World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

Messi hana bahati ni Mchezaji pekee ambaye Makipa wamemnyima Goli nyingi sana
 
kweli madogo leo wanakufa kiume!
majina makubwa aya argie
 
Argentina inakuwa ni timu ya kwanza kufuzu kwa Raundi hii
 
the job is done by Higuain.


sasa south korea wana kazi kubwa sana ya kumfunga Nigeria kama wanataka kupita.na Nigeria nao inabidi wawafunge Greece leo kwa magoli mengi.
 

Itabidi Jioni ya Leo nikaungane na Teamo na Crispin tukachambue game ya France VS Mexico naamini watanikaribisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…