World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

THE GAME IS OVER!

Korea wanakuwa timu ya kwanza kupata ushindi katika FIFA WC 2010...
 
Haya, tusubiri Wapopo, wanaweza wakatutoa kimasomaso.
 
Itawezekana tu, lakini tumwombe Maximo arudi :lie:

haya maneno yako yanatia uchungu, binafsi siamini kama ni rahisi kumpata kocha mwenye moyo wa kujitolea kama Maximo. Hawa wazungu ni wepesi sana kutimka wakiudhiwa kidogo tu. Wala hatujajifunza kwa akina Micho, Papic, Nelsen etc.
 
Mkuu, dakika ya 80 hii wapete bao mbili? Never on earth!
Kiongozi, nilikuwa naona wanajitahidi kutuma cross kule mbele ambazo huezi jua matokeo yake, lakini naona hata hilo nalo limekuwa gumu kwao.
 
Mkuu timu ya kufanya miujiza inaonekana, sio Greece hawa hahaha... Stars wakijipanga vizuri wanawalaza tu :twitch:
Tell me kuwa YOU ARE JOKING otherwise yoo are not serious...eti Stars wakijipanga wanaweza kuwa funga Greece.......Stars ya kwetu.....eti tukafunga moja dhidi ya matano tulipocheza na brazil, tunajidai.....tumevunja mwiko......
 
Team zinaanza kujiweka sawa, nabashiri Nigeria kupata droo!

:frusty:
 
Team zinaanza kujiweka sawa, nabashiri Nigeria kupata droo!

:frusty:

Na kuunga mkono kwa kuamua kila mechi iwe na thread yake, vinginevyo ingekuwa vurugu mechi. Itakuwa furaha sana Wanigeria kama watatupa raha Waafrika wote Ulimwenguni pamoja na kuwa Argentina ni moja ya timu inayopewa nafasi kubwa ya kufika mbali na hata kuchukua kombe la dunia.
 
game ya argentina na nigeria si tunaendelea hapa hapa au ndio thread nyingine ishafunguliwa?
 



JOHANNESBURG, SOUTH AFRICA - JUNE 12: A Nigeria fan proudly holds her scarf ahead of the 2010 FIFA World Cup South Africa Group B match between Argentina and Nigeria at Ellis Park Stadium on June 12, 2010 in Johannesburg, South Africa


 
Twende kazi wakuu. Akifungwa mnaija naenda kulala mapemaaa!!!...:A S-omg:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…