Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,205
sneijder vipi yupo au ndio van der vart kaanzishwa badala yake sijamuona bado.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haki na nani vile,mtupe tu izo fidbak maana tumo maofisini wengine
izi mechi za mchana daaah!!twakosa uhondo
kutoka uwezi
sneijder vipi yupo au ndio van der vart kaanzishwa badala yake sijamuona bado.
yeah nimemuona hapa,robben injury imewaharibia sana lakini nadhani akirudi hawa jamaa wana nafasi nzuri ya kufika mbali.yupo,robben hayupo ndio mana vd vart kaanza..........
aah wapi!....yeah nimemuona hapa,robben injury imewaharibia sana lakini nadhani akirudi hawa jamaa wana nafasi nzuri ya kufika mbali.
man hii mechi haina mvuto...ngoja tungoje japs na camssaa ngapi inaanza hii?
dah!kudadadeki ni bonge la mechi
duh bendtner kachemshaa.....................
uzuri wake kwenye timu ya taifa sio mbovu kama lile LAMPARD lenu lol.LAMPARD timu ya taifa ni useless.Bendtner needs atleast 8 chances to score a goal! Poor Arsenal kid
duh naombea wasawazishe wa dennish,vinginevyo leo nitalazwa mzungu wa nne manake shemeji yenu kakuna hapa duh!!!
katoka injury tu wame muharakisha kwa vile ndio striker wao wanamtegemea.alikuwa doubtful mechi hii nashangaa kumuona kaanza.duh bendtner kachemshaa.....................
holland wamlete Babel aje kusumbua na pace yake kuli kushoto.
ndio striker wao wanamtegemea kawatoa sana kwenye mechi za kufuzu.Bendtner needs atleast 8 chances to score a goal! Poor Arsenal kid