Uchaguzi 2020 World Bank yapitisha Mkopo wa Zaidi ya Trillion 1 Uliopingwa na Wanasiasa pamoja na Wanaharakati

Uchaguzi 2020 World Bank yapitisha Mkopo wa Zaidi ya Trillion 1 Uliopingwa na Wanasiasa pamoja na Wanaharakati

Kwa Taarifa Ni kuwa serikali imeiambia Benki ya dunia Sera ya kufukuza wanafunzi wajawazito siyo ya Tanzania. Hata hivyo pesa itaanza kutolewa baada ya uchaguzi was oktoba 2020 kufanyika. Pesa itatolewa kwa mafungu mpaka tathimini ya hela ya awali waridhike
Sawa! Issue nipesa kutolewa! Na issue ya pili ni ukipigwa mimba nenda qt au veta.
Hayo mashart mengine yte nimazuri maana yamelenga kulinda mkopo utumike sawasawa.
 
Tanzania ni Dona kantri

Alisikika Jamaa mmoja mwenye walaza akisema
 
Baada ya sarakasi za kuzuia watoto wa kike waliopata ujauzito kutorudi shule, sasa ni ruksa wanafunzi hao kurudi kuendelea na masomo baada ya kujifungua. ASANTE ZITTO, umewakomboa watoto wa Tanzania.View attachment 1405624

Bila jitihada za Mh. Zitto, wasichana hao walikuwa wanaenda kukosa fursa hiyo muhimu ya elimu. Asante pia KABUDI kwa kupeleka taarifa ya mkuu huko WB
View attachment 1405625
Ha ha ha ! Mtapata taabu sana.
 
Benki ya Dunia imepitisha mkopo wa elimu kwa Tanzania wa dola millioni 500M sawa na Tsh Trillion 1.3 ambao ulisitishwa Januari 2020 baada ya wanasiasa na wanaharakati kupinga mchakato wa upitishwaji wake.

Taarifa za kuahirishwa kwa kura hiyo ziliungwa mkono na Wanasiasa na wanaharakati wakiitaka Benki hiyo isitoe mkopo huo kwa Serikali kutokana na kile walichokiita kuwa ni sera na sheria ya elimu ya kibaguzi.

Mkopo huu utaenda kuongeza ufanisi kwenye sekta ya elimu ambayo imepitia mapinduzi makubwa miaka 4 iliyopita, ikiwa ni pamoja na uanzishwaji wa Elimu bure Mpaka Sekondari
Mkopo huu utaenda kuongeza ufanisi kwenye sekta ya elimu ambayo imepitia mapinduzi makubwa miaka 4 iliyopita, ikiwa ni pamoja na uanzishwaji wa Elimu bure Mpaka Sekondari.

==========
Habari kwa undani:

WASHINGTON D. C. March 31, 2020
– The World Bank’s Board of Executive Directors today approved a credit from IDA, the World Bank’s fund for the poorest countries, which will enable millions of young Tanzanians to access and complete secondary education in safer and better learning environments.

The $500 million Secondary Education Quality Improvement Project (SEQUIP) will directly benefit about 6.5 million secondary school students by strengthening government-run schools and establishing stronger educational pathways for students who leave the formal school system.

SEQUIP uses a disbursement mechanism that is phased and releases funds in tranches only when previously agreed results have been achieved. These include increasing access to schools, improving education quality for all public secondary education options, and supporting more children to re-enter the formal public system if they drop out.

Every child in Tanzania deserves a good education, but thousands are denied this life-changing opportunity each year. This project puts the country’s young people front and center; it also dedicates two-thirds of its resources to better and safer learning environments for girls,” said Mara Warwick, World Bank Country Director for Tanzania. She added, “This is an important step in addressing the challenges that Tanzania’s children face throughout their education. The World Bank will continue our dialogue with the government on broader issues concerning equal treatment of schoolchildren.”

Tanzania’s Fee Free Basic Education Policy has led to more children entering school: primary enrollment rose from 8.3 million to 10.1 million between 2015 and 2018, while secondary enrollment increased from 1.8 million to 2.2 million. But despite better access, the secondary education system suffers from low quality and high dropout rates. Nearly 60,000 students (30 percent) fail to complete their schooling each year, and children are not learning enough, particularly in mathematics and science, due to a lack of skilled and motivated teachers, large class sizes, and a poor learning environment. There is also a large gender gap in upper secondary school enrollment, as this learning environment has more effect on girls and their performance in exams.

“Tanzania, like many countries around the world, is suffering from a learning crisis, where children are either not in school, or are in school but not learning,” said Jaime Saavedra, Global Director for Education for the World Bank. “Of 100 children who start school in Tanzania, less than half will finish primary and only three will complete their upper secondary schooling. This is a crisis. This project will support better quality secondary education, while helping make school a safer place where children can thrive, and where all girls, no matter the circumstances, have a pathway to complete their secondary education.”

Over the past two years, about 300,000 children, half of them girls, have been unable to continue their lower secondary education due to insufficient space in public schools. In addition, an estimated 5,500 Tanzanian girls who are pregnant drop out every year. SEQUIP has been designed to enable more adolescent girls and boys to transition to upper secondary education. It gives pregnant girls, young mothers, and other vulnerable children who leave school early the possibility to return to the formal system and complete their education. The project tackles the issues facing pregnant girls with an approach informed by civil society organizations and NGOs, in Tanzania and around the world.

SEQUIP’s design strives to give pregnant girls and young mothers a better chance to complete their education,” said Caren Grown, Senior Director of the Gender Group at the World Bank. “The Bank has stepped up its work to create a new generation of education programs that emphasize safe school environments for girls and boys, including measures that reduce gender-based violence, corporal punishment, bullying, and other forms of violence in and around schools. It gives girls better quality choices and opportunities for completing their secondary education.

The project will be implemented under the Bank’s new Environmental and Social Framework; the government has committed to offering all stakeholders opportunities to engage in consultations during project implementation and to supporting construction of school infrastructure that is safe and built to good environmental and social standards. Citizen engagement in the project will be enhanced through civil society input and strong mechanisms to redress grievances.

The population of secondary education students in Tanzania could double to 4.1 million by 2024. The five-year SEQUIP operation will help address this demand through four components, with disbursement of funds linked to clearly defined, measurable, and independently verified results through four components.

Component 1: Empowering girls through secondary education and life skills. The project aims to improve access to safe secondary education in schools and alternative education centers and to help girls continue and complete this schooling. It aims to help 900,000 more girls attend secondary school.

Component 2: Digitally-enabled effective teaching and learning. The project will introduce digital technology to facilitate math and science teaching and improve learning and teacher efficiency. It aims to improve the quality of secondary school teaching and learning environments.

Component 3: Reducing barriers to girls’ education by facilitating access to secondary schools. The project will support government efforts to expand the number of secondary school places, reduce the distance between a student’s home and her school, and ensure that schools offer safe and good-quality learning environments. This component will also ensure that adequate funding is available as secondary school enrollment expands.

Component 4: Project coordination, monitoring, and evaluation. The project will help reinforce existing capacity, inform education planning and policy decision-making, and implement key activities. Parent-teacher associations and school boards will be trained for close tracking and support to at-risk students, especially girls.

The SEQUIP operation was redesigned and approved following an extensive dialogue between the World Bank and the government of Tanzania. The increase from the initial project funds is due to two factors: first, the increase of children who are expected to enroll in secondary school would have made it difficult to achieve the goals of the project. Second, the stronger emphasis on girls’ education, which translates into two thirds of funds going exclusively to girls, requires more funds to focus on preventing drop-outs and enabling re-entries.

Source: New Financing to Make Secondary Education Safer, Better, and More Accessible for Tanzanian Girls and Boys

MASHARTI nayo tuletee!
Dona kantri inafurahia ku-doniwa?

Mabeberu hawatupendi, sisi ni dona kantri, tusikope fedha zao, zetu za ndani zinatutosha.
 
Viraza pekee ndo mnaweza kuwapotosha kwa mabandiko feki km haya,
Watoto hawakuzuiliwa kurudi shuleni! Issue ilikuwa mtoto azae arudi darasani km nidarasa la sita arudi aenderee namtoto wake hilo ndo serikari ilikataa na haijasalim amri! Kusoma wa some ila nikatika mfumo mbadara.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Si mlisema hizo hela zisitolewa maana zinafadhili ukandamizaji kwa wapinzani? Kiko wapi sasa?

Alafu hiyo hoja ya wanafunzi, hivi kwa akili yako Tanzania hii hata kabla ya rais kutoa ile kauli kulikuwa na mtu anazaa kisha anarudi darasani?

Ninacho jua wengi baada ya kuzaa wanaa mtaani baada ya muda anajitafutia shule ya kujiendeleza tena shule za private, maana za uma muda unakuwa umeshamtupa mkono.

Sent using Jamii Forums mobile app
Utahangaika sana bwana kada, mkuu wako amebend over na bakuli lake ili na wewe buku saba zako zusikosekane
 
Mungu niwapekee sana! Ndani ya gonjwa la corona nchi inazidi kubarikiwa.
Shetani hajawahi kumshida mungu.
Bunge linavunjwa tunabaki wte raia.
Huku corona , huku maandarizi ya uchaguzi.
Haha ha ha ha ccm itasukuma mlevi km namuona vile cdm
 
Mungu niwapekee sana! Ndani ya gonjwa la corona nchi inazidi kubarikiwa.
Shetani hajawahi kumshida mungu.
Bunge linavunjwa tunabaki wte raia.
Huku corona , huku maandarizi ya uchaguzi.
Haha ha ha ha ccm itasukuma mlevi km namuona vile cdm
 
Sijapenda hii kauli "the world Bank fund for the poorest countries"
 
Mleta uzi hajui kama watu walisalimu amri ndiyo mana wamepewa mkopo

Sent using Jamii Forums mobile app
Usimlaumu, huenda lugha ya malkia ni tatizo kwake! Kwa mkopo huu ni ruksa kwa wasichana waliobeba mimba kurudi tena shuleni katika mfumo rasmi (formal education) na kumalizia masomo yao! Acha tukubali yaishe!!
 
Moja ya faida kubwa aliyonayo Magufuli ni kuwa na jeshi kubwa la wajinga nyuma yake!!

Wakati unatamba kwamba akina Zitto walipitisha kampeni chafu "iliyokwama", unaweza kututajia hapa attached strings kwenye huo mkopo? Hiv umeelewa nini kuhusu vipengele vifuatavyo:-
Labda ukumbushwe jambo moja! Wakati Wapiga Makofi mnadai Zitto akafanay kampeni ya kuzuia mkopo, hoja ya Zitto ilikuwa mkopo huo utabagua watoto maskini kwa sababu unapopiga marufuku watoto waliopata ujauzito wasiendelee na shule, ambae hataendelea ni mtoto wa maskini na sio mtoto from a well-off family ambae anaweza kupelekwa private school!

Hapo juu unaambiwa "and supporting more children to re-enter the formal public system if they drop out" kitu ambacho serikali ya Magufuli ilikuwa haikitaki, na ndicho ambacho Zitto alikuwa anakipigania!!

Waliowapa huo mkopo wanaendelea:-Unapomkejeli Zitto wakati watoa mkopo hiyo ndiyo statement yao basi unaonesha wazi kwamba wala hujui unachokifurahia kwa sababu kimsingi, wanapita mle mle alimopita Zitto, na ndio maana wamesema "Every child in Tanzania deserves a good education, but thousands are denied this life-changing opportunity each year. This project puts the country’s young people front and center"

Kumbe wakati nyie mlikuwa mnataka watoto wakipata ujauzito wasiendelee, wenyewe waliowapa mkopo wanawaambia EVERY CHILD DESERVES A GOOD EDUCATION, na kwamba This project puts the country’s young people front and center"


Waliowapa mkopo wanapigilia msumari kwa kusema:- Kumbe watoa mkopo, project yao inahakikisha WATOTO WOTE WA KIKE, wanamaliza elimu ya sekondari NO MATTER WHAT!!!

Narudia swali langu la awali:- "unaweza kututajia hapa attached strings kwenye huo mkopo?"

Hivi tatizo lugha au ulikurupuka ku-post kaba hujasoma?! Kama ulikurupuka ku-post kabla hujasoma, hebu pitia angalau hapa:- What's wrong with JPM's Supporters?! Hivi hadi hapo bado mnashindwa kabisa kuelewa mkopo umetolewa kwa kuangalia maoni ya NGOs pamoja na hao akina Zitto?

In short, Magu na serikali yake wameufyata!!!
Asante kwa kuwaelimisha wana Lumumba shida ni shule mzee.
 
SEQUIP has been designed to enable more adolescent girls and boys to transition to upper secondary education.

It gives pregnant girls, young mothers, and other vulnerable children who leave school early the possibility to return to the formal system and complete their education.

The project tackles the issues facing pregnant girls with an approach informed by civil society organizations and NGOs, in Tanzania and around the world.

Umesoma hiyo ripoti vizuri, soma hicho kipande nimekuwekea hapo utaelewa kama tumesalenda au vipi[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Tafasiri paragraph hiyo kwa kiswahili ili kila MTU aelewe!!. Hawa wazungu bwana, kitu chenyewe ni mkopo na si msaada halafu wanalazimisha kina mama waliojifungua warudi kwenye mfumo rasmi Wa shule (formal education) ili wamalizie masomo yao. Ok acha tukubali kwa hapo mambo yaishe ila wasiende mbali zaidi kutulazimisha kukubaliana na uchafu Wa usenge (wao wanawaita LGBT community!).
 
Benki ya Dunia imepitisha mkopo wa elimu kwa Tanzania wa dola millioni 500M sawa na Tsh Trillion 1.3 ambao ulisitishwa Januari 2020 baada ya wanasiasa na wanaharakati kupinga mchakato wa upitishwaji wake.

Taarifa za kuahirishwa kwa kura hiyo ziliungwa mkono na Wanasiasa na wanaharakati wakiitaka Benki hiyo isitoe mkopo huo kwa Serikali kutokana na kile walichokiita kuwa ni sera na sheria ya elimu ya kibaguzi.

Mkopo huu utaenda kuongeza ufanisi kwenye sekta ya elimu ambayo imepitia mapinduzi makubwa miaka 4 iliyopita, ikiwa ni pamoja na uanzishwaji wa Elimu bure Mpaka Sekondari
Mkopo huu utaenda kuongeza ufanisi kwenye sekta ya elimu ambayo imepitia mapinduzi makubwa miaka 4 iliyopita, ikiwa ni pamoja na uanzishwaji wa Elimu bure Mpaka Sekondari.

==========
Habari kwa undani:

WASHINGTON D. C. March 31, 2020
– The World Bank’s Board of Executive Directors today approved a credit from IDA, the World Bank’s fund for the poorest countries, which will enable millions of young Tanzanians to access and complete secondary education in safer and better learning environments.

The $500 million Secondary Education Quality Improvement Project (SEQUIP) will directly benefit about 6.5 million secondary school students by strengthening government-run schools and establishing stronger educational pathways for students who leave the formal school system.

SEQUIP uses a disbursement mechanism that is phased and releases funds in tranches only when previously agreed results have been achieved. These include increasing access to schools, improving education quality for all public secondary education options, and supporting more children to re-enter the formal public system if they drop out.

Every child in Tanzania deserves a good education, but thousands are denied this life-changing opportunity each year. This project puts the country’s young people front and center; it also dedicates two-thirds of its resources to better and safer learning environments for girls,” said Mara Warwick, World Bank Country Director for Tanzania. She added, “This is an important step in addressing the challenges that Tanzania’s children face throughout their education. The World Bank will continue our dialogue with the government on broader issues concerning equal treatment of schoolchildren.”

Tanzania’s Fee Free Basic Education Policy has led to more children entering school: primary enrollment rose from 8.3 million to 10.1 million between 2015 and 2018, while secondary enrollment increased from 1.8 million to 2.2 million. But despite better access, the secondary education system suffers from low quality and high dropout rates. Nearly 60,000 students (30 percent) fail to complete their schooling each year, and children are not learning enough, particularly in mathematics and science, due to a lack of skilled and motivated teachers, large class sizes, and a poor learning environment. There is also a large gender gap in upper secondary school enrollment, as this learning environment has more effect on girls and their performance in exams.

“Tanzania, like many countries around the world, is suffering from a learning crisis, where children are either not in school, or are in school but not learning,” said Jaime Saavedra, Global Director for Education for the World Bank. “Of 100 children who start school in Tanzania, less than half will finish primary and only three will complete their upper secondary schooling. This is a crisis. This project will support better quality secondary education, while helping make school a safer place where children can thrive, and where all girls, no matter the circumstances, have a pathway to complete their secondary education.”

Over the past two years, about 300,000 children, half of them girls, have been unable to continue their lower secondary education due to insufficient space in public schools. In addition, an estimated 5,500 Tanzanian girls who are pregnant drop out every year. SEQUIP has been designed to enable more adolescent girls and boys to transition to upper secondary education. It gives pregnant girls, young mothers, and other vulnerable children who leave school early the possibility to return to the formal system and complete their education. The project tackles the issues facing pregnant girls with an approach informed by civil society organizations and NGOs, in Tanzania and around the world.

SEQUIP’s design strives to give pregnant girls and young mothers a better chance to complete their education,” said Caren Grown, Senior Director of the Gender Group at the World Bank. “The Bank has stepped up its work to create a new generation of education programs that emphasize safe school environments for girls and boys, including measures that reduce gender-based violence, corporal punishment, bullying, and other forms of violence in and around schools. It gives girls better quality choices and opportunities for completing their secondary education.

The project will be implemented under the Bank’s new Environmental and Social Framework; the government has committed to offering all stakeholders opportunities to engage in consultations during project implementation and to supporting construction of school infrastructure that is safe and built to good environmental and social standards. Citizen engagement in the project will be enhanced through civil society input and strong mechanisms to redress grievances.

The population of secondary education students in Tanzania could double to 4.1 million by 2024. The five-year SEQUIP operation will help address this demand through four components, with disbursement of funds linked to clearly defined, measurable, and independently verified results through four components.

Component 1: Empowering girls through secondary education and life skills. The project aims to improve access to safe secondary education in schools and alternative education centers and to help girls continue and complete this schooling. It aims to help 900,000 more girls attend secondary school.

Component 2: Digitally-enabled effective teaching and learning. The project will introduce digital technology to facilitate math and science teaching and improve learning and teacher efficiency. It aims to improve the quality of secondary school teaching and learning environments.

Component 3: Reducing barriers to girls’ education by facilitating access to secondary schools. The project will support government efforts to expand the number of secondary school places, reduce the distance between a student’s home and her school, and ensure that schools offer safe and good-quality learning environments. This component will also ensure that adequate funding is available as secondary school enrollment expands.

Component 4: Project coordination, monitoring, and evaluation. The project will help reinforce existing capacity, inform education planning and policy decision-making, and implement key activities. Parent-teacher associations and school boards will be trained for close tracking and support to at-risk students, especially girls.

The SEQUIP operation was redesigned and approved following an extensive dialogue between the World Bank and the government of Tanzania. The increase from the initial project funds is due to two factors: first, the increase of children who are expected to enroll in secondary school would have made it difficult to achieve the goals of the project. Second, the stronger emphasis on girls’ education, which translates into two thirds of funds going exclusively to girls, requires more funds to focus on preventing drop-outs and enabling re-entries.

Source: New Financing to Make Secondary Education Safer, Better, and More Accessible for Tanzanian Girls and Boys

Ila kile alichopigania kimezingatiwa, " .......and where all girls, no matter the circumstances, have a pathway to complete their secondary education.”
 
Zitto mnafiki mkubwa rais was awamu ya nne alisema wanafunzi wa like wanapata mimba kwa viherehere vya hatukusikia kelrle yoyote toka kwake badala yake alikuwa akiandamana naye kwanini Sasa hivi ndio anaona serikali haiko sahihi
 
SEQUIP has been designed to enable more adolescent girls and boys to transition to upper secondary education.

It gives pregnant girls, young mothers, and other vulnerable children who leave school early the possibility to return to the formal system and complete their education.

The project tackles the issues facing pregnant girls with an approach informed by civil society organizations and NGOs, in Tanzania and around the world.

Umesoma hiyo ripoti vizuri, soma hicho kipande nimekuwekea hapo utaelewa kama tumesalenda au vipi[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kidhungu wanajua kweli?
 
Back
Top Bottom