World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

weraaaaaaaaaaaaa weraaaaaaaaaaaa......teh teh teh.....roho kwatuuuu....ha ha ha
 
its game on and my cards are for wadachi... Nimeshawachukia sana uruguay na hasa yule suarez, alimsababishia red card kipa wa sauzi na juzi akawa golikipa wa ziada

may justice be served today!!

done.............
 
to me the 2010 WC FINAL IS TOMORROW..........

no way mkuu mshindi wa kesho ndio mshindi wa haya mashindano.Holland wana nafasi bado ,Ujerumani wamekutana sana na beki mbovu na naomba mungu Spain wawe wamejiandaa jinsi ya kuwakaba,argentina beki mbovu,england beki mbovu,australia beki mbovu,ghana tu waliwasumbua kidogo kutokana wamekamilika.

nitafurahi fainali hiwe Spain vs Holland hili tu enjoy mpira zaidi.
 
Jamani uholanzi ni mavuvuzela kwa kwenda mbele wakubwa maana wenzetu ni uzalendo kwa kwenda mbele-uruguay hawana mpria wa kucheza, I believe ghana is the best compared to uruguay. Huku chereko chereko utadhani wanamtoa mwali vile!! Ahahahaa
 
Asanteee HOLLAND kwa kuwatandika hawa magolikipa manake timu nzima inajua kudaka tu na magoli ya kubahatisha. Afadhali wanasawazisha hasira zangu za Ghana...naweza kulala vizuri,hope A.Gyan nae atakuwa kakenua kidogo leo!!
 

Huu utabiri wa tarehe na majina huu sina imani nao. Sidhani kama kuna uhusiano wowote kati ya utaalamu wa uwanjani na miujiza ya tarehe. Haya mambo ya akina sheik yahya ya kutabiri baada ya mechi kuisha sijui kama yatafanya kazi. Tusubiri kesho. Si ajabu Netherlands ndiyo ikachukua kombe la dunia. Kwanza tangu ianze haijapoteza mchezo hata mmoja. Kwa hiyo record yake inaweza kuelezea mwisho wake utakuwaje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…