World Bank: Mwaka 2012 kulikuwa na Watanzania masikini milioni 12; hadi kufikia mwaka 2018 waliongezeka masikini milioni 2!

World Bank: Mwaka 2012 kulikuwa na Watanzania masikini milioni 12; hadi kufikia mwaka 2018 waliongezeka masikini milioni 2!

kati ya 2007 na 2012 population iliongezeka sana tu but JK alipunguza idadi ya masikini kwa 1M.
huyu mwingine (mrithi wake) kaja katuongezea masikini 2M!

October tunataka kiongozi anayepunguza umasikini siyo anayeongeza!!
Mbona Tanzania haikuingia kwenye uchumi wa kati kama kweli alipunguza kwa asilimia kubwa
 
Mbona Tanzania haikuingia kwenye uchumi wa kati kama kweli alipunguza kwa asilimia kubwa
kama ulikuwa hujui sikiza nikupe data.

katika kufikia uchumi wa kati, michango ya marais 3 kuanzia awamu ya 3 ni kama ifuatavyo:

JK ameshika usukani kwa kuchangia $480B.
Mkapa kafuatia kwa mbali na $330B.
JPM kashika mkia kachangia $100B tu.

in fact, kwa trend aliyokuwa anakwenda nayo JK tungekuwa tayari tumeingia uchumi wa kati tangu 2016-2017.
 
Mkuu unaweza kuwataja kwa majina hao walioongezeka??
Mimi wa kwannza.
Lukuvi (Mungu amlaani yeye na aliyemtuma) kanivunjia nyumba yangu Kibamba,na mimi nilikuwa namiliki kiduka pale.
Vyote vimekwenda, hivi sasa sina nyumba na najiegesha nyumba za kusaidiwa na msamaria,
Maisha ni mbio kama Chita katika mawindo kutafuta mlo wa siku
 
Unaujua mlipuko wa ongezeko la watu Tanzania? Bila kuingiza hilo takwimu,hizo takwimu ni hazina maana, kwa kifupi kulikuwa na watu wangapi TZ 2012 vs 2020?
Kwa hiyo awamu ya nne kulikua hamna mlipuko wa watu?!
 
2012 hadi 2018 wamezaliwa watu mil ngapi pia? Population sio static.. Hao waliozaliwa masikini ni wengi sana tu, hivyo idadi ya masikini itaongezeka zaidi sbb wengi wamezaliwa na ni masikini.

Hivyo isijengeke dhana kuwa serikali ya CCM ndio imeongeza idadi ya watu kuwa masikini, sababu kubwa 99% ni population growth 2012 - 2018 automatically inafanya idadi ya watu masikini kuongezeka, hiyo 2mil ya watu masikini kuongezeka sbb kubwa 99% ni population growth.

Ni wapi ulijifunza kwamba watu wakiongezeka umasikini unaongezeka? Inawezekana ccm ikawa ni tanuli la kupunguza akili za watu
 
Huyu alitakiwa aendelee kuongoza ng'ombe machungani, sio kuongoza Taifa!

Sijui mkosi gani ulitupata! Ameharibu sana nchi hii
Huku Mwinyi anasema aongezewe muda kama ahsante.
 

Attachments

  • 7C7CB07E-34D0-4C0E-A286-9C3EA0EC36D3.jpeg
    7C7CB07E-34D0-4C0E-A286-9C3EA0EC36D3.jpeg
    51.6 KB · Views: 1
Uchumi wa kati upo hapo chato sogeni sogeeni wakuu

Ukweli ni kwamba huu ati UCHUMI WA KATI uko labda kwa Magufuli na Wana CCM wenzake!
Mwalimu Nyerere alipenda kusema: UCHUMI WA NJI LAZIMA UAKISI(reflect) maisha ya Wananchi na si Vinginevo.....!!!!
Huu Uchumi wa kupika(cooked data) kwenye Makabrasha ni uhuni mtupu!
 
Kwanza umecheck takwimu zilivyo, kwamba JK alikua amepunguza umaskini pakubwa, mkaja nyie na mikwara na makelele yenu na kuzalisha maskini wengi.
Kadri miaka inavyosonga masikini na matajiri wote lazima waongezeke tu.Hapo kikubwa ni kupunguza asilimia ya wanaoishi kwenye lindi la umasikini.Kwamba masikini waongezeke sawa ila watu wa vipato vya kati na vya juu waongezeke kwa rate ya kubwa kuliko masikini.Hapo hata masikini wakiongezeka ila rate(%) ya umasikini kwa nchi itapungua maana watamezwa na ongezeko la watu wa vipato vya kati na vya juu.Mimi naamini japo masikini wanaongezeka ila asilimia ya wanaoishi kwenye umasikini inazidi kupungua.Wengine wanaweza wasinielewe ila naamini kwa upeo wako umenielewa hapo.
Halafu nikome mimi sio mtu wa serikalini.Nipo sekta binafsi kabisa,kwenye mambo yetu yale😎.
 
Huyu mzee mwinyi ni dhaifu toka zamani, na bila Mwalimu kuwa hai kipindi kile angejiongezea muda atawale hadi afie ikulu!

Tuliokuwepo wakati wa utawala wake tunakumbuka alivyobomoa misingi ya taifa hili kwa udogo wa akili yake

Huyu Mzee Mwinyi kanikera sana Leo na anaseeka vibaya !!! Nasikia alikuwa Mwalimu wa shule za msingi(NGUMBARU) kabla hajawa Mbunge na ndo maana ana low IQ....!!!
Kuongeza muda wa Asante miaka 5 Ni KUVUNJA KATIBA YETU....Pambaf kabisa! Sijui kwa vile mwanae Hussein kateuliwa na Jiwe kuwa mgombea wa Urahisi huko Zenj?
 
Kadri miaka inavyosonga masikini na matajiri wote lazima waongezeke tu.Hapo kikubwa ni kupunguza asilimia ya wanaoishi kwenye lindi la umasikini.Kwamba masikini waongezeke sawa ila watu wa vipato vya kati na vya juu waongezeke kwa rate ya kubwa kuliko masikini.Hapo hata masikini wakiongezeka ila rate(%) ya umasikini kwa nchi itapungua maana watamezwa na ongezeko la watu wa vipato vya kati na vya juu.Mimi naamini japo masikini wanaongezeka ila asilimia ya wanaoishi kwenye umasikini inazidi kupungua.Wengine wanaweza wasinielewe ila naamini kwa upeo wako umenielewa hapo.
Halafu nikome mimi sio mtu wa serikalini.Nipo sekta binafsi kabisa,kwenye mambo yetu yale😎.

Kun hayo mahesabu mnatumia nguvu nyingi kukwepa...hehehe...ina maana wakati wa JK watu hawakua wanaongezeka, chukua calculator udadavue hayo mahesabu utamuelewa mleta mada, au labda unakwepa kimaksudi.
Haya bwana...
 
Ukweli ni kwamba huu ati UCHUMI WA KATI uko labda kwa Magufuli na Wana CCM wenzake!
Mwalimu Nyerere alipenda kusema: UCHUMI WA NJI LAZIMA UAKISI(reflect) maisha ya Wananchi na si Vinginevo.....!!!!
Huu Uchumi wa kupika(cooked data) kwenye Makabrasha ni uhuni mtupu!
Haya yote wale mbwa wa uvccm hawajui na hawawezi kuwa na fikra km hizi maana kwao vyeo kwanza taifa baadae
 
Huu si uzushi wa Mwalimu M-Mbabe, la hasha. Ni taarifa rasmi kutoka World Bank.

Awamu ya 4 ilipunguza idadi ya masikini kutoka milioni 13 mwaka 2007 na kufikia milioni 12 mwaka 2012.

Chini ya awamu ya 5, idadi ya masikini ili shoot kwa milioni 2 ndani ya miaka 3 tu ya uongozi wake. Tafsiri ni kwamba awamu ya 5 imekuwa ikizalisha Watanzania masikini badala ya kupunguza ambayo ni kinyume kabisa na trend ambayo awamu ya 4 ilikuwa inaenda nayo.

Kwa hiyo ni dhahiri kuwa kama nchi chini ya awamu hii ni kama tunatwanga maji kwenye kinu.

Watanzania tunapaswa kufanya maamuzi yenye tija October mwaka huu.

Tanzania - Mainland Poverty Assessment 2019 : Part 1 : Path to Poverty Reduction and Pro-Poor Growth
This report provides a comprehensive analysis of poverty and inequality in Tanzania and identifies some priority actions if poverty is to be reduced. The analysis is contained in two parts.

The first part is based on the results of the Household Budget Surveys (HBSs) for 2017-18, 2007, and 2011-12; several rounds of National Panel Surveys (NPSs); and Demographic Health Survey (DHS) data; it also combines spatial information from the population census and other sources with HBS data to (1) provide a rigorous analysis of the evolution, profile, and determinants of poverty and inequality; (2) explore movements in and out of poverty and their drivers; and (3) examine the distribution of poverty and living conditions across the country at a detailed geographic level.

The second part examines the pattern of structural transformation, firm profiles, job creation, and financial inclusion using the rebased GDP figures released in February 2019 plus data from the Statistical Business Register (SBR), Census of Industrial Production (CIP), national accounts, NPS, Integrated Labor Force Surveys (ILFS), and other sources. Executive summary can be found here 431111575939381087/executive-summary

View attachment 1503509

View attachment 1503630View attachment 1503631
Uchumi wa cut
 
In addition the @WorldBank report finds alarming poverty vulnerability level in Tz. For every FOUR people who move out of poverty in 2018 THREE returned to poverty in 2019.

In Tanzania, between 2012 and 2018 (latest data available) 2 million more people were living in poverty per World Bank
2012: 12m in poverty
2018: 14m in poverty
Hebu tusaidiane: tunajivunia nini?
 
Back
Top Bottom