World Bank Report: Transforming Agriculture | Realizing the Potential of Agriculture for Inclusive Growth and Poverty Reduction

World Bank Report: Transforming Agriculture | Realizing the Potential of Agriculture for Inclusive Growth and Poverty Reduction

Benki ya Dunia inazindua sasisho la 13 la Uchumi wa Tanzania lenye jina la 'Mabadiliko katika Kilimo: Kutambua Uwezo wa Kilimo kwa Ukuaji wa Pamoja na Kupunguza Umasikini,' linalotoa udharura katika kuunga mkono sera za umma na kusaidia Umati wa Watu katika uwekezaji wa sekta binafsi na kuchukua fursa ya mabadiliko ya sekta ya Kilimo yanayoendele

Hafla hiyo inaendeshwa na Bi. Bella Bird, Mkurugenzi wa Benki ya Dunia ya Benki ya Dunia kwa Tanzania, Malawi, Zambia na Zimbabwe, na kusimamiwa na Mhe. Japhet Hasunga, Waziri wa Kilimo



****

The World Bank launch the 13th Tanzania Economic Update titled, Transforming Agriculture: Realizing the Potential of Agriculture for Inclusive Growth and Poverty Reduction,’ which makes the case for urgent supportive public policies and spending to help crowd in private sector investment and take advantage of the sector’s transformation which is currently underway.

The event will be hosted by Ms Bella Bird, World Bank Country Director for Tanzania, Malawi, Zambia and Zimbabwe, and will be graced by Hon. Japhet Hasunga, Minister of Agriculture.
The Agriculture sector provides livelihoods directly to around 55 percent of the population (and three quarters of the poor) and indirectly to a further 15 percent within related value chain functions such as traders, transporters and processors.

The Tanzanian government recognizes the centrality of Agriculture to realizing its objectives of socioeconomic development, which are well-articulated in the Second Agriculture Sector Development Program (ASDP II).

Kwani huyo Mzungu k
Benki ya Dunia inazindua sasisho la 13 la Uchumi wa Tanzania lenye jina la 'Mabadiliko katika Kilimo: Kutambua Uwezo wa Kilimo kwa Ukuaji wa Pamoja na Kupunguza Umasikini,' linalotoa udharura katika kuunga mkono sera za umma na kusaidia Umati wa Watu katika uwekezaji wa sekta binafsi na kuchukua fursa ya mabadiliko ya sekta ya Kilimo yanayoendele

Hafla hiyo inaendeshwa na Bi. Bella Bird, Mkurugenzi wa Benki ya Dunia ya Benki ya Dunia kwa Tanzania, Malawi, Zambia na Zimbabwe, na kusimamiwa na Mhe. Japhet Hasunga, Waziri wa Kilimo



****

The World Bank launch the 13th Tanzania Economic Update titled, Transforming Agriculture: Realizing the Potential of Agriculture for Inclusive Growth and Poverty Reduction,’ which makes the case for urgent supportive public policies and spending to help crowd in private sector investment and take advantage of the sector’s transformation which is currently underway.

The event will be hosted by Ms Bella Bird, World Bank Country Director for Tanzania, Malawi, Zambia and Zimbabwe, and will be graced by Hon. Japhet Hasunga, Minister of Agriculture.
The Agriculture sector provides livelihoods directly to around 55 percent of the population (and three quarters of the poor) and indirectly to a further 15 percent within related value chain functions such as traders, transporters and processors.

The Tanzanian government recognizes the centrality of Agriculture to realizing its objectives of socioeconomic development, which are well-articulated in the Second Agriculture Sector Development Program (ASDP II).

Kwani huyo Mzungu kasemaje kuhusu SGR, Flyover na Stiglers ??
 
David Ndii: The Standard Gauge Railway (SGR) Does Not Make Any Sense
The Big Question : was the SGR really necessary? What is its value addition to the country's overall economic well-being? Africa Uncensored's John-Allan Namu sat down with a fierce critic of the SGR project, economist David Ndii, to get his views on the matter in this collaboration with The Elephant.


The first phase of the SGR, which connects the port city of Mombasa to the capital, Nairobi, and covers 472 kilometres, cost a whopping Kshs 327 billion at a rate of Kshs 560 million per kilometre. It is set to be extended to the Rift Valley town of Naivasha for a further Kshs 150 billion in the first part of the second phase of the SGR. The second part of the second phase, set to take the China-financed railway line to the shores of Lake Victoria, will cost Kshs 380 billion.

With this in mind


Source: Africa Uncensored
 
WASHINGTON, September 16, 2019 – Developing countries need to dramatically increase agricultural innovation and the use of technology by farmers, to eliminate poverty, meet the rising demand for food, and cope with the adverse effects of climate change, says a new World Bank report released today.

The relative stagnation in agricultural productivity in recent decades, particularly in South Asia and Africa where the vast majority of the poor live, underscores the need for new ideas to improve rural livelihoods. Renewed investment to increase new knowledge and ensure its adoption can help harness the large potential gains to be made in agricultural productivity and, hence, income, says the Harvesting Prosperity: Technology and Productivity Growth in Agriculture report.

It notes that nearly 80 percent of the world’s extreme poor live in rural areas, with most relying on farming for their livelihood. Poverty reduction efforts, thus, need an intensive focus on raising agricultural productivity, which has the largest impact of any sector on poverty reduction, roughly twice that of manufacturing.

“Boosting productivity in the agriculture sector can lead to more and better jobs while enabling more people to move off-farm to cities to pursue other opportunities. This requires comprehensive reform of domestic agricultural innovation systems, more effective public spending and the cultivation of inclusive agricultural value chains with an increased role for the private sector,” said World Bank Group Vice President for Equitable Growth, Finance and Institutions, Ceyla Pazarbasioglu. “New technologies are improving access to and costs of information, finance and insurance in all sectors, including agriculture. This can help raise the productivity of low skilled farmers, but only with the right incentives and capabilities to develop and scale these technologies,” she added.

The report examines the drivers and constraints to agricultural productivity and provides pragmatic policy advice. It notes that while in East Asia, crop yields have increased six-fold in the past four decades, contributing to the dramatic reduction in poverty in China and other East Asian countries, it has only doubled in Sub-Saharan Africa and parts of South Asia, with corresponding disappointing reductions in poverty.

In addition, climate change, together with a deteriorating natural resource base, will hit agriculture hard, impacting the poor and vulnerable, precisely in Africa and South Asia.

The key driver for increasing agricultural productivity and rising incomes is the adoption of innovative technologies and practices by farmers. This will enable farmers to raise yields, manage inputs more efficiently, adopt new crops and production systems, improve the quality of their products, conserve natural resources, and adapt to climate challenges.

However, the world is facing a widening research and development (R&D) spending gap, even as government funding for agriculture is reaching new heights. In developed countries, investment in agricultural R&D was equivalent to 3.25 percent of agricultural GDP in 2011, compared with 0.52 percent in developing counties. Among the latter group, Brazil and China invested relatively high amounts into agricultural R&D, while Africa and South Asia had the lowest spending relative to agricultural GDP. In fact, in half of African countries, R&D spending is actually declining.

Governments need to consider both public and private research and technology transfer in strengthening their overall innovation system. Repurposing the current public support for agriculture offers a significant opportunity to revitalize public agricultural research systems, invest in agricultural higher education, and create the enabling conditions to leverage private sector R&D. The private sector, in turn, can stimulate more rapid access to new technologies for farmers. In developed countries, private companies contribute about half the total R&D spending targeting the needs of farmers, and as much as one-quarter in large emerging economies, such as China, India, and Brazil. Policy tools to encourage more private R&D in agriculture include reducing restrictions on market participation, encouraging competition, removing onerous regulations, and strengthening intellectual property rights.

“Agriculture in Africa and South Asia faces an innovation paradox. While the economic returns to and growth effects of R&D and knowledge diffusion are documented to be very high, research spending is decreasing in critical areas of the world and local universities and think tanks are not keeping up. Policy makers in developing countries need to give careful attention to reversing these trends and improving the broader enabling environment to encourage private sector contribution as well,” said World Bank Chief Economist for Equitable Growth, Finance and Institutions, William Maloney, who is the lead author of the report.

While new communication technologies make improving access to information, finance and insurance more feasible than before, small farmers face major barriers to adopting the new technologies that such research efforts yield.

"Poor information about new technologies, absence of insurance and capital markets, high market transaction costs, land tenure insecurities and lack of transportation infrastructure are inhibiting adoption and diffusion of new technologies among farmers. Together with increased R&D spending, sustained efforts are needed to remove these barriers,” said World Bank Global Director for Agriculture and Food, Martien Van Nieuwkoop.

Harvesting Prosperity: Technology and Productivity in Agriculture is the fourth volume in the World Bank’s Productivity Project series, which examines the ‘productivity paradox’ of a persistent slowdown in productivity growth despite technological advancements. To access Harvesting Prosperity: Technology and Productivity in Agriculture report and related products: Agricultural Innovation & Technology Hold Key to Poverty Reduction in Developing Countries, says World Bank Report
 
Hii ni hatua nzuri Serkali ijikite zaidi kwenye kilimo
Hivi vi'one-liner' vitasaidia kitu gani?
Chukua muda na eleza kinagaubaga "serikali ijikite zaidi kwenye kilimo' vipi"?

Kwani sasa haikujikita kwenye kilimo?

Na hii umeiona kwenye maandishi hayo:

"The Report, notes that nearly 80% of the world's 'extreme poor' live in rural areas, with most relying on farming for their livelihood. Poverty reduction efforts, thus, need an intensive focus on raising 'AGRICULTURAL PRODUCTIVITY' which has the largest IMPACT of any sector on 'POVERTY REDUCTION, roughly twice that of 'MANUFACTURING'."


Jikite kwenye kueleza mawazo yako kwenye swala la kilimo, sote tukusome na kuchangia hayo uliyoyaweka, tukuunge mkono, au tukupinge. Hapo utakuwa umesaidia kuuimarisha mjadala makini kama huu, na pengine hata kuchangia kuuondoa umaskini wa waTanzania wenzetu wanaotegemea kilimo.

Ukiyaelewa maneno niliyokoleza hapo juu, ambayo ni ya watu waliokwishaona ushuhuda wa hayo yakitokea; basi nasi Tanzania tutakuwa tunaanza hatua mhimu za kujikwamua. Ujenzi wa Viwanda sawa; lakini tusisahau kilimo kuwa hadi sasa "ndio utii wa mgongo wa maendeleo yetu, Tanzania." Mwalimu Nyerere.

Watu hawachangii mada kama hizi, ambazo kwa kweli ndizo mhimu zaidi kuliko hizi siasa za kimabavu na kutafuta kutoana roho..

Ona, siku nzima, ni wachangiaji 47 tu, tukihesabu na hizi za akina mkuu'Kawe', ambazo haziongezi thamani yoyote mbali ya kujaza kurasa tu!
 
December 3, 2019

Mtaalamu : Uchumi wa mwananchi awamu ya 5, umepanda na upo bora zaidi kuliko kipindi chochote



Mtaalamu wa Mbobezi wa uchumi, masuala ya kibenki/ fedha, uchambuzi wa takwimu na Mkufunzi Bw. Omar Mahinya akielezea hali ya Tanzania kiuchumi kupaa kufuatia kuwa nchi sasa ina data za uhakika yaani statistics kuthibitisha hilo.

Omar Mahinya anakwenda mbele na kusema sasa kuna unafuu wa maisha. Ndiyo maana wananchi wameweza kuchangia kodi zaidi hivyo sifa ziende kwa wananchi kuchangia trilioni 1.7 kila mwezi TRA, ambayo ni rekodi haijawahi kufikiwa.

Anasema mtaalamu wa huyo ambaye pia ni mkufunzi aliyefanya kazi ktk taasisi kadhaa za kibenki ikiwemo Benki Kuu ya Tanzania - BOT kuwa ununuzi wa ndege kadhaa, ujenzi wa reli ya SGR, madaraja ya juu kwa juu, zahanati na hospitali zimejengwa, migodi ya madini inazidi kuchangia uchumi hivyo yote yamefanya alichokiita stand of living kwenda juu zaidi na kuleta unafuu wa maisha.

Mchumi Omar Mahinya amwaga sifa kede kede kwa Jakaya M. Kikwete kumuwekea mazingira mazuri yanayomwezesha Mh. John Pombe John Magufuli kuweza kutenda mambo yote makubwa ya miundo mbinu, elimu bure msingi mpaka sekondari, Bilioni 400 za mikopo kwa elimu ya juu, huduma za afya na yote hayo yameleta unafuu mkubwa kwa maisha ya mtanzania ktk kipindi hiki cha utawala wa awamu ya 5 mchumu huyo bobezi anamalizia uchambuzi wake.

Omar Mahinya ana ongeza sasa kazi kwetu vijana baada ya huduma zote hizi za kijamii na elimu buree, tujikite ktk kujiajiri maana elimu tumepewa sasa ni kujifungulia viwanda au kujiingiza ktk kilimo bora, uvuvi, ufugaji n.k kujiari ili kutumia elimu yetu kujiletea maendeleo, serikali imefanya majukumu yake sasa nasi tujitume kwa kujiari wenyewe.


Source: DARMPYA TV
 
Hapa ndipo serikali ya awamu ya tano imefeli kabisa maana haina sera ya kilimo. Awamu ya Tano wameamua kutelekeza kilimo kinachojumuisha wanyonge wengi . Kwa miaka minne imekazania ma flyover, ndege, mradi wa SGR reli mpya ambao hata miaka 15 utakuwa haujaisha kwa kufuatana na ujenzi wake unavyoenda n.k

Kilimo kufuatana na barabara zilizojengwa hadi awamu ya Kikwete na awamu hii ingekarabati reli zote za mkoloni na ya TAZARA tu kisha fedha 'zetu za ndani' zinazojenga SGR RELI, ununuzi wa ndege kwa cash zingeelekezwa ktk sekta ya kilimo yaani kuboresha kilimo kiwe cha kisasa na kuwekeza ktk masoko na viwanda vya kusindika mazao ya kilimo, mifugo na uvuvi nchi hii ya Tanzania ingekuwa kiuchumi na kuwa donor country.

Sasa wananchi awamu hii kilimo, ufugaji na uvuvi watu wanaambiwa wafanye kazi wakati wapo na juhudi wanJibidisha (resilient ) bila kukata tamaa serikali imewapuuza kwa kutowekeza sera madhubuti ktk kilimo.
Mkuu bagamoyo, nninakubaliana sana na 'sentiments' zako ulizoweka hapa.

Mtu akisoma yaliyomo katika bandiko uliloweka hapa #45, inaonyesha ushahidi kamili kuhusu nafasi ya kilimo katika kuinua maisha ya wananchi wengi (wakulima wadogo wadogo) ambao ndio wengi wenye ufukara wa kutupwa huko wanakoishi vijijini.

Jambo ambalo Serikali inatakiwa kuwasaidia ni kufanikisha juhudi zao, kilimo kiwe na tija, wapate mazao mengi, masoko yawepo, ikiwa ni pamoja na hivi viwanda vya kusindika mazao yao, n.k.

Ushahidi upo, hata tusipoangalia kwenye kubwa zilizoendelea zaidi kwa kuwatumia wakulima wakubwa - China wanafanya, Brazil, wanafanya, Nchi nyingi Asia wanafanya. Kwa nini nasi tusipitie kwenye njia zile zile?

Serikali ya Magufuli ndio kabisaa, haina habari na kilimo. Akheri ya Kikwete alikazana sana na SAGOT yake huko kusini, na kwa kweli hata matokeo ya juhudi yalianza kuonekana, na hadi leo hii mahindi anayojivunia Magufuli kuuza nje, ni matokeo na mwendelezo wa juhudi hizo. Magufuli hajafanya lolote katika kilimo.

Ukiangalia kelele nyingi zilizoanza kupigwa kuhusu zao la pamba, hasa ukanda wa ziwa, Shinyanga, Mwanza, Mara na Simiyu, na mipango ya kufufua viwanda vya nguo, ytadhani kuwa kulitokea mtu siku moja akaota ndoto ile, alipotoka usingizini kasahau kila kitu!
 
Omar Mahinya ana ongeza sasa kazi kwetu vijana baada ya huduma zote hizi za kijamii na elimu buree, tujikite ktk kujiajiri maana elimu tumepewa sasa ni kujifungulia viwanda au kujiingiza ktk kilimo bora, uvuvi, ufugaji n.k kujiari ili kutumia elimu yetu kujiletea maendeleo, serikali imefanya majukumu yake sasa nasi tujitume kwa kujiari wenyewe.
Inapofikia hapa ndipo hao wanaojiita 'wataalam' wanajionyesha kuwa vioja.

Aeleze hawa vijana watajiajiri vipi, aeleweke. Na vijana wakishindwa kufuata aliyopendekeza yeye, basi watakuwa hawkwenda huko shule anakosema wamehitimu.
Huyu anatafuta 'uteuzi' kwa kelele nyingi!
 
Hii ni hatua nzuri Serkali ijikite zaidi kwenye kilimo
Baada ya miundo mbinu ni kilimo.
Wajinga walikuwa wanapiga kelele kuwa serikali haisaidi sekta ya kilimo; bila wao kujua bila miundo mbinu kilimo ni bure.
 
IS IT THE FIRST EVER "PROJECT" TO BE LAUNCHED IN TANZANIA? There were similar like HIPC, MKUKUTA, MKURABITA and name others. Where did they take us?

JUST MY RESERVATIONS THOUGH!
When did those mentioned launched?

Hivi baba yako ama kaka yako akifanya kitu akafeli utaacha na wewe kwa kisa waliokutangulia wamefeli?

Guys why can't you understand that things have changed!
 
siasa za kilimo za world bank hazinaga tofauti sana na za ccm, sehemu wanatofautiana sana ni kwenye lugha na majukwaa ya kisiasa.
Mimi huwa siwapendi kwa machapisho yao yenye maneno meeeengi, kiasi kwamba hayamsaidii anayelengwa na tafiti zao.
Badala ya kumsaidia yanamchanganya zaidi.
 
Mimi nafuga na pia ninalima, ila ni mwaka wa kumi sasa sijawahi kutembelewa na bwana mifugo ama bwana shamba ....au sijawahi kuona shamba darasa la umma ili sisi wakulima twende kujifunza...nauliza hivi hawa wataalam sijui bado wapo? kama wapo mbona hatuwaoni mashambani kwetu?

nikiwa mdogo sana miaka hiyo nilikuwa ninawaona kwenye mapikipiki yao wakipita mashambani kuwaelimisha wazazi wetu juu ya kilimo cha kisasa kwenye ile dhana ya Siasa ni Kilimo.

Bila kilimo cha kisasa, naapa Tanzania hii kamwe haichomoki kwenye dimbwi la umaskini.
Nakuaminia sana, .mkuu 'FUSO', hapa ndipo sisi Tanzania tunapopishana sana na wenzetu Kenya na Uganda.
Bahati mbaya kwa Kenya ni hiyo hali mbaya ya hewa, lakini wakulima wao wanahudumiwa kwa kuridhisha.
 
Hapa ndipo serikali ya awamu ya tano imefeli kabisa maana haina sera ya kilimo. Awamu ya Tano wameamua kutelekeza kilimo kinachojumuisha wanyonge wengi.

Kwa miaka minne imekazania ma flyover, ndege, mradi wa SGR (reli mpya) ambao hata miaka 15 utakuwa haujaisha kwa kufuatana na ujenzi wake unavyoenda n.k

Kilimo kufuatana na barabara zilizojengwa hadi awamu ya Kikwete na awamu hii ingekarabati reli zote za mkoloni na ya TAZARA tu kisha fedha 'zetu za ndani' zinazojenga SGR RELI, ununuzi wa ndege kwa cash zingeelekezwa ktk sekta ya kilimo yaani kuboresha kilimo kiwe cha kisasa na kuwekeza ktk masoko na viwanda vya kusindika mazao ya kilimo, mifugo na uvuvi nchi hii ya Tanzania ingekuwa kiuchumi na kuwa donor country.

Sasa wananchi awamu hii kilimo, ufugaji na uvuvi watu wanaambiwa wafanye kazi wakati wapo na juhudi wanJibidisha (resilient ) bila kukata tamaa serikali imewapuuza kwa kutowekeza sera madhubuti ktk kilimo.
Mkuu inaonekana Uko nyuma sana na hujui kinachoendelea kuhusu maendeleo.

1. Hiyo Reli ya SGR ina kwenda kwa kasi sana watu wanafanya Nazi usiku na mchana. Fuatilia ujirizishe.

2. Kuna kiwanda cha kusindika nyama kinajengwa mkoa wa Pwani ambacho kitakuwa kikubwa East na Central Afrika. Kinatarajiwa kufunguliwa mwezi ujao. Kiwanda hicho kitakuwa na uwezo wa kuchinga cow elfu 10 mbuzi na kondoo elfu 4500 kwa siku. Google ujiridhishe.

3. Reli za mkoloni zimeshafufulia in 2 days Treni inaanza kutoka Dar mpaka Moshi.

4. Ndege hizi mnazoziponda zina manufaa sana unless you don't travel hivyo huwezi kujua faida zake.

Nimalizie kwa kusema kama ndege SGR havina manufaa kwa kwa wengine ni msaada mkubwa.
 
David Ndii: The Standard Gauge Railway (SGR) Does Not Make Any Sense
The Big Question : was the SGR really necessary? What is its value addition to the country's overall economic well-being? Africa Uncensored's John-Allan Namu sat down with a fierce critic of the SGR project, economist David Ndii, to get his views on the matter in this collaboration with The Elephant.


The first phase of the SGR, which connects the port city of Mombasa to the capital, Nairobi, and covers 472 kilometres, cost a whopping Kshs 327 billion at a rate of Kshs 560 million per kilometre. It is set to be extended to the Rift Valley town of Naivasha for a further Kshs 150 billion in the first part of the second phase of the SGR. The second part of the second phase, set to take the China-financed railway line to the shores of Lake Victoria, will cost Kshs 380 billion.

With this in mind


Source: Africa Uncensored
Mkuu kuna hapo juu kawe Alumni alikuuliza kama umeelewa. Lakini nadhani ulidhani amekutusi so ndio
 
Nakuaminia sana, .mkuu 'FUSO', hapa ndipo sisi Tanzania tunapopishana sana na wenzetu Kenya na Uganda.
Bahati mbaya kwa Kenya ni hiyo hali mbaya ya hewa, lakini wakulima wao wanahudumiwa kwa kuridhisha.
Kenya ni nchi ya kibepari na walianza kilimo biashara muda mrefu uliopita , wakati sisi tulipitia kwenye mashamba yakijiji na changamoto zake za uongozi na kukosa motisha, na ukiongezea Bei kuwa controlled na serikali, lakini mabadiliko mbali mbali yameleta tija ktk uzalishaji , ingawa kuna madhara ya uvivu yalio letwa na mambo ya mashamba ya ujamaa, na rushwa kwa jumla, ambayo iliwavutia nguvu kazi wengi kuona kuwa hiyo ndio njia safi ya kuleta maendeleo ktk ngazi mbali mbali, hivyo mabadiliko ya sasa haya wezi kubadilisha hulka za watu wengi/wahusika wengi ndani ya masaa 24
 
Back
Top Bottom