World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

Matokeo mazuri kwa Nigeria kwene mechi hii ni kuombea droo.
 
Greece mwaka huu ni wabovu tu, hata kwenye mechi za kirafiki alifungwa na South Africa this June. Kama watamkosa Mkorea basi tena hawapati kibonde ktk kundi hili.
 
Greece mwaka huu ni wabovu tu, hata kwenye mechi za kirafiki alifungwa na South Africa this June. Kama watamkosa Mkorea basi tena hawapati kibonde ktk kundi hili.
Mkuu sina imani na Nigeria; huwa wana makosa ya kipuuzi, sometimes unaweza kuibamiza TV kwa unazi na Nigeria!

Ngoja tuone baada ya Half Time kama Korea wanaweza kuruhusu kusawazishiwa
 
Ni kweli Naijeria wana kazi ngumu ktk kundi hili, sijui hapo baadae watakuwaje
 
Greece mwaka huu ni wabovu tu, hata kwenye mechi za kirafiki alifungwa na South Africa this June. Kama watamkosa Mkorea basi tena hawapati kibonde ktk kundi hili.

dont underestimate S.KOREA mkuu............
 
Majina haya kiboko hata kuandika

Wote wanamajina ya taabu kweli kweli.
Lakini kwa kweli hawa South Korea wamewazidi Greece...I didnt expect that though.

Haya tuone hii second half itakuaje.
 
Goooallllll!!!!!.....Bao la pili!!!!
Hawa South Korea matatizo jamani..where are they coming from?
 
haya 2-0,nilisema dont underestimate S.KOREA.....kuna wachezaji wao 3 hapo wako EPL na wanamudu vizuri tu.........
 
Korea wanacheza kwa kiwango swafiiii... Hii match nshaona Greece wamekubali kulala, zinaweza kuongezeka kama bao mbili zaidi :A S tongue:
 
Mnaliona jina la mgiriki hilo...eti Salpingidis....😛ound:
 
South Korea wazuri na wana nguvu inawasaidia sana sijui wanakunywa supu za mawe manake ukiwaangalia unaweza kuwazarau lakini wamekomaa sana ,wana mudu physical game ya haina yoyote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…