Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,630
- 4,253
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nawaonea huruma south korea jamani...mvua ya magoli leo...Mungu saidia s.korea waje kukutana na n.korea ili watu tupate pa kuchekea...
Brazil ilicheza na North Korea (inajulikana kama Korea DPR) na sio South Korea - Tafadhali badilisha kwenye thread ili tuonekana kama ma-Great Thinker - who understand the difference between "South" and "North"
na brazil km ndo boli lao vile basi wajue uko mbeleni hawagusi goli la( ujeremeni,mexico,paraguay,spain
Haya vipoza macho hivyo kwa kina Arsene Wenger...upo???...:A S tongue: :A S tongue: :A S tongue:
![]()
![]()
![]()
hahaha! Sepp anaweza weka zengwe leo ikawa kama jana.. hadi dak 80 spain hajaona nyavu!ukiwakosa spain jimalize! in spain and bosque i trust