Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,205
hee..kumbe goal limeingia..niliacha kuangalia game
you can say that againOooopps! I can now start watching without any fears lol, wakirudisha poa lakini tumeshawaonjesha chungu ya Africa ha ha ha
Ndiyo tunaona umuhimu wa timu kuwa pamoja kwa muda mrefu
:horn::horn::horn::horn::horn::horn:
wewe utakua umeacha kuangalia dakika ya 30.umekosa kinoma yani hilo goli ni kama mtu kamaliza kupika cake ndio ameweka "icing".uruguay kapigiwa mpira kama mtoto mdogo.
Nakwambia leo Gullit alikuwa anachekelea na kulia kama ntoto ndogo, kwa kwa!.hawa wakina gullit vipi wanatumia mda wetu kuzungumzia mechi ya brazil na holland?