Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
subiri wataotewa tu! ndani ya dkk 15 Germans watalianzisha tu magoli yao aaah ma 4 tu swafiii...Leo counter attack zinafail tu vijana waspain wanakwenda sambasamba na pace ya wajerumani
umeuona utosi wa mzee puyol? hili gemu halina mjadala kabisa. mjerumani analazwa ufukweni leo.
subiri wataotewa tu! ndani ya dkk 15 Germans watalianzisha tu magoli yao aaah ma 4 tu swafiii...
Huu mpira wa leo hautabiriki japo nitafurahi sana kuwaona wabaguzi zaidi (Spain) wakitolewa.
naona wamekushtukia, maana spain wanashambulia na german wanacheza counter attackSpain nadhani wataanza na counter attack lakini wajarumani wao ni mbele kwa mbele....Natarajia gemu safi sana.
Nn tena kimekuboa muungwana??Mechi imeanza kuniboa..
si uende ukalale au ukachome korosho ule? acha kutuzingua hapa....kula kona tu😛ound:Mechi imeanza kuniboa..
wote wabaguzi lakini spain wamezidi.... wajerumani have been changing alot with timemie nilijua wajerumani ndio wabaguzi zaidi.
afwazali leo tupo pamoja kwenye timu ya ushindi. acha nikupenyezee vuvuzela upulize. au umechoka? deh deh dehcan you say it again n again