Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,630
- 4,253
Pathetic refereeing..Refa mwenyewe anatoka Pakistan mnategemea nini?
mkuu mie pia napenda south africa hishinde lakini calls kama zile ndio zinaaribu soka wala hazisaidii.
Haka ka nchi 21 kana nizingua mno mechi ijayo nahamia kwenye Big Sreen
Pathetic refereeing..Refa mwenyewe anatoka Pakistan mnategemea nini?
Ni bahati kubwa kwa RSA kwenda halftime huku magoli yakiwa 0-0, defence inafanya makosa mengi sana ambayo watakuja kuyajutia.
.............DISALLOWED GOAL! Khune comes off his line and Vela turns home the near post flick. There was a man on the line but because the keeper was in advance of the Arsenal striker, the goal is chalked off. Great decision.......................