RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
mkuu bado una usongo nao mpaka kwenye atua hii wewe kiboko lol.
mie nilishawasemee hapa nashangilia magoli tu leo na vipaji binafsi.
itachukua muda kuwasemehe.....hawa watu wamenipa maumivu makubwa kuliko bayern beating man utd,just imagine......by the way PWEZA katabiri ushindi kwa mjerumani.....