World Bank: Tanzania ya 4 Afrika kwa nchi zenye madeni makubwa ya IDA

World Bank: Tanzania ya 4 Afrika kwa nchi zenye madeni makubwa ya IDA

WB waliwahi kuwaambia Serikali ihakikishe Fedha inazopewa ziende kwenye miradi kweli.
Watu wanaleta Dhiki zao humo humo.
 
Kwenye repoti ya fedha ya Benki ya Dunia inayoishia June 2024 inaitaja Tanzania kama nchi ya 4 kwa nchi zenye madeni makubwa ya IDA. IDA ni taasisi iliyo chini ya benki ya Dunia ila wao wanajikita kwenye nchi 75 masikini zaidi Duniani ikiwemo Tanzania. Mikopo ya IDA hua ni nafuu sana na inalipwa kwa muda mrefu zaidi kuliko mikopo ya benki ya Dunia.

Kwenye orodha hiyo ya nchi inayoongoza kwa Afrika ni Nigeria ikifuatiwa na Eithiopia, Kenya na kisha Tanzania imiwa inadaiwa Dola Bilioni 11.7 ama Trilioni 31.6.

Unaweza kusoma mwenyewe.
Nchi zilizotajwa ni nchi tajiri miongoni mwa mataifa ya Africa rich countries kutokana na kuwa na reserve ya mali asili chekwa.

Lakini wanaingia madeni ya kijinga jinga sababu kuu ikiwa ni ufisadi uliogeuzwa kuwa ni mila na desturi, wateule kula kwa urefu wa kamba zao.
 
Huyu bibi anatupeleka pabaya sana.Na Kwa Sasa ameanza kuwateka na kuwauwa wanaohoji mikopo yake ya hovyo ili yabaki mambumbumbu ambayo hayahoji.
 
Kwenye repoti ya fedha ya Benki ya Dunia inayoishia June 2024 inaitaja Tanzania kama nchi ya 4 kwa nchi zenye madeni makubwa ya IDA. IDA ni taasisi iliyo chini ya benki ya Dunia ila wao wanajikita kwenye nchi 75 masikini zaidi Duniani ikiwemo Tanzania. Mikopo ya IDA hua ni nafuu sana na inalipwa kwa muda mrefu zaidi kuliko mikopo ya benki ya Dunia.

Kwenye orodha hiyo ya nchi inayoongoza kwa Afrika ni Nigeria ikifuatiwa na Eithiopia, Kenya na kisha Tanzania imiwa inadaiwa Dola Bilioni 11.7 ama Trilioni 31.6.

Soma Pia: WB: Nchi 5 zinazokopa zaidi Mikopo ya riba nafuu kupitia dirisha la IDA. Tanzania ya 3

Unaweza kusoma mwenyewe.
Bado ni himilivu - in mvaa bendera voice
 
Back
Top Bottom