Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Hii inakuwaje Wazee, Kenya wanatuzidi thamani ya sarafu yao iweje leo hii wawe masikini kuliko sisi ??.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mada ilishaonyeshwa ya uongo.Hii inakuwaje Wazee, Kenya wanatuzidi thamani ya sarafu yao iweje leo hii wawe masikini kuliko sisi ??.
Na hiyo nayo imetolewa na World Bank, Sasa tuiamini ipi na tuiache ipi??.Mada ilishaonyeshwa ya uongo.
Tuonyeshe mahali WB walitoa hiyo ripoti. Mimi naweza kukuonyesha ripoti ya WB inayosema Tanzania ndiyo nchi ya tatu kwa ufukara hapa AfricaNa hiyo nayo imetolewa na World Bank, Sasa tuiamini ipi na tuiache ipi??.
Hiyo thread ipo humu humu JF,ndo Ina hiyo Ripoti ya World Bank.Tuonyeshe mahali WB walitoa hiyo ripoti. Mimi naweza kukuonyesha ripoti ya WB inayosema Tanzania ndiyo nchi ya tatu kwa ufukara hapa Africa
Hiyo ripoti ni kutoka blog fulani na wao ndiyo wanajua Mahali walitoa ripoti yenyewe. Hakuna mahali WB wamechapisha ripoti kama hiyo ndiyo maana nikakuambia kama unajua ripoti kama hiyo ya WB ambayo wamechapisha wao wenyewe utuonyeshe. Mimi on the other hand, naweza kukuonyesha ripoti ya WB inayotaja Tanzania kama nchi ya tatu kwa ufukara barani Africa.Hiyo thread ipo humu humu JF,ndo Ina hiyo Ripoti ya World Bank.
Wacheni kujifariji na blogs uchwara. Ripoti ya WB kuhusu ufukara Africa ilitolewa mwaka jana na ndiyo hii hapa mnaposhikilia tatu boraKenya tena? Mbonahata hela yao ipo juu kuliko madafu yetu haya?
Kenya tena? Mbonahata hela yao ipo juu kuliko madafu yetu haya?
It is just a HistoryHatari sana, Kenya is the Economic giant of EA. what happens?!! [emoji1787]
Mk 0 toka kwenye kichuguu uje huku[emoji1][emoji1]View attachment 1914175View attachment 1914176View attachment 1914178
Alieanzisha mada alinukuu blogsite na akasema hio blogsite wametoa kwa ripoti ya WB, Lakini ripoti yenyewe ya WB haisemi hivyo... Kwahivyo blogsite ilidanganya ... Kumbuka blogsite ni tovuti ambayo mtu yeyote anaweza kuanzisha ikiwemo mimi na wewe.Na hiyo nayo imetolewa na World Bank, Sasa tuiamini ipi na tuiache ipi??.
Hawa nakuambia itakua unapigia mbuzi guitar, ata kuingia website ya world bank kudhibitisha ni vigumu, ama wanajitia hamnazo ili tu wajiliwaze.., Tanzania ni nchi kubwa nzuri, lakini system ni hovyo, matunda yake ni ufukara ulio tapakaa kote kote!Alieanzisha mada alinukuu blogsite na akasema hio blogsite wametoa kwa ripoti ya WB, Lakini ripoti yenyewe ya WB haisemi hivyo... Kwahivyo blogsite ilidanganya ... Kumbuka blogsite ni tovuti ambayo mtu yeyote anaweza kuanzisha ikiwemo mimi na wewe.
Was not IsHatari sana, Kenya is the Economic giant of EA. what happens?!! 🤣
Sawa, ngoja tuendelee kujifukizaAlieanzisha mada alinukuu blogsite na akasema hio blogsite wametoa kwa ripoti ya WB, Lakini ripoti yenyewe ya WB haisemi hivyo... Kwahivyo blogsite ilidanganya ... Kumbuka blogsite ni tovuti ambayo mtu yeyote anaweza kuanzisha ikiwemo mimi na wewe.
Haya,mi niko hapa chini ya mnazi nasubiri korosho za kuangushwa na popoSawa, ngoja tuendelee kujifukiza
Kha!,kha!,haya bhana.Haya,mi niko hapa chini ya mnazi nasubiri korosho za kuangushwa na popo