World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

mkuu bado una usongo nao mpaka kwenye atua hii wewe kiboko lol.

mie nilishawasemee hapa nashangilia magoli tu leo na vipaji binafsi.

itachukua muda kuwasemehe.....hawa watu wamenipa maumivu makubwa kuliko bayern beating man utd,just imagine......by the way PWEZA katabiri ushindi kwa mjerumani.....
 
usiwe na wasi wasi mkuu lile pweza kesho lina aibika,limeenda kutabiri spainalafu kajifanya kama yuko 100% percent sure wala hakufiria kaenda moja kwa moja kukumbatia Spain.

Kesho anakosa kibarua cha utabiri kitu kinaenda Amsterdam lol.
mkuu una masaa chini ya 24 kubadili msimamo wa ushabiki. nakuhakikishia kesho mdachi anarambwa si chini ya 3. kama utabaki upande wa mdachi ningekushauri uweke ka chupa ka panadol pembeni . kesho ni fulu maumivu
 
Huyu m-jinga Suarez si Fifa walisema watamuongezea adhabu hili hasicheze mechi hii au ndio kama kawaida yao wamemsamehe?


tatizo hamna adhabu KISHERIA zaidi ya red card(one game ban) aliyopewa......wanafikiria kuongeza adhabu kwa cheats like him later on......
 
lile dudu lingeambiwa litabiri na hii lingekomfyuzi...wacha matokea yabaki kuwa yale yale...spain 2-0 netherlands
hehehe lile pweza limekuwa maarufu kuliko rais KIKWETE. hii dunia bana!
 
he he he he he mambo yameanza......THOMAS MUELLER on course to GOLDEN BOOT GLORY......5 goals joint top scorer.......
 
huyu SUAREZ wanam-booooooooooo ingawa VUVUZELA zinasaidia kuficha booooooos
 
Wasipanyola washukuru Muller hakuwemo wasingepenya. Huyu dogo ni hatari
 
mkuu una masaa chini ya 24 kubadili msimamo wa ushabiki. nakuhakikishia kesho mdachi anarambwa si chini ya 3. kama utabaki upande wa mdachi ningekushauri uweke ka chupa ka panadol pembeni . kesho ni fulu maumivu

mkuu sibadirishi timu najiamini kushinda Octopus lenu lool.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…