World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

Holland wana timu nzuri sana ila wasiwasi uko kwenye defence
 
Holland wana timu nzuri sana ila wasiwasi uko kwenye defence

Kwa maana hiyo hawana team nzuri! Team iliyokamilika idara zote ziko vizuri, ulinzi na ushambuliaji.....! na si kimoja wapo kiwe na wasi wasi
 
_48023995_466x260_japan_cameroon.jpg


Haya mwakilishi wetu mwingine huyu...........binafsi sijui nini nitegemee kutoka kwa hawa INDOMITABLE LIONS mpaka nione mechi hii.....karibuni...........
 
nilimshangaa sana kumleta SWP wakati ana Joe Cole kwenye bench,Milner surprise kubwa sikumtegemea Capello kufanya maamuzi ya kizembe kama vile.


sidhani kama watavuka round of 16.
Acheze SWP au Joe Cole wote hamna kitu,sidhani kama angecheza Cole matokeo yangebadilika huo ndio uwezo wa England
 
jeez...Adebayo yuko STUDIO,mobile phone yake inaita kwa sauti............very funny.............
 
Mkuu, ulikuwa wa kwanza kupendekeza thread zote za Woza ziunganishwe. Naona sasa unakuwa wa kwanza pia katika kuziachanisha.
 
Mkuu, ulikuwa wa kwanza kupendekeza thread zote za Woza ziunganishwe. Naona sasa unakuwa wa kwanza pia katika kuziachanisha.

yeah ni kweli...ila mods huwa wanaziunga ambazo gemu zimeisha...........
 
Kila la kheri simba wasiofugika. Angalizo: hivi vitoto vya kuokota mipira viko tofauti na vile vya kwetu ambavyo vilikuwa vimenona kama vicheza sumo
 
Capello taahira! Ledley King hayuko 100% alimuanzisha, Angedrop mmoja wapo Gerald ama Lampard acheze Gareth Barry hata kama hayuko 100% kumuanzisha Milner wakati amefanya mazoezi siku 2 ni ujinga, golini kumweka Rob Green ni kituko na Kumwacha Cole Joe kuozea bench amelipa 1-1. Game ijayo na zinazofuata watu kama akina SWP hawana akili ya mechi kubwa. Anyway England hawafiki mbali...wakijitahidi watavuka mtoano tu

Capelo alisema machezaji watakaokwenda WC lazima wawe fit lakini nashangaa kwa nini aliwachukua Gareth Barry na Ledley King? Ukweli ni kwamba England wachezaji wengi wabovu/hawana wachezaji .Gerrard zamani alikuwa anacheza defensive midfielders but tangu alivyokuja Benitez akambadilisha kuwa Attacking Midfielder bora Capelo aligundua kuwa Lamps na Gerro hawawezi kucheza pamoja ndio maana alimuomba Paul Scholes arudi akagoma
 
cameruniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii mie hoi izo tops zenu hahahaaa
naamini vijana watatutoa kimaso
 
Back
Top Bottom