World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

Hii ndio final kuliko huo mpira wa kesho ambao umetabiriwa kuwa utakuwa hovyo !!
 
ha ha ha kwanini mkuu? Balantanda hawezi kumtosa Vna persie kesho lol,tena na jinsi Fabregas alivyoonesha nia ya kwenda barcelona ndio kabisaa lol.

ha ha ha akiwa kwa RVP mi nasepa kwa FABREGAS......umesahau record yake??
 
hivi kwanza huyu muungwana yupo wapi siku hizi?....nimemkosa sana

huyu muungwana kwa kweli mi sijui yuko wapi....maanake mimi huwa nakutana nae mpirani na hapa mpirani hatokei......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…