Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hawana kitu ilitabiriwa hii kitu kocha hapa so wa kulaumiwa kabisa ni wao hakuna kitu
Ngoja na sisi wa Gongo la Mboto tuanze mbele!.SA wakacheze Rugby tu naona hku kwny FABO tunawashukuru kwa maandalizi mazuri na kuonesha kwa waafrica tunaweza kuandaa WC..Kweli kabisa sioni game plan ya kutafuta ushindi kwa SA zaidi ya pasi zisizona malengo!!
Wale wa Mbagala wameanza kuondoka
Hivi jamani ile penati na red card ni kweli au refarii kawabeba uruguay?
Hilo Neno kabisa huyu sijui kama atatoka salama SAIla Refa kachemka mbaya..........maana kipa hakudhamiria(jamaa kama kajikwaa vile)......kwa kosa hilo sidhani kama kulikuwa na umuhimu wa kutoa Red Card..............Penati ilikuwa ni adhabu tosha............Huyu Refa akipita mitaa ya SOWETO tu tunaye!!!!!!!!!!!!!!
Labda SA wanaweza wabahatisha wachovu France
its over for South Africa.
What a shame?
Tactically SA wametoka sioni kipya wanachoweza kukifanya kwa wafaransa...It's not over till it's over....................SA wanaweza wakawaotea wachovu FranceKwa game ya Mexico ilivokuwa nzuri usishangae wakawachapa France)................hahaaaaaaaaaa
It's not over till it's over....................SA wanaweza wakawaotea wachovu FranceKwa game ya Mexico ilivokuwa nzuri usishangae wakawachapa France)................hahaaaaaaaaaa