Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Deni Ni Himilivu Eti Ndiyo Tunakopesheka Haa CCM Wana Dharau SanaUtasikia lakini bado tunakopesheka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Deni Ni Himilivu Eti Ndiyo Tunakopesheka Haa CCM Wana Dharau SanaUtasikia lakini bado tunakopesheka
Mikopo ya IDA hua ni nafuu sana na inalipwa kwa muda mrefu zaidi
Hongereni matajiriMaskini hakopeshekiii....
Ukiona nchi inakopa jua ni tajiri na inauwezi wa kulipa hata kwa gharama ya wananchi wake....
Nchi zilizotajwa ni nchi tajiri miongoni mwa mataifa ya Africa rich countries kutokana na kuwa na reserve ya mali asili chekwa.Kwenye repoti ya fedha ya Benki ya Dunia inayoishia June 2024 inaitaja Tanzania kama nchi ya 4 kwa nchi zenye madeni makubwa ya IDA. IDA ni taasisi iliyo chini ya benki ya Dunia ila wao wanajikita kwenye nchi 75 masikini zaidi Duniani ikiwemo Tanzania. Mikopo ya IDA hua ni nafuu sana na inalipwa kwa muda mrefu zaidi kuliko mikopo ya benki ya Dunia.
Kwenye orodha hiyo ya nchi inayoongoza kwa Afrika ni Nigeria ikifuatiwa na Eithiopia, Kenya na kisha Tanzania imiwa inadaiwa Dola Bilioni 11.7 ama Trilioni 31.6.
Unaweza kusoma mwenyewe.
![]()
African countries with the highest debt to the World Bank's IDA
Nigeria has been ranked as the largest debtor in Africa and the third-largest globally to the World Bank’s International Development Association (IDA)africa.businessinsider.com
Kajivua gamba kama Ccm ya Kikwete ya nwaka 2011.
Extended nukuu ya waziri wa fedha alipokiwa akiwasilisha bajeti ya serikali ya mwaka 2024/25.Hongereni matajiri
Bado ni himilivu - in mvaa bendera voiceKwenye repoti ya fedha ya Benki ya Dunia inayoishia June 2024 inaitaja Tanzania kama nchi ya 4 kwa nchi zenye madeni makubwa ya IDA. IDA ni taasisi iliyo chini ya benki ya Dunia ila wao wanajikita kwenye nchi 75 masikini zaidi Duniani ikiwemo Tanzania. Mikopo ya IDA hua ni nafuu sana na inalipwa kwa muda mrefu zaidi kuliko mikopo ya benki ya Dunia.
Kwenye orodha hiyo ya nchi inayoongoza kwa Afrika ni Nigeria ikifuatiwa na Eithiopia, Kenya na kisha Tanzania imiwa inadaiwa Dola Bilioni 11.7 ama Trilioni 31.6.
Soma Pia: WB: Nchi 5 zinazokopa zaidi Mikopo ya riba nafuu kupitia dirisha la IDA. Tanzania ya 3
Unaweza kusoma mwenyewe.
![]()
African countries with the highest debt to the World Bank's IDA
Nigeria has been ranked as the largest debtor in Africa and the third-largest globally to the World Bank’s International Development Association (IDA)africa.businessinsider.com