndio mnazidisha inda ili kutuvunja moyo. Mshindwe na mlegee
 
Kwa hiyo unatumia katuni kuwa ndio source ya hoja zako? Japo ni kweli bado hatufaidiki sana na malighafi tulizonazo lkn ni kweli kuwa Kenya ni mfano mzuri kwetu? Kenya? Labda kwa wasioijua. Kenya hali ni mbaya sana na hicho unachokiita maendeleo ni ya wazungu na wahindi tu tena tangu ukoloni wakati nchi yetu ilipokuwa inabemendwa na Waingereza.

Sasa hivi tulishaamka tunakuja kwa kasi ndio mnazidisha inda ili kutuvunja moyo. Mshindwe na mlegee

Hiyo katuni imechorwa huko na Mtanzania, nilitaka tu ikupe taarifa in a thousand way.
Hivi unaposema Wazungu ndio wanatulea sisi Wakenya, unafahamu budget yenu asilimia 40% inategemea misaada ya hao Wazungu wakati sisi ni asilimia 15% tu na sisi huwa tunafanya budget bila kuwategemea hao. Ninyi juzi tu mzungu alitishia kubonyeza mukakurupuka. Jameni mjitume Wabongo, muamuke.
 
Back
Top Bottom