klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,647
- 5,145
semi ya mjerumani na mspanyola dah! hiyo lazima nitoroke kazini!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ujerumani weupe tu kwa spain msibabaike kisa wamewafunga argentina,mtaona mambo ya barca 4 bayern 0,au marudio ya euro 2008,ujerumani hamna kitu kwa nchi zifuatazo yugoslavia yote yani croatia,serbia,bosnia herzagovina halafu kwa spain,hawana rekodi ya kuwafunga spain,yani tumewapita paraguay basi kombe linabebwa na kipa bora iker casillas,spain inatisha jamani msiwaangilie kiwoga,daima spain timu ndogo ndio zinamsumbua,huyo klose atafunikwa ozil,podolski,lahm,scheisteiger sijui wote hawatoonekana.
semi ya mjerumani na mspanyola dah! hiyo lazima nitoroke kazini!
limjerumani lazima litolewe hakuna mahali linaenda......viva espanol, Dios esta contigo
ujerumani weupe tu kwa spain msibabaike kisa wamewafunga argentina,mtaona mambo ya barca 4 bayern 0,au marudio ya euro 2008,ujerumani hamna kitu kwa nchi zifuatazo yugoslavia yote yani croatia,serbia,bosnia herzagovina halafu kwa spain,hawana rekodi ya kuwafunga spain,yani tumewapita paraguay basi kombe linabebwa na kipa bora iker casillas,spain inatisha jamani msiwaangilie kiwoga,daima spain timu ndogo ndio zinamsumbua,huyo klose atafunikwa ozil,podolski,lahm,scheisteiger sijui wote hawatoonekana.
swali ninalojiuliza, hivi hii hoja ya fifa haiwezitumika kwenye mechi ya ghana
na uruguay? kwa sababu ule mkono wa suarez usingetumika lile lilikuwa goli
dhahiri.
sasa hivi uruguay suarez ni shujaa na ule mkono wanauita "mkono wa mungu" :-(