World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

I said mipira ya juu noma kwa mabeki wa Ujerumani...Na vile wamento yule Boateng ambaye alicover vizuri tu mipira ya juu.

Mkuu hili ni kosa kubwa sana Kocha kalifanya. Huyu jamaa alikuwa noma kwa mipira ya juu na nina uhakika kama angekuwepo Puyol asingefunga!. Lakini pamoja na yote Pweza aliisha predict kuwa Germany leo wanafungwa so ilikuwa ni suala la muda tu.
 
he he he , hakikisha unabeba tishu za kutosha jumapili (kwa ajili ya kilio au kijasho cha presha), huo mtiririko nilioweka hata pweza anakubaliana nao. hako ka nchi ka red kamenikata stimu kweli aisee.

Unacheza wewe,hao Uruguay nazuga tu yani napenda wamaliziwe hasira na German..ha ha 4-0 itapendeza wakifungwa!!..nazuga tu,wala sina stimu nao Uru!!

Dutch for World Cup Zuid Afrika 2010!..Period!!
 
Jumapili lisaa kabla ya mechi nitajua nina-side timu gani!!..jamani tena hili kombe linaenda EU sasa hii WC imegeuka EuroCup part II..teh teh

ha ha ha sawa sawa una mda mrefu wa kutumia nguvu zako za sheikh yahaya kupata jibu kamili.kila la kheri.
 
That's my team!

Spain for the cup....!
Football = beautiful game
Today's results = justice to football
Another win for the beautiful Spain on Sunday (final) = more justice to football.
 
ha ha ha sawa sawa una mda mrefu wa kutumia nguvu zako za sheikh yahaya kupata jibu kamili.kila la kheri.

Asante,tutahabirishana then!!..Acha niwe sheikh kwa muda!!..Tuone itakuwaje j2!!

Honestly, I will miss WOZA games..imekuwa raha hapa JF kushare soccer trends, ideas, stress, panics, surprises etc...
 
There is this simple logic which entails that German is going to pick the world cup this year. Kama kuna sheik yahya mwingine tofauti na mimi basi anipinge sasa.

Fact 1. Brazil won the World Cup in 1994. Before that they had also won it in 1970. Add these two years and you get 3964 (1994+1970 = 3964).

Fact 2. Argentina won its last World Cup in 1986. Before that they had also won it in 1978. Add these two years and you get 3964 (1986+1978 = 3964).

Fact 3. Germany won its last World Cup in 1990. Before that they had also won it in 1974. Add these two years and you get 3964 (1990+1974 = 3964).

Fact 4
. Brazil also won its World Cup in 2002. Before that they had also won it in 1962. Add these two years and you get 3964 (2002+1962 = 3964).

Conclusion
= This year is 2010 & 3964 - 2010 = 1954. So, country that won in 1954 will win this world cup (2010+1954 = 3964). The country that won in 1954 was Germany. Hence, by this logic of numerology, this World Cup will go to Germany.

Let us wait & see if this logic turns true - interesting. .isn't it..??
Pole sana....
 
Wajerumani watamteka na kumla yule octopus wao, vinginevyoawekewe ulinzi mathubuti.
 
Unacheza wewe,hao Uruguay nazuga tu yani napenda wamaliziwe hasira na German..ha ha 4-0 itapendeza wakifungwa!!..nazuga tu,wala sina stimu nao Uru!!

Dutch for World Cup Zuid Afrika 2010!..Period!!

he he he hapo red hapo! tuonane jumapili, na natafuta tiketi la wizi la kwenda sauzi, nikamshuhudie mzee VILLA analivyolipigilia misumari jeneza la wadachi
 
he he he hapo red hapo! tuonane jumapili, na natafuta tiketi la wizi la kwenda sauzi, nikamshuhudie mzee VILLA analivyolipigilia misumari jeneza la wadachi

Raha ya J2 ni kwamba utabiri ni rahisi kwani kati ya timu mbili TU ndo zinaweza chukua WC..Vinginenevyo bado sijaamua kabisa nipo upande gani sema kama ni mzani basi wa kidachi umezidi kilo..ha ha!!..
Ila mechi ya leo macho yameniuma kuangalia Jabulani linavyopasiwa..mana unaenda huku mara kule,chenga kibao..he he!! Wasteful Pedro, kaniboa kweli!!
Wajerumani dawa yao Spain,nimeshajua..haya kwaheri..naenda kupumzika,ha ha!!
 
Raha ya J2 ni kwamba utabiri ni rahisi kwani kati ya timu mbili TU ndo zinaweza chukua WC..Vinginenevyo bado sijaamua kabisa nipo upande gani sema kama ni mzani basi wa kidachi umezidi kilo..ha ha!!..
Ila mechi ya leo macho yameniuma kuangalia Jabulani linavyopasiwa..mana unaenda huku mara kule,chenga kibao..he he!! Wasteful Pedro, kaniboa kweli!!
Wajerumani dawa yao Spain,nimeshajua..haya kwaheri..naenda kupumzika,ha ha!!
jumapili pedro anakula ubao, mzee torres anaanza . kinachofata ni adhabu. he he he sweet dreams.
 
kusupport mambo kama haya ya octopussy au ya magic namba ni sawa na kuwa mfuasi wa sheikh yahya huseni

the best team will win this world cup and so far its the Netherlands
 
Ujerumani imepoteza nafasi baada ya kutolewa na Spain.
Pweza mwenye uwezo wa kutabiri, ambaye alikuwa akitabiri kwa hakika asilimia mia moja, je ataendelea na kazi yake au ndio naye kibarua chake kisha ingia nyasi?
Sasa tutaona mechi nzuri ya vijana ambao wote wanalilia kutwaa kombe kwa mara ya kwanza.
 
Back
Top Bottom