World Bank : Kenya, Zimbabwe, Zambia zaongoza kwa umasikini duniani

Wewe si umesema ni habari ya kupika na haipo kwenye hii blog yenu? Au sio wewe?
 
Jamaa ni wazembe wa kusoma[emoji1787][emoji1787]
Aliyeandika ripoti ana wivu kinyama
 
Jamaa ni wazembe wa kusoma[emoji1787][emoji1787]
Aliyeandika ripoti ana wivu kinyama
Wewe si ulisema pamoja na madeni yote mliyonayo na curfews na lockdown bado mpo gado? Sasa mbona mpo masikini kuliko hata Burundi?
 
Brian Casey alisomea Kenyatta Uni., namjua vizuri sana [emoji1787][emoji23][emoji23][emoji28], ali copypaste the fake news bila kudhibitisha[emoji23][emoji1787][emoji1787], tweeter handle yake ni @thee_case
Nimewashika kila kona.,
 
Brian Casey alisomea Kenyatta Uni., namjua vizuri sana [emoji1787][emoji23][emoji23][emoji28], ali copypaste the fake news bila kudhibitisha[emoji23][emoji1787][emoji1787], tweeter handle yake ni @thee_case
Nimewashika kila kona.,
Kwani yeye ana uhusiano gani na mambo ya WB?

Yeye ndio ataitoa Kenya kwenye umasikini tatu Bomba ulimwenguni?
 
Hii sio report yenyewe, hii PDF ni preliminary tu ya mzigo mzima

View attachment 1689276
Unajua a complete research report wewe?with credible sources, facilitators, contributing scholars, etc., Wacha uzembe chambua report., [emoji1787][emoji23][emoji23], Unaumia kuona nimewaumbua[emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji23]
 
Kwani yeye ana uhusiano gani na mambo ya WB?

Yeye ndio ataitoa Kenya kwenye umasikini tatu Bomba ulimwenguni?
The guy who picked news uchwara from a possibly Tanzanian propagandist and posted at kenyans.co.ke, without taking due diligence to verify; meza wembe[emoji28][emoji1787] Hadi raha leo...
 
Unajua a complete research report wewe?with credible sources, facilitators, contributing scholars, etc., Wacha uzembe chambua report., [emoji1787][emoji23][emoji23], Unaumia kuona nimewaumbua[emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji23]
Utagombana na wangapi sasa?

Mara ya kwanza ulisema watanzania tume fake habari kwenye viblog uchwara

Mara hiyo habari haipo Kenyans.co.ke saivi umekuja na mambo ya classmate

Pumzika, kuingia tatu Bomba sio lelemama
 
The guy who picked news uchwara from a possibly Tanzanian propagandist and posted at kenyans.co.ke, without taking due diligence to verify; meza wembe[emoji28][emoji1787] Hadi raha leo...
Kwani aliemuacknowledge mwenzake ni nani kati ya hizo blogs mbili?

Tatu Bomba inakudrive crazy aisee
 
Wewe si ulisema pamoja na madeni yote mliyonayo na curfews na lockdown bado mpo gado? Sasa mbona mpo masikini kuliko hata Burundi?
Siku hizi watz mnapika data kw kusingizia data za world bank[emoji1787][emoji1787]
Yani mnafikiria sisi mkiandika blog alafu mseme according to world bank tunakubali wala hatusomi kiundani zaidi..

Wavivu ni nyie msiopenda kujituma
 
The guy who picked news uchwara from a possibly Tanzanian propagandist and posted at kenyans.co.ke, without taking due diligence to verify; meza wembe[emoji28][emoji1787] Hadi raha leo...
Wanasema sisi tunapika data hku kw upande wetu, ila tatizo wao wanajaribu kupika tatizo aliyepika hajui kudanganya[emoji1787][emoji1787]
 
Siku hizi watz mnapika data kw kusingizia data za world bank[emoji1787][emoji1787]
Yani mnafikiria sisi mkiandika blog alafu mseme according to world bank tunakubali wala hatusomi kiundani zaidi..

Wavivu ni nyie msiopenda kujituma
Ninyi mnajituma kufa njaa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…