Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,205
with a big smile from the ref!!! ahahahhaCesar of Slovenia have just been booked!
Mabwana vita sasa chup* zinabana ha ha ha.
mmmm refa???? lines man je?hivi Tanzania tumeshindwa hata kutoa refa kwenye haya mashindano lol.
US hawana attacking and creative forces. Mid-field na forward ambayo haiwezi ku-penetrate au kukaa na mpira hamuezi kufika popote.wale-underestimate slovenia.....sasa kazi wanayo......
Mabwana vita sasa chup* zinabana ha ha ha.
Jiafrika jingine limeharibu. Refa anampa mtu kadi ambayo haina kichwa wala miguu.
ndio ubaya wa kusema timu fulani ni easy.walisema mwanzo kwamba algeria na slovenia ndio vibonde wao sasa wanajuta.
na ngoma inaweza kulala si unakumbuka walivyowabania wa russia goli?
Hivi Zinedine Zidane alipomtungwa yule muitaliano kwenye fainali za kombe la dunia zilizopita alikuwa anachezea timu za kiafrika. Tuache kuwafanya watu wengine kama siyo binadamu kwamba wakichokozwa wanaweza wasireact. Ni ukweli kwamba timu za kiafrika zimetuangusha mpaka sasa hivi, lakini pia siyo sababu ya watu kuwaona wengine hawana weakness za kucontrol hasira.
Golikipa kakwepa ile "nduki"....kumbe inaruhusiwa kukwepa.......hahahahahhahahilo moja
hilo moja
Asikwepe mchezo? Kwani timu ya babake?Golikipa kakwepa ile "nduki"....kumbe inaruhusiwa kukwepa.......hahahahahhaha
Golikipa kakwepa ile "nduki"....kumbe inaruhusiwa kukwepa.......hahahahahhaha