Huyu Webb naona kachemsha dakika za mwisho!!
Iniesta for golden boot
hapana amefanya vizuri muda wote, kama ni kuhusu yellow cards ilitakiwa iwe hivyo. Tena uholanzi walitakiwa kupewa kadi nyingi zaidi including red cards kama mbili au tatu.
ninapenda kuchukua fursa hii kuwapongeza washabiki wote, mliokuwa mnaishabikia spain katika hii wc iliyomalizika rasmi leo kwa ushindi wa kishindo. Ni furaha sana wanajamii tulijumuika pamoja katika mchakato wote hadi kufikia fainali. Binafsi ningependa kuwashukuru wakaka wote kwa company mliyotupatia wadada wachache tuliokuwa tukishiriki katika mchakato huu...mlituonyesha upendo na hamkutukwaza...big up to you all....luv ya......:kiss: :kiss: :kiss: :kiss:
umesahau kumshukuru na pweza kwa niaba ya FIFA. kwakweli tulienjoy sana bana. sasa acha nipige ka suti kangu nielekee kuonana na mama shakira. ubarikiwe thwiitii pretaNinapenda kuchukua fursa hii kuwapongeza washabiki wote, mliokuwa mnaishabikia Spain katika hii WC iliyomalizika rasmi leo kwa ushindi wa kishindo. Ni furaha sana wanajamii tulijumuika pamoja katika mchakato wote hadi kufikia fainali. Binafsi ningependa kuwashukuru wakaka wote kwa company mliyotupatia wadada wachache tuliokuwa tukishiriki katika mchakato huu...mlituonyesha upendo na hamkutukwaza...big up to you all....luv ya......:kiss: :kiss: :kiss: :kiss:
Ninapenda kuchukua fursa hii kuwapongeza washabiki wote, mliokuwa mnaishabikia Spain katika hii WC iliyomalizika rasmi leo kwa ushindi wa kishindo. Ni furaha sana wanajamii tulijumuika pamoja katika mchakato wote hadi kufikia fainali. Binafsi ningependa kuwashukuru wakaka wote kwa company mliyotupatia wadada wachache tuliokuwa tukishiriki katika mchakato huu...mlituonyesha upendo na hamkutukwaza...big up to you all....luv ya......:kiss: :kiss: :kiss: :kiss:
I think huyu jamaa kafanya kazi ngumu leo!..Dutchmen were very aggressive!!
AN England team WILL decide the World Cup after all - with Howard Webb in charge of the final.
Fabio Capello's squad bombed out in the last 16 but whistler Webb has been far more impressive.
The 38-year-old has had a near-flawless tournament and his reward is the clash between Spain and Holland.
Webb's assistants Darren Cann and Michael Mullarkey will run the lines in Johannesburg on Sunday
Haya wapenzi wa soka tumeshamjua refa wetu wa fainali hio jumapili,nini maoni yenu.
Najua wengi washapata bad experience na Mr Webb kwenye EPL lakini kwa jinsi alivyoperform worl cup hii anadeserve kupewa final.
Ilikuwa final nzuri,Spain wame-deserve ushindi!..Dutch wamecheza rafu kweli,wangebaki 8 tu uwanjani kama siyo maamuzi ya refa!..I feel for Sneijder&Robben!!
I will miss WC mpaka 2014..
Nami kwa niaba yangu binafsi nakupongeza sana kwa ujasiri ulio uonesha na uvumilivu wa kike ulio kuwa nao, bila kuonyesha jazba kwenye ushabiki wa mpira. Nakukaribisha tena mwaka 2014 Mwenyezi Mungu akituweka hai tuwe pamoja.Ninapenda kuchukua fursa hii kuwapongeza washabiki wote, mliokuwa mnaishabikia Spain katika hii WC iliyomalizika rasmi leo kwa ushindi wa kishindo. Ni furaha sana wanajamii tulijumuika pamoja katika mchakato wote hadi kufikia fainali. Binafsi ningependa kuwashukuru wakaka wote kwa company mliyotupatia wadada wachache tuliokuwa tukishiriki katika mchakato huu...mlituonyesha upendo na hamkutukwaza...big up to you all....luv ya......:kiss: :kiss: :kiss: :kiss: