World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

CODE ORANGE CODE ORANGE CODE ORANGE ,japo tumeanza kwa kushambuliwa shambuliwa kiaina lol tutafika tu.
 
hivi inakuwaje FABREGAS anakosa namba na vitoto kama SERGIO BUSQUET na PEDRO wanazungusha????
 
Poleni ambao mmeathirika na CCM kununua vituo vya televisheni, ndiyo gharama wanayolipa wananchi. Inaudhi sana!
 

LAKINI KUMBUKA...Hakuna timu iliyowahi kufungwa mechi ya kwanza na kisha ikachukua kombe la dunia.
 
hivi inakuwaje FABREGAS anakosa namba na vitoto kama SERGIO BUSQUET na PEDRO wanazungusha????
mkuu, fabregas anamudu zaidi play maker (attacking mido) na usisahau pana iniesta na xavi pale, (mimi niko pamoja na kocha, kijana inabidi apate joto la benchi tu)
 
asante sana mkuu...hali niliyo nayo hapa ni mbaya mno

Pole sana Preta mimi leo najitolea kukuliwaza na kukupa Update ikibidi hata kwa PM ili mi CCM mingine isijue iumie zaidi! So far 0-0 dkk 19
 
Webb analeta beef za EPL huku,rafu gani hile ya kutoa yellow fainali kubwa kama hii.

teh teh teh teh huyo RVP ana mashetani,hio ni faulo ya kijinga ya 3 kama sikosei, usimsingizie refa........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…